Pre GE2025 Rais Samia kwa Mabalozi: Hatupo hapa kuelekezwa nini cha kufanya kwenye nchi yetu

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Acheni utumwa wa kujiona hamuwezi na mpaka mtegemee kila kitu kutoka kwa hao wageni.

Punguzeni huu unyonge, sio kila kitokacho huko nje basi tukione ni cha kweli na chenye haki ya kusikilizwa.
 
Kiburi cha madaraka live kwa tv😱😳,hofu ya kutekwa ya watanzania haimhusu.
Dunia nzima unafanyika unyama wa kuteka na kutekwa, punguzeni hizi nongwa za kitoto.

Huko USA kila siku wanaokota maiti na polisi wanaanza uchunguzi na kuna mwingine unachukua mpaka miaka 20 kupata uhakika wa wahusika wa vifo.

Hali ngumu ya maisha huja na mengi, kwa wengine ni changamoto nzuri na kwa wengine ni balaa la vifo.
 
πŸ₯ΉπŸ₯ΉπŸ₯ΉπŸ₯ΉπŸ₯Ή kumbe kuuliwa ni kawaida, sio tz pekee 🀦🀦🀦
 
Mtu aliye karibu na Rais wetu anisaidie kumuuliza kama kuna siku Tanzania imewahi kutoa msaada wa kifedha kwa Marekani.

Kama unaenda kutembeza bakuli kuombaomba pesa za kuendesha nchi yako utapangiwa tu na watakuelekeza hata jinsi ya kuongoza na hakuna kitu utawafanya.

Kuhusu utekaji na mauaji, Katibu Mkuu wa Chama aliongea vizuri kwa utulivu na umakini mkubwa, yeye kaja kuongea ndio ameharibu mwanzo mwisho.
Halafu Kesho kiguu na njia kwenda kuomba MKOPO wa kununuua ma V8

 
Safi sana wafanye yaliyowaleta!
 
Halafu Kesho kiguu na njia kwenda kuomba MKOPO wa kununuua ma V8
Na wao kigumu na njia kwenda ikulu kumsifia

She is right… Hawa watu ukiwaendekeza utakua shoga kwa lazima

Magu aliwachoka mapema sana

Kuna limit to what they can say kutokana na diplomatic charter

Wanajisahau sana
 
kama rais amesema vile, mjue kuwa haya yoooooooooooooooote yana baraka zake. Anajua fika nini kinaendelea na anaagiza yeye
Nope

Kajieleza vizuri sana kwamba sisi hatupendi yanayotokea lakini pia wenzetu waheshimu rights na sovereignty ya nchi yetu
 
aicc kuna wakati wanataka watu waende kutembea kule uholanzi
 
no longer at ease
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…