Pre GE2025 Rais Samia kwa Mabalozi: Hatupo hapa kuelekezwa nini cha kufanya kwenye nchi yetu

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
baba Dubai kamwambia ajibuu sasa asiwe kinyongee πŸ˜‚
 
Nashangaa Rais anatuma nguvu kubwa kutuaminisha vifo na utekaji huu unaoendekea ni kitu cha kawaida😑
Kuna hisia zina nijia huenda "kalazimishwa" kuongea hizo porojo.
 
Mna huwo uwezo,au mnajipaka mavi tu.
nadhani waulizwe wale waandaji wa maandamano haramu ya Chadema, je, nani sijui huko must go wana uwezo nayo au wanajipaka hicho unacho kiporomosha kwa mdomo wako...


Infact,
balozi asie mstaarabu na anaekiuka miiko na sheria ya kidiplomasia anafurushwa tu na kama nchi tulisha wafurusha wengi tu huko nyuma kutokana na sababu mbalimbali...

wengine sababu za kiutendaji, wengine sababu za kisiasa na wengine tuliwakataa kutokana na majina yao kutamkwa kama matusi humu nchini πŸ’
 
Magufuli aliesema ili kuwakwepa mabeberu lazima tukaze mikanda na kujitegemea, ila yeye alipo ingia ikulu akafuta yote na kuanza kutembeza bakuli hadi akamfukuza Ndugai aliposema tunakopa sana.

Leo eti ana wapiga biti? Chura kiziwi bhana πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…