Rais Samia, kwanini unatoa msaada mkubwa kwa Prof. Jay pekee wakati wa kuwasaidia wapo wengi hospitalini?

Pesa ya kwake kwanini unampangia? Au amekwambia ni pesa ya walipa Kodi ?

Umezingua
Watu wanaongea mana wana experience na hayo mambo, foundation kibao zimekaa kiupigaji tuu. Sasa subiri uone mwanzo na mwisho wa hy Foundation.

[emoji1] foundation

Ngoja nitafanya uchunguZi wangu nione nani wako nyuma na wanamsaidia
Kwenye hiyo foundation [emoji848]
Lakini huwezi jua labda wamedhamiria serious kusaidia
Mambo ya Figo

Ova
Tusubiri tuone watakaosaidiwa ila kwa upande wangu hapo ni upigaji tuu
 
Mimi Naona tuitumie ile Account ya Amina Chifupa Foundations kukusanyia michango ya namna hii na inayofanana nayo,Badala ya kuanzisha Foundation nyingine.Kitakachopatikana,Wagawane hao watu wote mashuhuri wenye shida na matatizo ya ugonjwa n.k.
 
Usiwe ivyo mtumishi
 
Wanawake hawana akili iliyotimia kuongoza kundi kubwa la watu, uongozi waachiwe wanaume wanaojitambua.
Hata kwenye ngazi ya familia haikua ujinga kumfanya mwanaume ndo kiongozi mkuu.
Sio kwel kuna wanawake vipanga , labda kwa sisi wamatumbi ndio tupo nyuma bado.
 
Naunga mkono hoja.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…