Rais Samia, kwanini unatoa msaada mkubwa kwa Prof. Jay pekee wakati wa kuwasaidia wapo wengi hospitalini?

Rais Samia, kwanini unatoa msaada mkubwa kwa Prof. Jay pekee wakati wa kuwasaidia wapo wengi hospitalini?

Kama nakuelewa vilešŸ˜
Wanawake hawana akili iliyotimia kuongoza kundi kubwa la watu, uongozi waachiwe wanaume wanaojitambua.
Hata kwenye ngazi ya familia haikua ujinga kumfanya mwanaume ndo kiongozi mkuu.
Hasa huku kwetu Afric
 
Halafu hii ya Mgonjwa ambaye bado anahitaji Matibabu ya Kina kuanzisha Mfuko wake (Foundation) kwa kusema anataka Kusaidia wengine Wengi ni kutaka Kutudanganya wenye Akili Kubwa na kutufanya ni Wapumbavu (Mapopoma) na hili hatutalikubali.

Mwisho GENTAMYCINE natoa RAI kwa wengine kuwa kama unajua bado una Shida, huna Hela au una Madeni mengi ya Hospitalini au Kwingineko (katika Jamii usitumie njia ndefu ya kutaka kujipatia/kuomba Pesa bali sema tu wazi wazi kuwa Umepigika Kimaisha kama GENTAMYCINE hivyo unaomba Msaada ili Watanzania wakusaidie tu na siyo kutumia Usanii Usanii na Mbwembwe nyingi.

Na Foundations nyingi huwa zinaanzishwa na zinanoga pia kama tu Mlengwa akiwa ameshatangulia mbele za Haki (yaani Kafa/ Kafariki) au Kapona kabisa tatizo lake ila siyo Mgonjwa kuanzisha Mfuko wake.

Wengine (GENTAMYCINE nikiwemo) ni kama Bahari ambayo kamwe huwa haikai na haitokaa na Uchafu wowote ule hivyo tukiona kuna tatizo au upuuzi wowote ule mahala fulani siwezi/hatuwezi Kunyamaza au Kulinyamazia.

Mzanaki, Myao na Mtutsi nimemaliza.
100% umeongea ukweli ambao wengi wanaogopa kuusema. Kula gwala
 
[emoji1] foundation

Ngoja nitafanya uchunguZi wangu nione nani wako nyuma na wanamsaidia
Kwenye hiyo foundation [emoji848]
Lakini huwezi jua labda wamedhamiria serious kusaidia
Mambo ya Figo

Ova
Thubutu.....!!
 
Halafu hii ya Mgonjwa ambaye bado anahitaji Matibabu ya Kina kuanzisha Mfuko wake (Foundation) kwa kusema anataka Kusaidia wengine Wengi ni kutaka Kutudanganya wenye Akili Kubwa na kutufanya ni Wapumbavu (Mapopoma) na hili hatutalikubali.

Mwisho GENTAMYCINE natoa RAI kwa wengine kuwa kama unajua bado una Shida, huna Hela au una Madeni mengi ya Hospitalini au Kwingineko (katika Jamii usitumie njia ndefu ya kutaka kujipatia/kuomba Pesa bali sema tu wazi wazi kuwa Umepigika Kimaisha kama GENTAMYCINE hivyo unaomba Msaada ili Watanzania wakusaidie tu na siyo kutumia Usanii Usanii na Mbwembwe nyingi.

Na Foundations nyingi huwa zinaanzishwa na zinanoga pia kama tu Mlengwa akiwa ameshatangulia mbele za Haki (yaani Kafa/ Kafariki) au Kapona kabisa tatizo lake ila siyo Mgonjwa kuanzisha Mfuko wake.

Wengine (GENTAMYCINE nikiwemo) ni kama Bahari ambayo kamwe huwa haikai na haitokaa na Uchafu wowote ule hivyo tukiona kuna tatizo au upuuzi wowote ule mahala fulani siwezi/hatuwezi Kunyamaza au Kulinyamazia.

Mzanaki, Myao na Mtutsi nimemaliza.
Kwasababu amemsifia kwenye wimbo wake
 
1. Foundation hiyo tayari imezinduliwa na huna cha kuifanya. Mwamko upo na hata mimi popoma nishatuma mchango wangu

2. Foundation itachangia matibabu kwa makumi ya wagonjwa wa figo lakini pia imeshatoa na inatoa hamasa kubwa kuhusu ugonjwa huo na hivyo kuokoa mamia ya watu. Wizara ya afya ingeamua kufanya hamasa ya kuweka hii awareness unafkiri hiyo kampeni ingegharimu shilingi ngapi?

3. Prof Jay ameamua kuihudumia jamii yake katika hali zote na kwa namna zote mpaka mwisho wa uhai wake. Yeye na Sugu ndio wasanii pekee wenye hiyo crown mpaka sasa

4. Tujaribu kuheshimu sana juhudi za Prof Jay kwa jamii katika muda wake huu wa lala salama. To me,he is a super hero!

Karibuni wenye mapenzi mema tuchangie foundation yake kwa bukubuku zetu kadri tulivyojaaliwa. Watu wenye wivu na majina ya watu tuwaachie ghilba hiyo iwatese mpaka wafe!
 
1. Foundation hiyo tayari imezinduliwa na huna cha kuifanya. Mwamko upo na hata mimi popoma nishatuma mchango wangu

2. Foundation itachangia matibabu kwa makumi ya wagonjwa wa figo lakini pia imeshatoa na inatoa hamasa kubwa kuhusu ugonjwa huo na hivyo kuokoa mamia ya watu. Wizara ya afya ingeamua kufanya hamasa ya kuweka hii awareness unafkiri hiyo kampeni ingegharimu shilingi ngapi?

3. Prof Jay ameamua kuihudumia jamii yake katika hali zote na kwa namna zote mpaka mwisho wa uhai wake. Yeye na Sugu ndio wasanii pekee wenye hiyo crown mpaka sasa

4. Tujaribu kuheshimu sana juhudi za Prof Jay kwa jamii katika muda wake huu wa lala salama. To me,he is a super hero!

Karibuni wenye mapenzi mema tuchangie foundation yake kwa bukubuku zetu kadri tulivyojaaliwa. Watu wenye wivu na majina ya watu tuwaachie ghilba hiyo iwatese mpaka wafe!
Uko sahihi kabisa. Cjui kwanini watanzania wanawaza kushindwa kabla ya kuanza. Tuna mawazo hasi muda wote. Mi mwenyewe nimemchangia mshikaji
 
1. Foundation hiyo tayari imezinduliwa na huna cha kuifanya. Mwamko upo na hata mimi popoma nishatuma mchango wangu

2. Foundation itachangia matibabu kwa makumi ya wagonjwa wa figo lakini pia imeshatoa na inatoa hamasa kubwa kuhusu ugonjwa huo na hivyo kuokoa mamia ya watu. Wizara ya afya ingeamua kufanya hamasa ya kuweka hii awareness unafkiri hiyo kampeni ingegharimu shilingi ngapi?

3. Prof Jay ameamua kuihudumia jamii yake katika hali zote na kwa namna zote mpaka mwisho wa uhai wake. Yeye na Sugu ndio wasanii pekee wenye hiyo crown mpaka sasa

4. Tujaribu kuheshimu sana juhudi za Prof Jay kwa jamii katika muda wake huu wa lala salama. To me,he is a super hero!

Karibuni wenye mapenzi mema tuchangie foundation yake kwa bukubuku zetu kadri tulivyojaaliwa. Watu wenye wivu na majina ya watu tuwaachie ghilba hiyo iwatese mpaka wafe!
Idiots hamtopungua Tanzania na hapa JamiiForums.
 
Uko sahihi kabisa. Cjui kwanini watanzania wanawaza kushindwa kabla ya kuanza. Tuna mawazo hasi muda wote. Mi mwenyewe nimemchangia mshikaji
Huna IQ ya Kunielewa hivyo acha kunipotezea muda tafadhali sawa?
 
Watanzania mna nogwa!!? Hiyo yote inasababishwa na ugumu wa maisha, jamani twendeleeni kutafuta pesa tuache makasiriko ya vitu vidogo vidogo.

Kama mtu uko vzr kiuchumi huwezi kuchukia jamaa yule kwa Hali aliyonayo kuanzia hiyo foundation hata kama pesa yote atakula mwenyewe.
 
Halafu hii ya Mgonjwa ambaye bado anahitaji Matibabu ya Kina kuanzisha Mfuko wake (Foundation) kwa kusema anataka Kusaidia wengine Wengi ni kutaka Kutudanganya wenye Akili Kubwa na kutufanya ni Wapumbavu (Mapopoma) na hili hatutalikubali.

Mwisho GENTAMYCINE natoa RAI kwa wengine kuwa kama unajua bado una Shida, huna Hela au una Madeni mengi ya Hospitalini au Kwingineko (katika Jamii usitumie njia ndefu ya kutaka kujipatia/kuomba Pesa bali sema tu wazi wazi kuwa Umepigika Kimaisha kama GENTAMYCINE hivyo unaomba Msaada ili Watanzania wakusaidie tu na siyo kutumia Usanii Usanii na Mbwembwe nyingi.

Na Foundations nyingi huwa zinaanzishwa na zinanoga pia kama tu Mlengwa akiwa ameshatangulia mbele za Haki (yaani Kafa/ Kafariki) au Kapona kabisa tatizo lake ila siyo Mgonjwa kuanzisha Mfuko wake.

Wengine (GENTAMYCINE nikiwemo) ni kama Bahari ambayo kamwe huwa haikai na haitokaa na Uchafu wowote ule hivyo tukiona kuna tatizo au upuuzi wowote ule mahala fulani siwezi/hatuwezi Kunyamaza au Kulinyamazia.

Mzanaki, Myao na Mtutsi nimemaliza.
Iko simpo, kampeni zinakaribia lazima aguse sehemu ambayo ataonekana.
 
1. Foundation hiyo tayari imezinduliwa na huna cha kuifanya. Mwamko upo na hata mimi popoma nishatuma mchango wangu

2. Foundation itachangia matibabu kwa makumi ya wagonjwa wa figo lakini pia imeshatoa na inatoa hamasa kubwa kuhusu ugonjwa huo na hivyo kuokoa mamia ya watu. Wizara ya afya ingeamua kufanya hamasa ya kuweka hii awareness unafkiri hiyo kampeni ingegharimu shilingi ngapi?

3. Prof Jay ameamua kuihudumia jamii yake katika hali zote na kwa namna zote mpaka mwisho wa uhai wake. Yeye na Sugu ndio wasanii pekee wenye hiyo crown mpaka sasa

4. Tujaribu kuheshimu sana juhudi za Prof Jay kwa jamii katika muda wake huu wa lala salama. To me,he is a super hero!

Karibuni wenye mapenzi mema tuchangie foundation yake kwa bukubuku zetu kadri tulivyojaaliwa. Watu wenye wivu na majina ya watu tuwaachie ghilba hiyo iwatese mpaka wafe!
Umesema Prof anatupenda sanaa katupa burudani,katueleimisha,katuonya,ametuongoza na bado anatupa elimu na namna ya kujikwamua kutoka kwenye maradhi ya figo.
Na mm nachangia umenigusa..
MVP.....
 
Back
Top Bottom