Wanawake hawana akili iliyotimia kuongoza kundi kubwa la watu, uongozi waachiwe wanaume wanaojitambua.
Hata kwenye ngazi ya familia haikua ujinga kumfanya mwanaume ndo kiongozi mkuu.
Hasa huku kwetu Afric
So watu wasianzishe kwasababu ya upigajiMzee, foundation nyingi zimekaa kiupigaji tuu
Waanzishe ili wajikusanyie utajiriSo watu wasianzishe kwasababu ya upigaji
100% umeongea ukweli ambao wengi wanaogopa kuusema. Kula gwalaHalafu hii ya Mgonjwa ambaye bado anahitaji Matibabu ya Kina kuanzisha Mfuko wake (Foundation) kwa kusema anataka Kusaidia wengine Wengi ni kutaka Kutudanganya wenye Akili Kubwa na kutufanya ni Wapumbavu (Mapopoma) na hili hatutalikubali.
Mwisho GENTAMYCINE natoa RAI kwa wengine kuwa kama unajua bado una Shida, huna Hela au una Madeni mengi ya Hospitalini au Kwingineko (katika Jamii usitumie njia ndefu ya kutaka kujipatia/kuomba Pesa bali sema tu wazi wazi kuwa Umepigika Kimaisha kama GENTAMYCINE hivyo unaomba Msaada ili Watanzania wakusaidie tu na siyo kutumia Usanii Usanii na Mbwembwe nyingi.
Na Foundations nyingi huwa zinaanzishwa na zinanoga pia kama tu Mlengwa akiwa ameshatangulia mbele za Haki (yaani Kafa/ Kafariki) au Kapona kabisa tatizo lake ila siyo Mgonjwa kuanzisha Mfuko wake.
Wengine (GENTAMYCINE nikiwemo) ni kama Bahari ambayo kamwe huwa haikai na haitokaa na Uchafu wowote ule hivyo tukiona kuna tatizo au upuuzi wowote ule mahala fulani siwezi/hatuwezi Kunyamaza au Kulinyamazia.
Mzanaki, Myao na Mtutsi nimemaliza.
Exactly.Hiyo foundation ikifanya kazi kwa kusaidia wengine nahama hii nchi, watu wanajivika utajiri kwa kisingizio cha Foundation
Thubutu.....!![emoji1] foundation
Ngoja nitafanya uchunguZi wangu nione nani wako nyuma na wanamsaidia
Kwenye hiyo foundation [emoji848]
Lakini huwezi jua labda wamedhamiria serious kusaidia
Mambo ya Figo
Ova
GENTAMYCINE ni Bahari ambayo kamwe haikai na Uchafu.100% umeongea ukweli ambao wengi wanaogopa kuusema. Kula gwala
Kwasababu amemsifia kwenye wimbo wakeHalafu hii ya Mgonjwa ambaye bado anahitaji Matibabu ya Kina kuanzisha Mfuko wake (Foundation) kwa kusema anataka Kusaidia wengine Wengi ni kutaka Kutudanganya wenye Akili Kubwa na kutufanya ni Wapumbavu (Mapopoma) na hili hatutalikubali.
Mwisho GENTAMYCINE natoa RAI kwa wengine kuwa kama unajua bado una Shida, huna Hela au una Madeni mengi ya Hospitalini au Kwingineko (katika Jamii usitumie njia ndefu ya kutaka kujipatia/kuomba Pesa bali sema tu wazi wazi kuwa Umepigika Kimaisha kama GENTAMYCINE hivyo unaomba Msaada ili Watanzania wakusaidie tu na siyo kutumia Usanii Usanii na Mbwembwe nyingi.
Na Foundations nyingi huwa zinaanzishwa na zinanoga pia kama tu Mlengwa akiwa ameshatangulia mbele za Haki (yaani Kafa/ Kafariki) au Kapona kabisa tatizo lake ila siyo Mgonjwa kuanzisha Mfuko wake.
Wengine (GENTAMYCINE nikiwemo) ni kama Bahari ambayo kamwe huwa haikai na haitokaa na Uchafu wowote ule hivyo tukiona kuna tatizo au upuuzi wowote ule mahala fulani siwezi/hatuwezi Kunyamaza au Kulinyamazia.
Mzanaki, Myao na Mtutsi nimemaliza.
Hakuna bana huwez kuwaza kushindwa kabla ya kuwezaWaanzishe ili wajikusanyie utajiri
Uko sahihi kabisa. Cjui kwanini watanzania wanawaza kushindwa kabla ya kuanza. Tuna mawazo hasi muda wote. Mi mwenyewe nimemchangia mshikaji1. Foundation hiyo tayari imezinduliwa na huna cha kuifanya. Mwamko upo na hata mimi popoma nishatuma mchango wangu
2. Foundation itachangia matibabu kwa makumi ya wagonjwa wa figo lakini pia imeshatoa na inatoa hamasa kubwa kuhusu ugonjwa huo na hivyo kuokoa mamia ya watu. Wizara ya afya ingeamua kufanya hamasa ya kuweka hii awareness unafkiri hiyo kampeni ingegharimu shilingi ngapi?
3. Prof Jay ameamua kuihudumia jamii yake katika hali zote na kwa namna zote mpaka mwisho wa uhai wake. Yeye na Sugu ndio wasanii pekee wenye hiyo crown mpaka sasa
4. Tujaribu kuheshimu sana juhudi za Prof Jay kwa jamii katika muda wake huu wa lala salama. To me,he is a super hero!
Karibuni wenye mapenzi mema tuchangie foundation yake kwa bukubuku zetu kadri tulivyojaaliwa. Watu wenye wivu na majina ya watu tuwaachie ghilba hiyo iwatese mpaka wafe!
Idiots hamtopungua Tanzania na hapa JamiiForums.1. Foundation hiyo tayari imezinduliwa na huna cha kuifanya. Mwamko upo na hata mimi popoma nishatuma mchango wangu
2. Foundation itachangia matibabu kwa makumi ya wagonjwa wa figo lakini pia imeshatoa na inatoa hamasa kubwa kuhusu ugonjwa huo na hivyo kuokoa mamia ya watu. Wizara ya afya ingeamua kufanya hamasa ya kuweka hii awareness unafkiri hiyo kampeni ingegharimu shilingi ngapi?
3. Prof Jay ameamua kuihudumia jamii yake katika hali zote na kwa namna zote mpaka mwisho wa uhai wake. Yeye na Sugu ndio wasanii pekee wenye hiyo crown mpaka sasa
4. Tujaribu kuheshimu sana juhudi za Prof Jay kwa jamii katika muda wake huu wa lala salama. To me,he is a super hero!
Karibuni wenye mapenzi mema tuchangie foundation yake kwa bukubuku zetu kadri tulivyojaaliwa. Watu wenye wivu na majina ya watu tuwaachie ghilba hiyo iwatese mpaka wafe!
Huna IQ ya Kunielewa hivyo acha kunipotezea muda tafadhali sawa?Uko sahihi kabisa. Cjui kwanini watanzania wanawaza kushindwa kabla ya kuanza. Tuna mawazo hasi muda wote. Mi mwenyewe nimemchangia mshikaji
Kwa hili la prof J hujafanya na hujamtemdea haki kumshirikisha kwenye Utapeli. Si sawa kabisa.Matapeli wapo wengi, ukiwa chadema huwezi kukosa kuwa tapeli ht ukiwa mgonjwa
View attachment 2840255
CC Erythrocyte
Iko simpo, kampeni zinakaribia lazima aguse sehemu ambayo ataonekana.Halafu hii ya Mgonjwa ambaye bado anahitaji Matibabu ya Kina kuanzisha Mfuko wake (Foundation) kwa kusema anataka Kusaidia wengine Wengi ni kutaka Kutudanganya wenye Akili Kubwa na kutufanya ni Wapumbavu (Mapopoma) na hili hatutalikubali.
Mwisho GENTAMYCINE natoa RAI kwa wengine kuwa kama unajua bado una Shida, huna Hela au una Madeni mengi ya Hospitalini au Kwingineko (katika Jamii usitumie njia ndefu ya kutaka kujipatia/kuomba Pesa bali sema tu wazi wazi kuwa Umepigika Kimaisha kama GENTAMYCINE hivyo unaomba Msaada ili Watanzania wakusaidie tu na siyo kutumia Usanii Usanii na Mbwembwe nyingi.
Na Foundations nyingi huwa zinaanzishwa na zinanoga pia kama tu Mlengwa akiwa ameshatangulia mbele za Haki (yaani Kafa/ Kafariki) au Kapona kabisa tatizo lake ila siyo Mgonjwa kuanzisha Mfuko wake.
Wengine (GENTAMYCINE nikiwemo) ni kama Bahari ambayo kamwe huwa haikai na haitokaa na Uchafu wowote ule hivyo tukiona kuna tatizo au upuuzi wowote ule mahala fulani siwezi/hatuwezi Kunyamaza au Kulinyamazia.
Mzanaki, Myao na Mtutsi nimemaliza.
Umesema Prof anatupenda sanaa katupa burudani,katueleimisha,katuonya,ametuongoza na bado anatupa elimu na namna ya kujikwamua kutoka kwenye maradhi ya figo.1. Foundation hiyo tayari imezinduliwa na huna cha kuifanya. Mwamko upo na hata mimi popoma nishatuma mchango wangu
2. Foundation itachangia matibabu kwa makumi ya wagonjwa wa figo lakini pia imeshatoa na inatoa hamasa kubwa kuhusu ugonjwa huo na hivyo kuokoa mamia ya watu. Wizara ya afya ingeamua kufanya hamasa ya kuweka hii awareness unafkiri hiyo kampeni ingegharimu shilingi ngapi?
3. Prof Jay ameamua kuihudumia jamii yake katika hali zote na kwa namna zote mpaka mwisho wa uhai wake. Yeye na Sugu ndio wasanii pekee wenye hiyo crown mpaka sasa
4. Tujaribu kuheshimu sana juhudi za Prof Jay kwa jamii katika muda wake huu wa lala salama. To me,he is a super hero!
Karibuni wenye mapenzi mema tuchangie foundation yake kwa bukubuku zetu kadri tulivyojaaliwa. Watu wenye wivu na majina ya watu tuwaachie ghilba hiyo iwatese mpaka wafe!