Rais Samia leo Juni 03 amepokea ujumbe maalumu kutoka kwa Rais Kagame wa Rwanda

Rais Samia leo Juni 03 amepokea ujumbe maalumu kutoka kwa Rais Kagame wa Rwanda

Rejea tukio la Kumuaga Hayati Rais Dkt. Magufuli Kitaifa pale Dodoma kisha msikilize aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Nje Mzee Kabudi alimtaja nani kutoka Rwanda Kumuwakilisha Rais Kagame na alitoa Salamu zake zipi...
Sasa kama alishatuma yanini kutuma tuma salamu za pole kila mara? Mimi sikutizama maziko ya JIWE nilikuwa sina muda,nilivyoona hapa ndio nikajua ndio mara ya kwanza kutoa pole ,sasa kama alishatuma awali kwanini aendelee tu kutuma? Ukishatoa pole mara moja inatosha.

Pili na wewe ni mjinga sana kwa kuona sawa huyo PK anavyotuma salamu za pole kila mara.
 
03 June 2021
Dodoma, Rwanda

Biruta delivers a Special message from President Kagame to President of Tanzania Samia Suluhu​



Foreign Affairs Minister Vincent Biruta on Thursday, June 3, delivered a special message from President Paul Kagame to President Samia Suluhu Hassan of the United Republic of Tanzania at Chamwino State House in Dodoma, Tanzania
 
Acha Ushamba katika Medani za Diplomasia na Itifaki huwa hakuna Msamiati wa Kuwahi au Kuchelewa hasa katika kutoa Tamko au Taarifa fulani. Nasisitiza tena acha Ushamba.
Dogo si utoke nje tu hujumuike na masela. Wewe muda wote tu unaning'iniza poumbou sofani kwa shemeji ya
 
Sasa kama alishatuma yanini kutuma tuma salamu za pole kila mara? Mimi sikutizama maziko ya JIWE nilikuwa sina muda,nilivyoona hapa ndio nikajua ndio mara ya kwanza kutoa pole ,sasa kama alishatuma awali kwanini aendelee tu kutuma? Ukishatoa pole mara moja inatosha.

Pili na wewe ni mjinga sana kwa kuona sawa huyo PK anavyotuma salamu za pole kila mara.
Unawawakilisha Wapumbavu Wenzako.
 
Alikuwa anaangalia upepo unaendaje kwenye mtanange kati ya wafuta legacy na watetea legacy, sasa ameona ukweli kuwa legacy ya Mwendazake haifutiki kwa hiyo ameona aacknowledge na kuahidi kuendeleza mazuri yaliyoachwa na mtetezi wa wanyonge.
 
Another Fool. Nani kakuambia kuwa Kidiplomasia na Kiitifaki Safari au Ziara za Marais hupangwa Kiholela kama Wewe unavyotoka Kyela kwenda Namtumbo kila ukijisikia tu.

Tatizo lenu mnapenda sana Majungu.
We Nyang'wale, huna haja ya kupanic.
Mi wa Gamboshi na Kyela wapi na wapi.
Hata Kagame asipokuja tumepoteza nini Kidiplomasia?

Wewe ukifa jirani yako akija kuwapa pole wanao mwakani, si poa tu?
Kama uko Foreign , basi mijitu nyie akili zenu za kuzaliwa ni calas.
 
Lisu anapambana na Diamond kumbuka Diamond ameajiri maelfu ya watu huku Lisu akiwa hana legacy nchini na hata jimboni kwake alipowahi kuwa mbunge kwa miaka kumi.Lisu kwa sasa amefugwa na Amsterdam Ubelgiji.
Kinuju
Mbona uko nje ya mada ya uzi hii??

Anzisha mada yako kumuhusu Lissu
 
Lisu anapambana na Diamond kumbuka Diamond ameajiri maelfu ya watu huku Lisu akiwa hana legacy nchini na hata jimboni kwake alipowahi kuwa mbunge kwa miaka kumi.Lisu kwa sasa amefugwa na Amsterdam Ubelgiji.
Lissu ni taahira
 
Back
Top Bottom