benzemah
JF-Expert Member
- Nov 19, 2014
- 1,533
- 3,187
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt Samia Suluhu Hassan amesema mabadiliko ndani ya Serikali (Aliyoyaita kucheza draft) yataendelea hadi pale mstari "laini" iliyokaa sawasawa itakapopatikana kwenye kila sekta nchini.
Rais Samia ametoa kauli hiyo leo Juni 16 2023, wakati akiwaapisha viongozi mbalimbali aliowateua hivi karibuni Ikulu, Chamwino.
"Bado tunacheza draft la kupanga serikali na ndivyo inavyotakiwa kwa sababu maendeleo ni 'adjustments ' ukiona mambo yanakwama hapa, "una-adjust hapa, unakwenda mpaka unapata ' line iliyokaa sawasawa. Kwa hiyo bado tutaendelea kufanya hivyo mpaka tupate line iliyokaa sawasawa katika kila sekta. - Rais Samia
---
Wanajamvi hili mnalionaje?
Rais Samia ametoa kauli hiyo leo Juni 16 2023, wakati akiwaapisha viongozi mbalimbali aliowateua hivi karibuni Ikulu, Chamwino.
"Bado tunacheza draft la kupanga serikali na ndivyo inavyotakiwa kwa sababu maendeleo ni 'adjustments ' ukiona mambo yanakwama hapa, "una-adjust hapa, unakwenda mpaka unapata ' line iliyokaa sawasawa. Kwa hiyo bado tutaendelea kufanya hivyo mpaka tupate line iliyokaa sawasawa katika kila sekta. - Rais Samia
---
Wanajamvi hili mnalionaje?