Rais Samia: Mabadiliko ya Viongozi Serikalini yataendelea mpaka mstari unyooke

Rais Samia: Mabadiliko ya Viongozi Serikalini yataendelea mpaka mstari unyooke

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt Samia Suluhu Hassan amesema mabadiliko ndani ya Serikali (Aliyoyaita kucheza draft) yataendelea hadi pale mstari "laini" iliyokaa sawasawa itakapopatikana kwenye kila sekta nchini.

Rais Samia ametoa kauli hiyo leo Juni 16 2023, wakati akiwaapisha viongozi mbalimbali aliowateua hivi karibuni Ikulu, Chamwino.

"Bado tunacheza draft la kupanga serikali na ndivyo inavyotakiwa kwa sababu maendeleo ni 'adjustments ' ukiona mambo yanakwama hapa, "una-adjust hapa, unakwenda mpaka unapata ' line iliyokaa sawasawa. Kwa hiyo bado tutaendelea kufanya hivyo mpaka tupate line iliyokaa sawasawa katika kila sekta. - Rais Samia

---
Wanajamvi hili mnalionaje?
Comments reserved
 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt Samia Suluhu Hassan amesema mabadiliko ndani ya Serikali (Aliyoyaita kucheza draft) yataendelea hadi pale mstari "laini" iliyokaa sawasawa itakapopatikana kwenye kila sekta nchini.

Rais Samia ametoa kauli hiyo leo Juni 16 2023, wakati akiwaapisha viongozi mbalimbali aliowateua hivi karibuni Ikulu, Chamwino.

"Bado tunacheza draft la kupanga serikali na ndivyo inavyotakiwa kwa sababu maendeleo ni 'adjustments ' ukiona mambo yanakwama hapa, "una-adjust hapa, unakwenda mpaka unapata ' line iliyokaa sawasawa. Kwa hiyo bado tutaendelea kufanya hivyo mpaka tupate line iliyokaa sawasawa katika kila sekta. - Rais Samia

---
Wanajamvi hili mnalionaje?
Mimi mwanajamvi nimemuelewa sana Mhe. Rais. Watu wanadhani maendeleo ya nchi ni kitu hivi kimoja. Maendeleo ni multidimensional concept. Leo unaweka sawa hapa kesho pale na keshokutwa unaweza ku adjust pale nyuma ili upate mwelekeo sahihi. Kwa hiyo naamini panga pangua panga ni adjustment kufikia malengo ya maendeleo katika sekta tofauti. Huwezi kuteua leo halafu usubiri kuadjust hadi ifike mwaka 2025. 🙏🙏🙏
 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt Samia Suluhu Hassan amesema mabadiliko ndani ya Serikali (Aliyoyaita kucheza draft) yataendelea hadi pale mstari "laini" iliyokaa sawasawa itakapopatikana kwenye kila sekta nchini.

Rais Samia ametoa kauli hiyo leo Juni 16 2023, wakati akiwaapisha viongozi mbalimbali aliowateua hivi karibuni Ikulu, Chamwino.

"Bado tunacheza draft la kupanga serikali na ndivyo inavyotakiwa kwa sababu maendeleo ni 'adjustments ' ukiona mambo yanakwama hapa, "una-adjust hapa, unakwenda mpaka unapata ' line iliyokaa sawasawa. Kwa hiyo bado tutaendelea kufanya hivyo mpaka tupate line iliyokaa sawasawa katika kila sekta. - Rais Samia

---
Wanajamvi hili mnalionaje?
Ili kupata mstari ulionyooka hata yeye Samia anatakiwa kuondoka kwenye nafasi ya Urais, maana hadi sasa ameshindwa kuteua watu wanaojielewa badala yake anateua wapuuzi ambao wamekaa serikalini miaka na miaka na hakuna la maana waliloweza kulifanya kwa maslahi ya taifa.
 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt Samia Suluhu Hassan amesema mabadiliko ndani ya Serikali (Aliyoyaita kucheza draft) yataendelea hadi pale mstari "laini" iliyokaa sawasawa itakapopatikana kwenye kila sekta nchini.

Rais Samia ametoa kauli hiyo leo Juni 16 2023, wakati akiwaapisha viongozi mbalimbali aliowateua hivi karibuni Ikulu, Chamwino.

"Bado tunacheza draft la kupanga serikali na ndivyo inavyotakiwa kwa sababu maendeleo ni 'adjustments ' ukiona mambo yanakwama hapa, "una-adjust hapa, unakwenda mpaka unapata ' line iliyokaa sawasawa. Kwa hiyo bado tutaendelea kufanya hivyo mpaka tupate line iliyokaa sawasawa katika kila sekta. - Rais Samia

---
Wanajamvi hili mnalionaje?
Hawezi kunyoosha mstari ila yeye ndio watamnyoosha muda sio mrefu. Si aliwakumbatia na kuwapa pumziko ? Anawaza kingine wanawaza tofauti mwwisho wa siku scud inashindwa kulinda na missile zinagongana zenyewe na kuleta madhara!!!
 
Mbona hakuna bajeti ya Bunge la Katiba mpya au Samia anatumia ile strategy ya Kinana na kutulaghai Wapinzani.

Samia ajue maandamano makubwa ya kudai Katiba yanakuja.

Hatudanganyiki tena Watanga.
😂😂😂 Hata wewe?!!

Basi kumekaribia kukucha
 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt Samia Suluhu Hassan amesema mabadiliko ndani ya Serikali (Aliyoyaita kucheza draft) yataendelea hadi pale mstari "laini" iliyokaa sawasawa itakapopatikana kwenye kila sekta nchini.

Rais Samia ametoa kauli hiyo leo Juni 16 2023, wakati akiwaapisha viongozi mbalimbali aliowateua hivi karibuni Ikulu, Chamwino.

"Bado tunacheza draft la kupanga serikali na ndivyo inavyotakiwa kwa sababu maendeleo ni 'adjustments ' ukiona mambo yanakwama hapa, "una-adjust hapa, unakwenda mpaka unapata ' line iliyokaa sawasawa. Kwa hiyo bado tutaendelea kufanya hivyo mpaka tupate line iliyokaa sawasawa katika kila sekta. - Rais Samia

---
Wanajamvi hili mnalionaje?

Shida ni yeye kuamua kukaribisha vilaza kwenye Balaza la Mawaziri!
 
Big NO.....mbona waziri wa fedha hanyoshwi ili line ipatikane?
 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt Samia Suluhu Hassan amesema mabadiliko ndani ya Serikali (Aliyoyaita kucheza draft) yataendelea hadi pale mstari "laini" iliyokaa sawasawa itakapopatikana kwenye kila sekta nchini.

Rais Samia ametoa kauli hiyo leo Juni 16 2023, wakati akiwaapisha viongozi mbalimbali aliowateua hivi karibuni Ikulu, Chamwino.

"Bado tunacheza draft la kupanga serikali na ndivyo inavyotakiwa kwa sababu maendeleo ni 'adjustments ' ukiona mambo yanakwama hapa, "una-adjust hapa, unakwenda mpaka unapata ' line iliyokaa sawasawa. Kwa hiyo bado tutaendelea kufanya hivyo mpaka tupate line iliyokaa sawasawa katika kila sekta. - Rais Samia

---
Wanajamvi hili mnalionaje?


Mafisadi kaz kwenu, mmeambiwa mpaka mnyooke 🤣🤣🤣🤣
 
Mama alikua anazunukwa mbuyu, ngoja tuone wanaokuja kama mambo ni yaleyale.
 
Hayawezi kupatikana kama anavyotarajia kwa staili hiyo. Kikubwa awaweke watu wenye uwezo na sio kwa kuletewa vimemo au kwa mahaba au kwa ukada na ushkaji. Haya mambo yalimmaliza Kikwete hadi chama kikataka kumfia mikononi.

Awaachie uhuru na minimal control watu anaowateua wafanye kazi na wasifanye kwa kumfurahisha yeye bali kwa taratibu na maono mapana. Aepuke uchawa.

Hata kwenye kampuni au shirika huwezi kila siku ukawa unaajiri na kufukuza ukitegemea utapata mafanikio.

Atafute cv za watu, azipitie..usalama wamsaidie..aweke siasa pembeni..atapata watendaji.
 
Mbona mawaziri aliwaruhusu kula urefu wa kamba zao...kwamba draft haliwahusu eeh
Wakuu wa wilaya hawana effect kwenye jamii
 
Back
Top Bottom