Rais Samia: Mabadiliko ya Viongozi Serikalini yataendelea mpaka mstari unyooke

Rais Samia: Mabadiliko ya Viongozi Serikalini yataendelea mpaka mstari unyooke

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt Samia Suluhu Hassan amesema mabadiliko ndani ya Serikali (Aliyoyaita kucheza draft) yataendelea hadi pale mstari "laini" iliyokaa sawasawa itakapopatikana kwenye kila sekta nchini.

Rais Samia ametoa kauli hiyo leo Juni 16 2023, wakati akiwaapisha viongozi mbalimbali aliowateua hivi karibuni Ikulu, Chamwino.

"Bado tunacheza draft la kupanga serikali na ndivyo inavyotakiwa kwa sababu maendeleo ni 'adjustments ' ukiona mambo yanakwama hapa, "una-adjust hapa, unakwenda mpaka unapata ' line iliyokaa sawasawa. Kwa hiyo bado tutaendelea kufanya hivyo mpaka tupate line iliyokaa sawasawa katika kila sekta. - Rais Samia

---
Wanajamvi hili mnalionaje?


sema mpaka wazanzibar wote wapate uteuzi
 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt Samia Suluhu Hassan amesema mabadiliko ndani ya Serikali (Aliyoyaita kucheza draft) yataendelea hadi pale mstari "laini" iliyokaa sawasawa itakapopatikana kwenye kila sekta nchini.

Rais Samia ametoa kauli hiyo leo Juni 16 2023, wakati akiwaapisha viongozi mbalimbali aliowateua hivi karibuni Ikulu, Chamwino.

"Bado tunacheza draft la kupanga serikali na ndivyo inavyotakiwa kwa sababu maendeleo ni 'adjustments ' ukiona mambo yanakwama hapa, "una-adjust hapa, unakwenda mpaka unapata ' line iliyokaa sawasawa. Kwa hiyo bado tutaendelea kufanya hivyo mpaka tupate line iliyokaa sawasawa katika kila sekta. - Rais Samia

---
Wanajamvi hili mnalionaje?


Hivi uyu mama anataka tuaminisha ndo rais wa kwanza nchi hii tangu taifa pata uhuru? , unabadilisha nini sasa , kama ni nafafasi za teuzi ni watu walewale , watoto wa viongozi , hakuna jipya
 
Kauli ya hovyo kutoka kwa Rais ninayempenda. Na anafanya kila mwendawazimu aone kuwa urais ni kazi nyepesi sana kama mchezo wa draft tuu
 
Ajiondoe na yeye mwenyewe,aje Rais mwingine.
 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt Samia Suluhu Hassan amesema mabadiliko ndani ya Serikali (Aliyoyaita kucheza draft) yataendelea hadi pale mstari "laini" iliyokaa sawasawa itakapopatikana kwenye kila sekta nchini.

Rais Samia ametoa kauli hiyo leo Juni 16 2023, wakati akiwaapisha viongozi mbalimbali aliowateua hivi karibuni Ikulu, Chamwino.

"Bado tunacheza draft la kupanga serikali na ndivyo inavyotakiwa kwa sababu maendeleo ni 'adjustments ' ukiona mambo yanakwama hapa, "una-adjust hapa, unakwenda mpaka unapata ' line iliyokaa sawasawa. Kwa hiyo bado tutaendelea kufanya hivyo mpaka tupate line iliyokaa sawasawa katika kila sekta. - Rais Samia

---
Wanajamvi hili mnalionaje?


Usihangaike na watu, boresha taasisi. Acha zifanye kazi. Mla rushwa afungwe, mzembe aachishwe kazi. Nje ya hapo hakuna lolote
 
Ni dhahiri sasa Mama ameonesha kuwa kazi hii imemzidi uwezo! Kama angekuwa na uwezo na dira ya nini anachotaka kufanya angekuwa na watu sahihi hivi sasa, lakini inaonesha bado anabahatisha na hajui anatupeleka wapi!
Tangu lini mtu wa MASIJALA akawa na uwezo wa kifalme?
 
Back
Top Bottom