Rais Samia: Mabadiliko yametokea kwa sababu ya kutokuelewana

Rais Samia: Mabadiliko yametokea kwa sababu ya kutokuelewana

Rais Samia amesema sababu nyingine ya kupangua wizara ni kwa sababu ya kutoelewana kati ya mawaziri na makatibu wakuu na manaibu waziri. Hali hiyo imeonesha kuwa kazi hazifanyiki...
KAMA HAWAELEWANI WAPIGE BENCHI BADALA YA KUHANGAIKA NAO
 
Rais Samia amesema sababu nyingine ya kupangua wizara ni kwa sababu ya kutoelewana kati ya mawaziri na makatibu wakuu na manaibu waziri. Hali hiyo imeonesha kuwa kazi hazifanyiki.

Rais amesema hii ni mara ya mwisho kupangua kwa sababu ya kutokuelewana, wakati mwingine atawaondoa wote badala ya kuwapangua kama alivyofanya sasa.

Rais ameyasema hayo katika hotuba yake baada ya kuwaapisha wateule.
Alisha wahi kuchunguza kwa nini hawaelewani? nazani shida ni Masilahi watu wanaingiliana kwenye anga, watu wanaingiliana kwenye Syndicate za kupiga pesa
 
Hakuna namna nzuri ya kuwafanya wasikwaruzane?
Wanatakiwa wapewe terms of reference, majukumu ya ainishwe na mipaka yake, hasa baina ya waziri na naibu wake hapo ndipo penye mchanganyiko. Au post ya naibu iondolewe.

Semina elekezi kwa watendaji ni muhimu sana kwenye kuainisha majukumu (hii pia imekosekana)
 
Back
Top Bottom