ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
TrueHuyo Rizimoko naona anabebwa tu kwasababu ni mtoto wa master wake, kinyume na hapo nae angetakiwa apigwe chini, sioni utendaji wowote toka kwake.
Rip Mzilankende. Alisema tutamkumbukaHakuna Jipya Mzilankende Angewafuta Kazi Chap Hao
Acha Aendelee Kudekeza Mambo
KAMA HAWAELEWANI WAPIGE BENCHI BADALA YA KUHANGAIKA NAORais Samia amesema sababu nyingine ya kupangua wizara ni kwa sababu ya kutoelewana kati ya mawaziri na makatibu wakuu na manaibu waziri. Hali hiyo imeonesha kuwa kazi hazifanyiki...
Alisha wahi kuchunguza kwa nini hawaelewani? nazani shida ni Masilahi watu wanaingiliana kwenye anga, watu wanaingiliana kwenye Syndicate za kupiga pesaRais Samia amesema sababu nyingine ya kupangua wizara ni kwa sababu ya kutoelewana kati ya mawaziri na makatibu wakuu na manaibu waziri. Hali hiyo imeonesha kuwa kazi hazifanyiki.
Rais amesema hii ni mara ya mwisho kupangua kwa sababu ya kutokuelewana, wakati mwingine atawaondoa wote badala ya kuwapangua kama alivyofanya sasa.
Rais ameyasema hayo katika hotuba yake baada ya kuwaapisha wateule.
Wanatakiwa wapewe terms of reference, majukumu ya ainishwe na mipaka yake, hasa baina ya waziri na naibu wake hapo ndipo penye mchanganyiko. Au post ya naibu iondolewe.Hakuna namna nzuri ya kuwafanya wasikwaruzane?
Makatibu wakuu ni wasomi na watendaji wa wizara wanawadharau mawaziri wanaosimamia sera zaidi.Hakuna namna nzuri ya kuwafanya wasikwaruzane?
Tungekuwa tupo serious nchi hii, hata huyo anayeteua wenzake alipaswa kutumbuliwa.Rais fukuza woote wanagombana..Waje Huku tule kitimoto NAO.