Rais Samia: Mashtaka dhidi ya Mbowe sidhani kama yamechochewa kisiasa. Natamani kukutana na Wapinzani

Majibu yake yamekaa vizuri sana. Amejibu kama Rais huku akichukua tahadhari zote kutokuingilia uhuru wa mahakama. Ulitaka aingie kwa undani ili uje useme ameingilia uhuru wa mahakama?. Viva Rais Samia
Umefafanua vizuri sana.Kama ni mwalimu,basi itakuwa wanafunzi wako,wanakuelewa vizuri,labda awe mwanafunzi kilaza.
 
Hata mimi kuniambia ukasema "nadhani" basi hapo sikuamini tena sababu huna uhakika

Na anapata taarifa za kiintelejensia na kipolisi kila siku kuhusu hali ya kisiasa, usalama na kijamii ya nchi halafu Rais anakuwa kama hana uhakika na taarifa za Idara ya Usalama wa Taifa anazowakilisha Mkurugenzi Mkuu wa Usalama wa Taifa na zile za kutoka Idara ya Polisi anazowakilisha waziri wa mambo ya ndani na IGP..

https://www.intelligence.gov β€Ί presi.
What is the PDB?

The President's Daily Brief (PDB) is a daily summary of high-level, all-source information and analysis on national security issues produced for the ..
 
Hivi kesi ya 'amiri' au 'amurat' jeshi mkuu iliishaje?
Hivi si ni mama huyu huyu aliyetutangazia kuwa kesi zaidi ya 100 zilikuwa za kubambika na aliwaelekeza waziondoe Mahakamani?
Hakuingilia mahakama?
Nakushauri jifunze zaidi uelewe maana ya kuingilia uhuru wa mahakama na nafasi ya DPP kisheria na kikatiba. Usichanganye mambo
 
Tufanye ivi, Yeye kasema kuwa uhuru wa vyombo vya habari upo wa kutosha ila ninyi mnapinga si kweli.

Basi tuambieni ni vyombo vipi vya habari vimeminywa Au wanahabari wepi wameminywa.

Kama hamna Basi nashauri izo smart phone muache kuzitumia maana zinapunguza uwezo wenu wa kufikiri kadri siku zinavyojongea.
 
Mbowe should retire..
 
Unapofuta maana yake wakati unaipeleka mahakamani hukufanya utafiti wa kutosha.. Hukuwa na sababu za msingi, bali kulikuwa na nguvu nyingine nje ya kosa la mshitakiwa
Hii ni maana yako wewe. Siyo ya kisheria kwa mujibu wa Katiba na mamlaka ya DPP. Jitahidi kusoma Katiba
 


Hivi tunavyosema uhuru wa kutosha tuna maana gani? Ni nani hasa anaweka kipimo cha kutosha na kutokutosha?
 
Rais Samia akubali au asikubali, atambue kuwa kesi ya mwenyekiti wa chadema Freiman Mbowe watanzania pamoja na ulimwengu mzima wanaiona imechochewa KISIASA.
 
Rais wangu kipenzi kasema vizuri sana hasa hapo kwenye democrasia
 
Hii ni maana yako wewe. Siyo ya kisheria kwa mujibu wa Katiba na mamlaka ya DPP. Jitahidi kusoma Katiba
Yaani unazidi kuonyesha ubovu wa katiba ya sasa...!!! Yaani DPP afute kesi na sababu anayotoa ni kutoona haja ya kuendelea na kesi..!! Hii ni hatari, maana anaweza kutumika kuvuta muda wa jambo fulani lipite..!!
 
Siamini macho yangu na masikio yangu Mama nae??? Tutakimbilia kwa Nani?? Msituni??? Visasi??? Tujifunze ugaidi!??
 
She is an extreme headless chicken.

Analishwa maneno anameza bila kutafuna, Tanzania tuna laana gani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…