Rais Samia mbona hakubali tatizo nini?

Sa100 uwezo mdogo sana..ndio mana amezima na kuomba genge la wapiga dili waje kumsaidia kazi..ambapo tayari keshazingua wapiga dili lazima wamwangushie zigo la lawama hata amini.

Yawezekana ana malengo mazuri ila timu aliyoichagua kupiga kazi haiaminiki tena kwa watanzania.

#MaendeleoHayanaChama
 
Kuanzia mskitin,kanisani,kijiweni, bar,masokoni, bodaboda uku kwetu tunamkubali kinomaaaaa.
Piga kazi mama tumecheleweshwa mnooo kama taifa. Zaidi ya miaka tulikwama tu. Kisa mtu mmoja
Apige kazi gani..ebu nionyeshe kazi hata tatu tu za msingi alizo piga mpka sasa...kama sio kutembelea reli ya jpm.

#MaendeleoHayanaChama
 
Sukuma gang bwana mnatapatapa Sana.
 
staff ya wapi hiyo? Ni bora huyu mama mara mia japo anapuyanga kuliko Jiwe.

Uhuru tu wa kufanya mambo yangu bila hofu ya kutekwa inatosha, mama dhibiti vibaka tu na hawa panya road kura tutakupa
Husibishe SSH, anafanya vzr kuzidi Jiwe,lakn katika kukubalika hakubaliki,Hadi mwwnyewe nashangaa
 
Kuna Ka Ukweli Kidogo!
1. Hotuba zake 2.Anatakiwa aachane na yake aliyoyafanya Magufuli 3. Aachane na Wapambe wanao force kumtukuza!(hili linawafanya wengi wamwone na yeye kama yule aliemtangulia)4. Aje na ufumbuzi wenye maana na sio Brabra kwenye ajira(inawezekana tena kwa yeye anaweza kwa 100%)5.Aje na Ufumbuzi wa kupanda kwa garama za maisha ambazo zitaendelea ongezeka zaidi miezi inayokuja(pia hili analiweza)6. Aongeze matumizi ya Ges yetu asilia kwenye shughuli za uchumi hapa Tanzania (kuokoa pesa 7.Aje na Solution za kudumu kwa Machingazi na Boda boda nchi nzima( hili ni Time Bomb-soon litalipuka kama hatua staiki azitochukuliwa) 8. Watanzania wa Leo sio wale wa kuwagawai T shirt na Ubwabwa ili wakupe Kura, Au wale wa kumchaguwa Kiongozi kwa Propaganda na kupiga kelele kwenye Media ANATAKIWA AJE NA MBINU MPYA KAMA ATATAKA USHINDI WA KISHINDO NA. WA HAKI NA HALAL 2025!! Tanzania ya Leo sio ile ya Nyerere,Mwinyi,Mkapa au JK: Mindset za Watanzania zinagrow kila kukicha- mfano Kesi ya Mbowe na Wenzake imeitangaza Chadema kuliko kuifukia,Social Media sio za kuzipuuza tena. Habari na Matukio yanasambaa kwa haraka mno na state control ya Media kama zamani(Kukontrol nini kitangazwe Redioni au Magazetini Aipo kwenye Internet) Watanzania tena wale watakaokuwa kwa mara ya kwanza ni wapiga kura 2025 awatokuwa wale wanaoshawishika kumpa kura kiongozi kwa maneno Tuu! KUNA AJA KUJIPANGA NA KUFANYA MENGI YEYE KULETA NAFUU YA KIUCHUMI KWA WATANZANIA WOTE NA KURUDISHA FURAHA
 
Samia anafanya vzr Sana kuliko Jiwe,lakn ukweli wananchi hawamkubali
Achana nao hao.Wengi wa wanaoonesha chuki kwa SSH ni masikini.Hawa walikuwa wanafurahia matajiri,wafanyabiashara na watumishi wa umma kuumizwa na kufanyiwa dhulma.Kwa akili zao nyembamba walidhani hayo makundi yakifanyiwa udhalimu ndiyo watalingana nao kuuishi ufukara.Akili za kimasikini kama mpendwa wao jiwe!Tell them to go to hell!
 
Anapelekeshwa na nani?Na ni kuhusu nini?Maana uswahilini mkikaa mnajitungia maneno tu ili mradi yasindikizie togwa mnazokunywa.
Kuwa makini na hizo ID zingine unazozijibu, yani zinang'ata kote kote kama konokono.

Zipo kama zaidi ya 100 na ushee, kuna namna humponda Rais kwa uongozi wake mbovu, pia wakati huo huo humsifia Rais kwa ID hizo hizo [emoji23]
 
Husibishe SSH, anafanya vzr kuzidi Jiwe,lakn katika kukubalika hakubaliki,Hadi mwwnyewe nashangaa
Chuki binafsi zimewazidi hao mbwa wa Sukuma gang..

Sekta yeyote unayoijua wewe hapa Tanzania kuanzia Kilimo hadi Barabara na habari Samia kafunika...

Unfortunately hakuna mgombea atamshinda Samia kwa namna yeyote,kama wanaye waambie wamuweke hapa .

Ona hapa kwenye sekta ya Habari 👇



























 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…