Rais Samia mbona hakubali tatizo nini?

Rais Samia mbona hakubali tatizo nini?

Ila ukweli mama hakubaliki, Mie mzee wangu ni ccm kindaki ndaki ila kila nikikaa nae tunaona habari mambo yalivyo hovyo analaumu sana uwezo wa mama

Jana ilikuwa habari ya kusafirisha mifugo kinyemela kwenda kenya akasema 'upuuzi huu usingetokea kipindi cha jpm' pia akanipa habari za mkandarasi kula m600 za ujenzi wa bwawa yote anadai ni udhaifu wa mama
Trilion 1.5 wakati wa Magu alisema ilienda wapi?
 
Sa100 uwezo mdogo sana..ndio mana amezima na kuomba genge la wapiga dili waje kumsaidia kazi..ambapo tayari keshazingua wapiga dili lazima wamwangushie zigo la lawama hata amini.

Yawezekana ana malengo mazuri ila timu aliyoichagua kupiga kazi haiaminiki tena kwa watanzania.

#MaendeleoHayanaChama
Wewe ndiye huiamini mimi naamini mifumo ndiyo shida kwa nchi yetu sio huyo Samia
 
wabongo wekeni wazi tu msizunguke! Mama ni president material kinoma, ana akili kubwa sio local bali global, hotuba zake ni nzuri na za kisomi na anaenda na agenda za nchi kwa wakati , anajenga nchi kwa kasi, ni msomi na mzoefu wa mashirika ya kimataifa, miradi ya Mwendazake ameisimamia inasonga kama kawa japo hatujui itaisha lini ila wasiomkubali bimkubwa tatizo ni

1. Mama ni mwanamke anaeongoza nchi yenye mfumo dume ulioota mizizi! baba ni kichwa cha familia ndio utamaduni wetu. wanaume inawachoma sana kuongozwa na mwanamke ila hawasemi hadharani
2.Mama ni muislam wakati inadhaniwa ilikuwa zamu ya wakristo kuongoza baada ya JK ila Mwendazake akakatika kama mshumaa ghafla bin vuu mtu kajengewa karo.
3.Mama ni Mzanzibari na wabara wengi hawaamini weledi toka visiwani kuongoza nchi
4.Mama sio Rais aliechaguliwa kupitia sanduku la kura zenye ushindani wa vyama vingi hasa kupitia mpambano na Tindu Leso na Miwani Makengeza bin Mbowe
5. Watu wanachukia waliotengeneza katiba kuwa Makamu ni Rais bila uchaguzi boss wake akiaga dunia kwa njia ya kawaida au kusafirishwa kuzimu
6. Mwendazake alikuwa na kauli za kibabe sasa Mama kuna siku alisema ukinikuna nakupuliza ukizingua nakuzingua na kukuparura kauli hizi zilitafsiriwa ni mpole na watu wanataka Rais awe mkali kwenye kauli na vitendo wakiamini wizi umezidi serikalini!
Ngo'mbe
 
CCM itapata shida sana ikiwa itaamua kumsimamisha SSH kwenye uchaguzi 2025 (nadhani watamshauri apumzike), ukweli ni kwamba hakubaliki, sio kwasababu hafanyi kazi bali ni wananchi hawamwelewi tu na hata wanaojaribu kumpaka mafuta huku jukwaani wanalijua vizuri hilo.

Itawalazimu waibe kura kwa kiwango ambacho hawajawahi kufanya tangu uhuru wa Tanzania na kwenye viti vya ubunge upinzani utazoa sana viti.

NB: Sidhani kama CCM watafanya kosa la kumsimamisha SHH, nafikiri atashauriwa aache kugombea kwa masilahi mapana ya chama
Nani Amshauri[emoji3][emoji3]
 
Kwani huyo mama kafikafikaje hapo kama Magufuli hakumkubali? Watu wa Magufuli itakuwaje wasimkubali mtu aliyekubaliwa na waliyemkubali? Hilo ndilo swali linalotakiwa kujibiwa.
 
[emoji1787][emoji1787] Kapotosheni kwa wake zenu..

Kwa data zenu hizo hizo naomba muangalie difference ya profit ya mwaka 2021 na miaka hiyo ya Jiwe afu ndio mje kuropoka tena
Nakuambia SSH amefanya vzr kumzidi jiwe mie sio mshabiki mandaz, Samia kamzid JPM parefu sana, ninachoshangaa Kitaani kwangu hakubaliki
 
JK 2005, Mkapa 2000
we punda sio mtz ni mrundi wewe! hujui chochote! hakuna Rais aliekubalika, JK tulikuwa tukimnanga kuwa wizi umezidi serikalini kazi yake kusafiri tu nje na kuchekacheka huku madawa ya kulevy yanaua vijana akutuambia mtakoma nawaletea chuma ndo akaja Magu kutunyoosha.
Mkapa hakuna aliemkubali maana alikuja kubana madili na mzunguko wa pesa bongo umaskini ukashamiri nae ni mwizi akauza mashirika kipumbavu na kujiuzia migodi na kujenga hotel South Mandela akakataa kuifungua!!
we ni mpumbavu ficha ujinga wako uwe na lugha ya staha unapojibu comments za wakubwa zako m*bwa ww
 
Back
Top Bottom