Mto wa mbu
JF-Expert Member
- Aug 8, 2021
- 2,228
- 3,045
NgombeWewe na staffs wenzako 15 ndio hamumkubali....watz wenye above 18 wapo zaidi ya 35m+ kwahiyo nyie 16 ni negligible.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
NgombeWewe na staffs wenzako 15 ndio hamumkubali....watz wenye above 18 wapo zaidi ya 35m+ kwahiyo nyie 16 ni negligible.
Trilion 1.5 wakati wa Magu alisema ilienda wapi?Ila ukweli mama hakubaliki, Mie mzee wangu ni ccm kindaki ndaki ila kila nikikaa nae tunaona habari mambo yalivyo hovyo analaumu sana uwezo wa mama
Jana ilikuwa habari ya kusafirisha mifugo kinyemela kwenda kenya akasema 'upuuzi huu usingetokea kipindi cha jpm' pia akanipa habari za mkandarasi kula m600 za ujenzi wa bwawa yote anadai ni udhaifu wa mama
Basi endelea kuwa chawa mkono uende kinywani.Ndio
Ukiwaona tena waambie ni mipumbafu!Wanasikitika hawakula ubwabwa kwenye msiba wa "Anjali" wao?Teh!Sio hutuba tu watu walikuwa wanaenda kwenye vibanda kuangalia mazishi ya Jiwe na hulipia kwa kuangalia.
Wewe ndiye huiamini mimi naamini mifumo ndiyo shida kwa nchi yetu sio huyo SamiaSa100 uwezo mdogo sana..ndio mana amezima na kuomba genge la wapiga dili waje kumsaidia kazi..ambapo tayari keshazingua wapiga dili lazima wamwangushie zigo la lawama hata amini.
Yawezekana ana malengo mazuri ila timu aliyoichagua kupiga kazi haiaminiki tena kwa watanzania.
#MaendeleoHayanaChama
Ngo'mbewabongo wekeni wazi tu msizunguke! Mama ni president material kinoma, ana akili kubwa sio local bali global, hotuba zake ni nzuri na za kisomi na anaenda na agenda za nchi kwa wakati , anajenga nchi kwa kasi, ni msomi na mzoefu wa mashirika ya kimataifa, miradi ya Mwendazake ameisimamia inasonga kama kawa japo hatujui itaisha lini ila wasiomkubali bimkubwa tatizo ni
1. Mama ni mwanamke anaeongoza nchi yenye mfumo dume ulioota mizizi! baba ni kichwa cha familia ndio utamaduni wetu. wanaume inawachoma sana kuongozwa na mwanamke ila hawasemi hadharani
2.Mama ni muislam wakati inadhaniwa ilikuwa zamu ya wakristo kuongoza baada ya JK ila Mwendazake akakatika kama mshumaa ghafla bin vuu mtu kajengewa karo.
3.Mama ni Mzanzibari na wabara wengi hawaamini weledi toka visiwani kuongoza nchi
4.Mama sio Rais aliechaguliwa kupitia sanduku la kura zenye ushindani wa vyama vingi hasa kupitia mpambano na Tindu Leso na Miwani Makengeza bin Mbowe
5. Watu wanachukia waliotengeneza katiba kuwa Makamu ni Rais bila uchaguzi boss wake akiaga dunia kwa njia ya kawaida au kusafirishwa kuzimu
6. Mwendazake alikuwa na kauli za kibabe sasa Mama kuna siku alisema ukinikuna nakupuliza ukizingua nakuzingua na kukuparura kauli hizi zilitafsiriwa ni mpole na watu wanataka Rais awe mkali kwenye kauli na vitendo wakiamini wizi umezidi serikalini!
Nani Amshauri[emoji3][emoji3]CCM itapata shida sana ikiwa itaamua kumsimamisha SSH kwenye uchaguzi 2025 (nadhani watamshauri apumzike), ukweli ni kwamba hakubaliki, sio kwasababu hafanyi kazi bali ni wananchi hawamwelewi tu na hata wanaojaribu kumpaka mafuta huku jukwaani wanalijua vizuri hilo.
Itawalazimu waibe kura kwa kiwango ambacho hawajawahi kufanya tangu uhuru wa Tanzania na kwenye viti vya ubunge upinzani utazoa sana viti.
NB: Sidhani kama CCM watafanya kosa la kumsimamisha SHH, nafikiri atashauriwa aache kugombea kwa masilahi mapana ya chama
ng'ombe maksaiNani Amshauri[emoji3][emoji3]
JK 2005, Mkapa 2000Raisi yupi aliwahi kukubalika Tanzania?
Kaka imetosha , Mama yupo good tu sanaTutajaza Seva bure..
Unataka kwenye sekta gani nikumiminie mambo?
View attachment 2233858
View attachment 2233859
View attachment 2233861
View attachment 2233862
View attachment 2233863
View attachment 2233864
View attachment 2233865
View attachment 2233866
View attachment 2233867
Nakuambia SSH amefanya vzr kumzidi jiwe mie sio mshabiki mandaz, Samia kamzid JPM parefu sana, ninachoshangaa Kitaani kwangu hakubaliki[emoji1787][emoji1787] Kapotosheni kwa wake zenu..
Kwa data zenu hizo hizo naomba muangalie difference ya profit ya mwaka 2021 na miaka hiyo ya Jiwe afu ndio mje kuropoka tena
Na Kazi yangu mimiBasi endelea kuwa chawa mkono uende kinywani.
Halina ubishi ndio maana Sukuma gang wanahaha kulinda legacy 😀😀Nakuambia SSH amefanya vzr kumzidi jiwe mie sio mshabiki mandaz, Samia kamzid JPM parefu sana, ninachoshangaa Kitaani kwangu hakubaliki
Humohumo naamini kuna ma-mastermind wa chama wakimweka vizuri hawezi kuzingua.😀Nani Amshauri[emoji3][emoji3]
we punda sio mtz ni mrundi wewe! hujui chochote! hakuna Rais aliekubalika, JK tulikuwa tukimnanga kuwa wizi umezidi serikalini kazi yake kusafiri tu nje na kuchekacheka huku madawa ya kulevy yanaua vijana akutuambia mtakoma nawaletea chuma ndo akaja Magu kutunyoosha.JK 2005, Mkapa 2000
Kweni miradi ya Magufuli wananchi hawawezi kuchanga pesa wakajenga?Wanachi wa eneo husika wanaweza kuchanga pesa wakajenga.