Rais Samia mbona hakubali tatizo nini?

Rais Samia mbona hakubali tatizo nini?

Achana nao hao.Wengi wa wanaoonesha chuki kwa SSH ni masikini.Hawa walikuwa wanafurahia matajiri,wafanyabiashara na watumishi wa umma kuumizwa na kufanyiwa dhulma.Kwa akili zao nyembamba walidhani hayo makundi yakifanyiwa udhalimu ndiyo watalingana nao kuuishi ufukara.Akili za kimasikini kama mpendwa wao jiwe!Tell them to go to hell!
Kwahiyo hata wauza unga nao walikuwa wanafanyiwa dhulma? Hata waharifu kama panya road nao walikuwa wanafanyiwa dhulma?
 
Kwahiyo Wee Hukusikia Kuwa Chongolo Kasema Wakuu Wa Mikoa, Wilaya Hawamsifii Mama Kama Wakati Ule Anatawala Yule Baba
Amewaonya Uchunguzi Utafanyika Dhidi Yao Haraka Sana

Maana Yake Nini?
Iwapo Unataka Cheo Chako Anza Kusifia Mapema Sana Na Hii Ndiyo Ccm Janjajanja Kila Eneo, Huo Ukweli Unaouona Wewe Unangoja 2025 Kuchafuke Ndani Ya Chama!!!
 
Chuki binafsi zimewazidi hao mbwa wa Sukuma gang..

Sekta yeyote unayoijua wewe hapa Tanzania kuanzia Kilimo hadi Barabara na habari Samia kafunika...

Unfortunately hakuna mgombea atamshinda Samia kwa namna yeyote,kama wanaye waambie wamuweke hapa .

Ona hapa kwenye sekta ya Habari 👇

View attachment 2233875

View attachment 2233876

View attachment 2233877

View attachment 2233878

View attachment 2233879

View attachment 2233880

View attachment 2233881

View attachment 2233882

View attachment 2233883

View attachment 2233884

View attachment 2233885

View attachment 2233886

View attachment 2233887

View attachment 2233888
Muuza mbogamboga,machinga,dereva bodaboda n.k anayeguswa na kulalamikia makato makubwa kwenye miamala ya fedha unafikiri ukimuwekea hizo taarifa zako atakuelewa? Au hao hawana mpango ni wajinga tu wao wasubiri uchaguzi wapewe kanga na tisheti wakapige kura ila maisha yako vilevile?
 
Binafsi nilichokiona watu bado wanaamini katika RAIS MWANAUME. Ila kwenye kufanya kazi vizuri MAMA SAMIA yuko Far better than MAGUFULI. NAMKUBALI KINOMA NOMA JPM ila mama Samia anatumia Busara, Hekima, nidhamu na Utu katika kuongoza. Kama huyu mama angekuwa Rais mara baada ya KIKWETE amini nakwambia hii nchi ingekuwa mbali mno, kwanye Sekta nyingi sana, Ajira, Biashara, Uvuvi, Kilimo nk.

Thank You Hon. Pres. Samia.

Watu wamezoea vitisho.
Mkuu mama alikuwa anaweza kufanya mazuri kuzidi Magu au kusahihisha makosa yote ya Magu bila kurudisha matatizo yaliyokuwepo awamu ya JK.

Awamu ya JK ilifika hatua hadi JK akawa anaitwa rais dhaifu kiasi cha baadhi ya watu wakawa wanasema wanahitaji rais dikteta, sasa Samia anarudisha huko ndio maana unaona si tu wauza ngada bali hadi panya road et nao wamerejea kwa kishindo.

Alikuwa anao uwezo wa kufanya mazuri na kuendelea kudhibiti yaliyokuwa yamedhibitiwa labda atuambie hata panya road nao walikuwa wanafanyiwa dhulma na Jiwe.
 
Muuza mbogamboga,machinga,dereva bodaboda n.k anayeguswa na kulalamikia makato makubwa kwenye miamala ya fedha unafikiri ukimuwekea hizo taarifa zako atakuelewa? Au hao hawana mpango ni wajinga tu wao wasubiri uchaguzi wapewe kanga na tisheti wakapige kura ila maisha yako vilevile?
😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆..

Kwa hiyo yangekuwa makubwa miamala ingeongezeka? 👇

Screenshot_20220521-215651.png


Screenshot_20220521-213837.png
 
Sababu ni hizi hapa

1) Ni Mzanzibari
2) Ni Muislam
3) Ni Jinsia Yake
Ila pia wapo wanaomuunga mkono Samia kwa sababu ya uislamu wake na wapo wanaomuunga mkono kwa jinsia yake japo wengine wanabadili gear angani.
 
Kwanini watu hawasemi ukweli kuwa Samia hakubaliki Bali wanapiga propaganda tu?

Kuanzia masokoni, vijiwe vya kahawa,mitaani ,maofisini mama hakubaliki ,shida ni nini jamani?

Juzi tukiwa ofisini karibu staff members Kama 15 ,ikawashwa redio ,mama alikuwa anahutubia ,sijui ni Tabora hiyo, aisee staff walikuja juu ,redio izimwe ,Hakuna anachoongea cha maana ,Walidai hivo,

Huku wakisema Wamemmiss sana Hotuba za JPM ,

Hii hali niliichukulia kawaida,lkn nenda hata masokoni, mfano Mabibo sokoni, Manzese, nenda machinjion Vingunguti, Mama anazungumzwa vibaya, anaonekana anafeli sana

Wananchi wengi wanaamini maendeleo yanaenda kwa mwendo wa Kobe,

Wanaamini wezi wamerudi serikalini,

Wanaamini Jpm alikuwa mtetezi wao,

Wanaamini Kuna kundi limemuondoa mwendazake

Kiukweli hata wewe ulipo hapo Kama mpo 10, jaribu ufanye utafiti,uone Ni namna gan mama anakubalika ,

Utaleta majibu hapa ,

Ninachojiuliza huyu mama kwann hakubaliki ,je sio presidential material?

Au Hana maono na nchi hii Kama alivyokuwa Jpm?

Ukiangalia jins Jpm alivyotuvusha kwenye Corona , unaona KABISA angekuwa huyu mama tungekuwa wapi?

Kuna mtu huwa ananiambia msimamo wa chanjo kwa watanzania ndio Iman ya Watu kwa Jpm ,

Hadi Sasa propaganda za chanjo zimefeli , huku majority wakiendelea kuamini falsafa za Jpm ,ambazo hata Korea wameanza kuzitumia




Swali kwann huyu mama hata Hotuba zake zinapuuzwa ,?

Kipind Cha JPM watu had kwenye bodaboda wanatega masikio ,waone mwamba ataongelea mradi gan mpya, mwizi gan atatumbuliwa,

Huyu mama Hotuba zake zinapuuzwa ,kwasasa watu wapo tayari kumsikiliza haji manara na sio raisi,tatizo nn?
Wakati gani umeshuhudia wakimwaga sifa wote hapa penyewe?Wawaachiye wanaoweza kukosoa.
 
Kwanini watu hawasemi ukweli kuwa Samia hakubaliki Bali wanapiga propaganda tu?

Kuanzia masokoni, vijiwe vya kahawa,mitaani ,maofisini mama hakubaliki ,shida ni nini jamani?

Juzi tukiwa ofisini karibu staff members Kama 15 ,ikawashwa redio ,mama alikuwa anahutubia ,sijui ni Tabora hiyo, aisee staff walikuja juu ,redio izimwe ,Hakuna anachoongea cha maana ,Walidai hivo,

Huku wakisema Wamemmiss sana Hotuba za JPM ,

Hii hali niliichukulia kawaida,lkn nenda hata masokoni, mfano Mabibo sokoni, Manzese, nenda machinjion Vingunguti, Mama anazungumzwa vibaya, anaonekana anafeli sana

Wananchi wengi wanaamini maendeleo yanaenda kwa mwendo wa Kobe,

Wanaamini wezi wamerudi serikalini,

Wanaamini Jpm alikuwa mtetezi wao,

Wanaamini Kuna kundi limemuondoa mwendazake

Kiukweli hata wewe ulipo hapo Kama mpo 10, jaribu ufanye utafiti,uone Ni namna gan mama anakubalika ,

Utaleta majibu hapa ,

Ninachojiuliza huyu mama kwann hakubaliki ,je sio presidential material?

Au Hana maono na nchi hii Kama alivyokuwa Jpm?

Ukiangalia jins Jpm alivyotuvusha kwenye Corona , unaona KABISA angekuwa huyu mama tungekuwa wapi?

Kuna mtu huwa ananiambia msimamo wa chanjo kwa watanzania ndio Iman ya Watu kwa Jpm ,

Hadi Sasa propaganda za chanjo zimefeli , huku majority wakiendelea kuamini falsafa za Jpm ,ambazo hata Korea wameanza kuzitumia




Swali kwann huyu mama hata Hotuba zake zinapuuzwa ,?

Kipind Cha JPM watu had kwenye bodaboda wanatega masikio ,waone mwamba ataongelea mradi gan mpya, mwizi gan atatumbuliwa,

Huyu mama Hotuba zake zinapuuzwa ,kwasasa watu wapo tayari kumsikiliza haji manara na sio raisi,tatizo nn?
Tuanzie wapi kukusaidia ?
 
staff ya wapi hiyo? Ni bora huyu mama mara mia japo anapuyanga kuliko Jiwe.

Uhuru tu wa kufanya mambo yangu bila hofu ya kutekwa inatosha, mama dhibiti vibaka tu na hawa panya road kura tutakupa
Utekaji upo kama kawa, sema hujaingia kwenye 18 za watekaji wake.
 
Hivi kwanini watu wanapoongea ukweli kuhusu kutokubalika SSH wananuna wakati huo ndio ukweli.
Wapo wenye kufaidika na aina ya uongozi wa Sasha, mambo yake ndio yanaenda sasa mtu huyo ukimwambia Sasha hasomeki huko kitaa anakuona una roho mbaya ndio maana unaona kauli et una wivu, sasa mtu kama mie ni nani hadi nimuonee wivu rais wa nchi?
 
Mapunguani sukuma gang mmeshafeli.
Mama ni kipenzi cha watanzania zaidi ya 70% except sukumas
Wewe unadhani kwamba Samia atakuwa bora kwa kufanya yaliyo kinyume na Magufuli huku ukidhani kwamba waliyokuwa hawamuelewi Magufuli basi lazima wamuelewe Samia.
 
Unachokisema ni kweli. Kundi kubwa halimkubali. Walio karibu naye hawampi yote ili kilinda vibarua vyao.

Tatizo la Samia ni kuwa hana agenda yeyote inayovutia watu kwakua hakujiandaa kuwa Rais na watu hawakumchagua kutokana na agenda yake hivyo inakua vigumu kweli kumkubali na mambo yake.

Atatumia nguvu sana kukubalika.
Mama anapendwa sana na tutamuongezea muda hadi 2035
 
Watu wamesahau haraka sana, jinsi walivyokuwa wakiishi kwa hofu ya kutekwa na kupotezwa.
Tukumbuke rais naye ni binadamu, hajakamilika kwa mambo yote. Tujifunze pia kuvumilia mapungufu ya wengine.
Laikini pia kwa hulka ya binadamu, hata Mungu akitupatia malaika atuongoze, bado tutamlaumu na kumkosoa vikali.
Mkuu binafsi sijawahi kuishi kwa hofu kwa kuogopa kutekwa katika maisha yangu sijui wengine, labda sasa tu nakuwa makini na panya road.
 
CCM itapata shida sana ikiwa itaamua kumsimamisha SSH kwenye uchaguzi 2025 (nadhani watamshauri apumzike), ukweli ni kwamba hakubaliki, sio kwasababu hafanyi kazi bali ni wananchi hawamwelewi tu na hata wanaojaribu kumpaka mafuta huku jukwaani wanalijua vizuri hilo.

Itawalazimu waibe kura kwa kiwango ambacho hawajawahi kufanya tangu uhuru wa Tanzania na kwenye viti vya ubunge upinzani utazoa sana viti.

NB: Sidhani kama CCM watafanya kosa la kumsimamisha SHH, nafikiri atashauriwa aache kugombea kwa masilahi mapana ya chama
Sahau hizo ndoto.

Mama anapigiwa kuwa toka kaskazi, kusini, kati, kusini magharibi, bukoba na mara ispokuwa sukuma gangs tu.
Na kwa kuwa sukuma hawajui siasa hawana hata chama, cheyo hana meno.
Labda Msukuma aanzishe chama ila hawatapata wanachama mikoa mingine kwani kwa tabia za kikabila walizonazo wasukuma na joto lajiwe walilolionja no finito
 
Back
Top Bottom