Rais Samia Mgeni rasmi Mashindano ya Kuhifadhi Quran tukufu

Huwa nashangaa kwanini hayafanyiki kwenye nchi za kiislam!
Kuna ajenda gani?
 
Quran ni copy and paste ya Biblia.
Biblia ndio kitabu pekee ambacho Mwenyezi-Mungu anakiheshimisha mbinguni na duniani.
Kama ni copy and paste mbona Moja inasema " hawakumuua wala hawakumsulubu" kwengine wanasema walimtundika akiwa na nepi na kumcharaza mijedeli akafufuka siku ya tatu. Mafundisho ya kule nikua hajafa isipokua amepaa mbinguni atakuja kufa atakaporudi kwa mara ya pili ulimwengu utakapokaribia kumalizika.
Kuthibitisha ile kauli" KULUN NAFSI DHAAIKATUL MAUT"
= KILA NAFSI ITAONJA MAUTI.
Amezaliwa chini shina la tende~amezaliwa kwenye zizi la ng'ombe
 
Hio comment ina tatizo gani mpaka utoe povu are you sick????is it serious?,there are hospitals everywhere. Don't die we still need your empty head

Nani tena kakuudhi huyo dada ake? Maana sio kawaida yako.

Anyways msahemehe bure huyo kwa sababu, .miafrika ndivyo tulivyo
 
Hayati JPM katika ubinadamu wake alihudhuria mojawapo ya hizi shughuli za waislam.

Aliposalimiana na JK nakumbuka Mkwere alimtazama kwa jicho fulani la kumuona kama vile kapotea njia, lakini walikuwa marafiki wa muda mrefu.
 
Waislamu ni watanzania kama walivyo wengine.....

MFARIJI MKUU wa dola yuko nao kama alivyokuwa nao hao wengine......

Kila la heri katika mashindano haya ya "quraan il adhwimu fi lauhil mahfudhwi...."

#Rais Samia ni MFARIJI mkuu wetu !
 
Ni kitabu ambacho Allah alimteremshia Mtume wake Isa(a.s) awafikishie wana wa Israel ili kusadikisha yaliyopo katika taurat na kuwabashiria Mtume ajaye baada yake aitwae Ahmad.
issah na biblia kipi cha kwanza kuwepo ? unajua biblia imeandikwa kabla ya issah ?inasikitisha sana anyway nime kupima nimeona huna unachokijua ila unajaribu kujibu hivyo hivyo ili mradi umenijibu tu, naomba tuishie hapa naona utanipotezea tu muda wangu.
 
Unamjua Issa(a.s)?
Tuanzie kwanza hapo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…