Rais Samia: Mikoa ya Kusini watu wanatokwa damu puani na kudondoka. Hatujui ni ugonjwa gani, uchunguzi unaendelea

Rais Samia: Mikoa ya Kusini watu wanatokwa damu puani na kudondoka. Hatujui ni ugonjwa gani, uchunguzi unaendelea

Rais Samia: Mikoa ya Kusini utatembelea lini? Kura zao pia utazitaka? Hao wanaoumwa utawatembelea lini au unangojea kupewa taarifa .
 
Hujui ni ugonjwa gani, unasababishwa na nini, how it infect human, umeanzia kusini kwetu au imported; lakini tayari umehitimisha chanzo chake ni kuingilia biodiversity ya wanyama pori huna supporting evidence ya virus kuruka kutoka kwa wanyama kwenda kwa binadamu.
Inashangaza sana inaonesha kiasi gani hamna kitu mule🤔
 
Wako sehemu gani huko kusini maana kusini ni kubwa. Ni wangapi wanatoka damu puani na kudondoka?
 
Haya ni matokeo ya wizi wa kura na mauaji ya watu wasiokuwa na hatia yaliyofanywa na CCM na Serikali yake kwa wapinzani hasa wakati wa uchaguzi mkuu uliopita.
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] Daaah hizi hasira balaa
 
Back
Top Bottom