NAMBA MOJA AJAYE NCHINI
JF-Expert Member
- Oct 29, 2019
- 9,863
- 20,806
Yanatengenezwa mazingira ya chanjo mapya kuingizwa mzigoni!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umenikumbusha royo tuaAngesubiri wataalamu waje waseme ni ugonjwa gani. Hii itazua taharuki hata kwa wageni wanaokuja
Unataka uone mkoa mzima?Mbona hii sijaiona huko lindi
Ova
Inashangaza sana inaonesha kiasi gani hamna kitu mule🤔Hujui ni ugonjwa gani, unasababishwa na nini, how it infect human, umeanzia kusini kwetu au imported; lakini tayari umehitimisha chanzo chake ni kuingilia biodiversity ya wanyama pori huna supporting evidence ya virus kuruka kutoka kwa wanyama kwenda kwa binadamu.
Hajui ni ugonjwa gani ila anajua unasababishwa na kitu gani. Mzaha huu
F**ck huu ni ushenzi [emoji35][emoji35]Watu wa kusini waambiwe ukweli tu kwakweli tuache kuzunguka mbuyu,mambo ya kula panya hapana,wengine wameanza kula hadi mende sasahivi,juzi nimeona kwenye tv kuna nzi wanaliwa
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] Daaah hizi hasira balaaHaya ni matokeo ya wizi wa kura na mauaji ya watu wasiokuwa na hatia yaliyofanywa na CCM na Serikali yake kwa wapinzani hasa wakati wa uchaguzi mkuu uliopita.
[emoji1][emoji1]Hajui ni ugonjwa gani ila anajua unasababishwa na kitu gani. Mzaha huu
Duuhh.Hajui ni ugonjwa gani ila anajua unasababishwa na kitu gani. Mzaha huu
Angezuia kuenea kwa hofu! ... WATU wasitishwe wakaacha kufanya kazi! 😅Angelisaidia nini?
PM naye anatokwa damu? maana yupo kusiniLabda ni uharibifu wa mbuga ya seolui kule bwawani