Memento
JF-Expert Member
- Jun 13, 2021
- 4,423
- 9,986
MnavyoambiwaTanzania ni nchi maskini unafikiri mnaongopewa?Nashauri tupunguze uchomaji mkaa, tuboreshe huduma za umeme na gas
80% ya wananchi hawana huo uwezo wa kutumia umeme na gasi kupikia. Sababu kubwa ni gharama. Usikiri watu wanapenda kutumia kuni na mkaa.
Mm mwenyewe tu muajiriwa natumia gas na mkaa kwa pamoja, ili kukwepa gasi kuisha haraka. Maana kila mwezi najaza 60000. Leo useme niache kutumia mkaa Ina maana lazima kwa mwezi nijaze mara mbili hadi mara 3, ntaweza?