Rais Samia: Mikoa ya Kusini watu wanatokwa damu puani na kudondoka. Hatujui ni ugonjwa gani, uchunguzi unaendelea

Nashauri tupunguze uchomaji mkaa, tuboreshe huduma za umeme na gas
MnavyoambiwaTanzania ni nchi maskini unafikiri mnaongopewa?
80% ya wananchi hawana huo uwezo wa kutumia umeme na gasi kupikia. Sababu kubwa ni gharama. Usikiri watu wanapenda kutumia kuni na mkaa.

Mm mwenyewe tu muajiriwa natumia gas na mkaa kwa pamoja, ili kukwepa gasi kuisha haraka. Maana kila mwezi najaza 60000. Leo useme niache kutumia mkaa Ina maana lazima kwa mwezi nijaze mara mbili hadi mara 3, ntaweza?
 
Mbona sisi tuko kusini huku,na hajui Kama Kuna kitu Cha namna hiyo,
 
Sasa watatukimbia wanaifuata royal tour kwa maladhi.
 
Yeye anamuamini vipi waziri mkuu ambaye kitaifa haaminiki kutokana na kauli zake kumsaliti?....atumie reference nyingine otherwise hizo ni fix za mheshimiwa PM.
 
Angesubiri wataalamu waje waseme ni ugonjwa gani. Hii itazua taharuki hata kwa wageni wanaokuja
Bora azue taharuki kuliko kuficha maradhi. Wapo walio ficha maradhi na mauti ikwaumbua
 
Huyu mama ana laana kabisa siyo bure ...RIP JPM
 
Wewe nadhani ni miongoni mwa watu wachache walioelewa hotuba ya Rais.,,,,ametumia Sanaa kuwasilisha ujumbe wake.....Na walengwa watakuwa wameshamuelewa....

Huwezi kutojua Ugonjwa lakini ukajua chanzo chake.....
 
Nimeshangaa sana, sasa uchunguzi wa njni?
 
Ndio kwa sababu kinachotokea ni virus ambao traditionally wanaishi kwa wanyama pori kupata new hosts (binadamu) kwa njia tofauti all of which entails kuingilia mazingira yao.
Kuwala haiwezi kuwa njia ya kupata new host..ambayo si lazima wawe virusi!!!?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…