Rais Samia mpige chini Humphrey Polepole, ni jipu!

Ni kweli Polepole aliteuliwa na Magufuli, na hilo ni mbaya zaidi, mbaya kwa sababu Polepole anafikiri yupo pale kumwimbia sifa na utukufu Mafufuli.
Wakati wa Awamu ya 5, kama msemaji wa chama, wala hakuona upotevu wa 1.5 tril.
Kama msemaji wa chama cha wanyonge hakusikia ubambikaji wa kesi za uhujumu, wala hakusikia kutekwa kina Mo na Rima Mkatoliki.
Lissu alipopigwa risasi na mtu wenu watu wenye roho safi wslistuka sana, hata Mama Samia alienda kumuona hospitali.
Lakini chama, kimyaa!

Sasa mshamba huyu alisifia utamu wa ma V8, halafu leo kaoata mdomo wa kuongelea masuala yaliyimzidi uwezo wa kufikiri.
NEVER!
 
Baadhi ya watu wanampinga Polepole kisa tu yeye hakutoka hadharani kupinga yaliyokua yanafanyika kipindi cha Magu,wanasahau kua kukaa jwake kimya kipindi kile,hakuhalalishi eti mabaya ya kipindi hiki kuendelelea kufanyika pasipo kukemewa na yeye au yeyote anayeona mambo hayaendi sawia.
 
Huyu Pole pole ni muharifu kama Sabaya tu. Ndio aliongoza campaign za kuwanunua waunga mkono. Na walilipa pesa nyingi sana na yeye akawa mpigaji humohumo.

Hebu fikiria mtu kama Waitara ndio wa kununua 600m au akina Mwambe, Kuchauka nk?

Afunguliwe mashitaka
 
Kwa CCM kukosoa ni issue ya kutumbuliwa, nchi ya watu milioni 60 hatuwezi kuwa na mawazo sawa acheni watu waongee
Hata mkiwa watu 10 ku differ ni chachu ya mjadala
[emoji106][emoji1666][emoji122]
 
Upinzani umezaliwa ndani ya ccm
 
Kweli kabisa, Polepole is a spineless criminal.
 
Mtoa mada apigwe chini Kwa kosa lipi wao kama serikali kama waliona maneno hayo Yana ukakasi wangejibu mapema kuondoa hii Hali na Jana msemaji wa serikali alikua Hana habari hii na mtuache tulivyoelewa ndio hivyohivyo tumeelewa
 
Kwa hiyi unasema unafiki katika siasa ni poa tu!
 
Ulitaka Uhuru upi bwashee,?ule Uhuru wa kutukana na kuwaita watu mafisadi wakiwa ccm,uku wakija upande wa pili wanakuwa wakombozi; maana kama Uhuru wa kutukana nilikuwa naona hapa jamii foram,kila siku mlikuwa mnatukana mpaka Magufuri akatamani malaika wangeshuka wakazima hii mitandao.
 
Pole pole ubunge ataukosa mda sio mrefu..inatakiwa ajifunze kwa bashiru..
 
Nyerere : Tunahitaji vijana wanaohoji.
 


Wananchi sisi tulielewa mawaziri wale kwa urefu wa kamba zao na waangalie wasivimbiwe
 
Huwa wanawatukana hata wazee wale ambao wanakosoa hata kama ni constructive criticism, Mimi sijajua mpaka Leo kwamba huwa wanatumwa na wakubwa wao au huwa wanajiamulia tu ili kujipendekeza ?!!!
 
Kiukweli nashangaa mwenyekiti wetu wa chama kwanini hawamvui uanachama huyu mnafiki Polepole
 
Kwa CCM kukosoa ni issue ya kutumbuliwa, nchi ya watu milioni 60 hatuwezi kuwa na mawazo sawa acheni watu waongee
Polepole ni kirusi ndani ya CCM, inatakiwa afukuzwe aende akawe mpinzani rasmi kenge huyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…