Rais Samia mpige chini Humphrey Polepole, ni jipu!

Rais Samia mpige chini Humphrey Polepole, ni jipu!

Wakati sisi wana CCM tulielewa vyema maana ya Rsis kuwaasa mawaziri wake kutoingiliana kimamlaka na utendaji alipoongea na baraza lake la mawaziri, kwa uwazi, wengine wameamua kumwekea Mama Samia maneno mdomoni, kwa maana hasi na isiyostahili utumishi wa umma.

Polepole, mbunge wa kuteuliwa na Rais Samia amekuwa akimnanga Mama Samia kila apatapo nafasi hiyo, na kumpinga Mama waziwazi.

Mimi mmoja wa tulioukubali, kuupokea na kuunga mkono utawala wa Awamu ya Sita, naona huyu Polepole ni msaliti, apigwe chini.

Polepole, kama Ndugai wana mipango ambayo haiko wazi.

Wakae nje ya uongozi ili mambo yao wakayasuke vizuri.
maso pa kyindi tumvumilie tu Polepole kwa kuwa anatumia uhuru wa maoni ulioruhusiwa na Rais SSH mwenyewe alipopokea madaraka ya kuongoza Nchi baada ya yule Dikteta kufariki na kuzikwa Chato.

Watanzania hatukuzoea kunyimwa haki ya kujieleza kama alivyoiminya Mwendazake Magufuli
 
Sas
Wakati sisi wana CCM tulielewa vyema maana ya Rsis kuwaasa mawaziri wake kutoingiliana kimamlaka na utendaji alipoongea na baraza lake la mawaziri, kwa uwazi, wengine wameamua kumwekea Mama Samia maneno mdomoni, kwa maana hasi na isiyostahili utumishi wa umma.

Polepole, mbunge wa kuteuliwa na Rais Samia amekuwa akimnanga Mama Samia kila apatapo nafasi hiyo, na kumpinga Mama waziwazi.

Mimi mmoja wa tulioukubali, kuupokea na kuunga mkono utawala wa Awamu ya Sita, naona huyu Polepole ni msaliti, apigwe chini.

Polepole, kama Ndugai wana mipango ambayo haiko wazi.

Wakae nje ya uongozi ili mambo yao wakayasuke vizuri.
TCRA sasa watakata ulimi . Kwani hatimii tena system ambayo inatawaliwa na TCRA
 
Angemtoa tuu maana falsafa zao haziendani...ni bora Polepole ajiengue mwenyewe au Mama amle kichwa na hii itakuwa sio ajabu hata Shibuda alishawahi kuoneshwa mlango wa kutokea.
 
maso pa kyindi tumvumilie tu Polepole kwa kuwa anatumia uhuru wa maoni ulioruhusiwa na Rais SSH mwenyewe alipopokea madaraka ya kuongoza Nchi baada ya yule Dikteta kufariki na kuzikwa Chato.

Watanzania hatukuzoea kunyimwa haki ya kujieleza kama alivyoiminya Mwendazake Magufuli
Kweli mkuu, lakini angesema mtu yeyote si huyu mnafiki wa ma VIEITE.
Alipokuwa na tonge mdomoni watu waliteswa, waliuwawa, walipokwa mali zao, na wengi walibambikwa kesi za uhujumu.
Yeye akawa ankeenua tu kumsifu mwendazake.
Hakunyanyua domo lake chafu, akawa anasifia uroda wa ma VIETE.
Sasa mdomo huo huo hauwezi kumtetea mwananchi.
Ni mnafiki huyu jamaa, angesema mtu mwingine tungesema , ooh okay!
Huyu NO!
 
Wakati sisi wana CCM tulielewa vyema maana ya Rsis kuwaasa mawaziri wake kutoingiliana kimamlaka na utendaji alipoongea na baraza lake la mawaziri, kwa uwazi, wengine wameamua kumwekea Mama Samia maneno mdomoni, kwa maana hasi na isiyostahili utumishi wa umma.

Polepole, mbunge wa kuteuliwa na Rais Samia amekuwa akimnanga Mama Samia kila apatapo nafasi hiyo, na kumpinga Mama waziwazi.

Mimi mmoja wa tulioukubali, kuupokea na kuunga mkono utawala wa Awamu ya Sita, naona huyu Polepole ni msaliti, apigwe chini.

Polepole, kama Ndugai wana mipango ambayo haiko wazi.

Wakae nje ya uongozi ili mambo yao wakayasuke vizuri.
Lwa akili yako Samia anawezakumteua Polepole kuwa mbunge! Samia kazi yake kuteua vichwa panzi tu! Ndo maana hata Lukuvi na kabudi kawatoa uwaziri na kuwateua kuwa washauri wa mawaziri!
 
Polepole wivu unamsumbua mbona yeye wakati wa Jiwe alikuwa akijipimia urefu wa kamba yake hasa kwenye deal la ununuzi wa wapinzani!
 
1643634109824.png

Huyu jamaa ajue tu kuwa muda wake umepita, na hana chake tena.
The only asset aliyokuwa nayo ni mdomo wake, na aliutumia vibaya, na anaendelea kutoushirikisha ubongo wake hata sasa.
 
Wakati sisi wana CCM tulielewa vyema maana ya Rsis kuwaasa mawaziri wake kutoingiliana kimamlaka na utendaji alipoongea na baraza lake la mawaziri, kwa uwazi, wengine wameamua kumwekea Mama Samia maneno mdomoni, kwa maana hasi na isiyostahili utumishi wa umma.

Polepole, mbunge wa kuteuliwa na Rais Samia amekuwa akimnanga Mama Samia kila apatapo nafasi hiyo, na kumpinga Mama waziwazi.

Mimi mmoja wa tulioukubali, kuupokea na kuunga mkono utawala wa Awamu ya Sita, naona huyu Polepole ni msaliti, apigwe chini.

Polepole, kama Ndugai wana mipango ambayo haiko wazi.

Wakae nje ya uongozi ili mambo yao wakayasuke vizuri.
Kwani pole pole ana uongozi upi serikalini?
Au umesha kunywa taptap zako ukazani alipata uwazili?
Ndugai alimhoji na kumtoa kwenye kamati kama mwenyekiti kisha akajikuta yeye nae ana ambiwa ajiuzuru na kisha kufanya hivyo
Sasa kama wangekuwa pamoja angemuhoji kwa lipi na kumtoa kwenye kamati?
Kama raisi ameona kuna watu wanavimbiwa na anakaa kimya bila kuwatumbua na wao nao hawaoni aibu ya kuvimbiwa kwa nini wasiambiwe ili wajirekebishe.
 
Mleta mada akili huna wewe ndo unapindisha ukweli na maana ,amini usiamini rais atakukana hii statement yako.
 
Wakati sisi wana CCM tulielewa vyema maana ya Rsis kuwaasa mawaziri wake kutoingiliana kimamlaka na utendaji alipoongea na baraza lake la mawaziri, kwa uwazi, wengine wameamua kumwekea Mama Samia maneno mdomoni, kwa maana hasi na isiyostahili utumishi wa umma.

Polepole, mbunge wa kuteuliwa na Rais Samia amekuwa akimnanga Mama Samia kila apatapo nafasi hiyo, na kumpinga Mama waziwazi.

Mimi mmoja wa tulioukubali, kuupokea na kuunga mkono utawala wa Awamu ya Sita, naona huyu Polepole ni msaliti, apigwe chini.

Polepole, kama Ndugai wana mipango ambayo haiko wazi.

Wakae nje ya uongozi ili mambo yao wakayasuke vizuri.
Kwani Mama alipowaambia mawaziri wale kwa urefu wa kamba zao alimaanisha nini
 
Kwani pole pole ana uongozi upi serikalini?
Au umesha kunywa taptap zako ukazani alipata uwazili?
Ndugai alimhoji na kumtoa kwenye kamati kama mwenyekiti kisha akajikuta yeye nae ana ambiwa ajiuzuru na kisha kufanya hivyo
Sasa kama wangekuwa pamoja angemuhoji kwa lipi na kumtoa kwenye kamati?
Kama raisi ameona kuna watu wanavimbiwa na anakaa kimya bila kuwatumbua na wao nao hawaoni aibu ya kuvimbiwa kwa nini wasiambiwe ili wajirekebishe.
Mkuu usiongee uharo na kupitiliza!!
Polepole alikuwa zaidi ya waziri, ila ushamba hakumwacha salama, akaishia kusifia ma Vieite!
 
Wakati sisi wana CCM tulielewa vyema maana ya Rsis kuwaasa mawaziri wake kutoingiliana kimamlaka na utendaji alipoongea na baraza lake la mawaziri, kwa uwazi, wengine wameamua kumwekea Mama Samia maneno mdomoni, kwa maana hasi na isiyostahili utumishi wa umma.

Polepole, mbunge wa kuteuliwa na Rais Samia amekuwa akimnanga Mama Samia kila apatapo nafasi hiyo, na kumpinga Mama waziwazi.

Mimi mmoja wa tulioukubali, kuupokea na kuunga mkono utawala wa Awamu ya Sita, naona huyu Polepole ni msaliti, apigwe chini.

Polepole, kama Ndugai wana mipango ambayo haiko wazi.

Wakae nje ya uongozi ili mambo yao wakayasuke vizuri.
Inaonyesha ni jinsi gani uelewa wako ulivyo mdogo. Kwanza mama Samia siye aliyemteua Ubunge Polepole. Polepole aliteuliwa na Magufuli.

Kuhusu hilo la "kula kwa urefu wa kamba yako ...." hata kama wanaCCM mtakuwa mmeielewa tofauti hilo halibadili maana halisi ya alichokisema. Uzuri alitoa pia mifano ya malipo kwenye meli na ujenzi wa barabara unavyokuwa compromised .....!!

Kumuondoa Polepole ni sawa kwa kuwa ni KIROBOTO ndani ya CCM na ana uchungu ila anachokisema ni kweli .... Maza kachemka na kaonyesha msimamo wake wazi kuhusu anavyoamini kuhusu RUSWA.
 
Wakati sisi wana CCM tulielewa vyema maana ya Rsis kuwaasa mawaziri wake kutoingiliana kimamlaka na utendaji alipoongea na baraza lake la mawaziri, kwa uwazi, wengine wameamua kumwekea Mama Samia maneno mdomoni, kwa maana hasi na isiyostahili utumishi wa umma.

Polepole, mbunge wa kuteuliwa na Rais Samia amekuwa akimnanga Mama Samia kila apatapo nafasi hiyo, na kumpinga Mama waziwazi.

Mimi mmoja wa tulioukubali, kuupokea na kuunga mkono utawala wa Awamu ya Sita, naona huyu Polepole ni msaliti, apigwe chini.

Polepole, kama Ndugai wana mipango ambayo haiko wazi.

Wakae nje ya uongozi ili mambo yao wakayasuke vizuri.

Nadhani wewe ndiye unayemwekea Mama maneno mdomoni. Nukuru maneno yake!
 
Back
Top Bottom