Rais Samia: Msikubali wanaotaka kuanzisha chokochoko, pakichafuka ni wewe utakayekaa ndani

Rais Samia: Msikubali wanaotaka kuanzisha chokochoko, pakichafuka ni wewe utakayekaa ndani

Walimuachia yule chizi akaja na siasa zake za kipuuzi uje hata Kufa Kipuuzi ni Ujinga wala sio Ushujaa.

Alisema ana wembe wa kumnyolea mtu, ajiandae kisaikolojia kipindi hiki akitiwa mikononi atazalisha sana mahindi na choroko.

Wali mu Understimate Madam
Wanapima mji ya bahari kwa mguu. Shwain
 
Rais Samia amewataka wananchi wa Morogoro wasikubali chokochoko zinazoanzishwa na baadhi ya watu.

Amesema hao wanaotaka kuanzisha vurugu wameshaandaa na wanajua watakavyojitibia ikitokea wamepata madhara...
Mh.Rais yuko SAHIHI....

MBOWE ana majumba ARABUNI....
MBOWE ana makazi LONDON.....
MBOWE ana makazi MAREKANI....

Haya mwenzangu mimi KINGALU litakapotokea sijui utajificha milima ya uluguru?!!!!

#KaziIendelee
 
Lisu mwezi mchanga umeingia kaanza kuwa mwehu tena.
Jamaa anapoteza tu muda wake....

Anatuletea siasa za kiliberali za "CONGRESS" ilihali watanzania walio wengi hawataki SIASA ZINAZOKOSA STAHA ,ADABU NA HESHIMA YA MWAFRIKA......

#KaziIendelee
 
Tundu Lissu hana uzalendo hata nukta na nchi yetu. Tundu ana tamaa sana na uongozi hawezi, hafai kabisa kuwa kiongozi na hana hekima wala busara hata kidogo.
 
Hivi Sanamu la mwendazake litawekwa lini mtaani, ili tukamalizie hapo hasira zetu kwa KULIPOPOA NA MAWE yakutosha?
 
Tundu Lissu hana uzalendo hata nukta na nchi yetu. Tundu ana tamaa sana na uongozi hawezi, hafai kabisa kuwa kiongozi na hana hekima wala busara hata kidogo.
Barakala la mabeberu....
 
Huyu mama anajifanya eti anataka kuliponya taifa. Aliyelihalibu ni nani kama siyo yeye na Magufuli?? Mnafiki sana huyu mama
 
Huyu mama anajifanya eti anataka kuliponya taifa. Aliyelihalibu ni nani kama siyo yeye na Magufuli?? Mnafiki sana huyu mama
"MAZINGIRA" ya utawala wa mh.SSH umeshajiisha KESI ZA WATU ZIENDESHWE haraka na kutolewa uamuzi....

Leo UAMSHO wako nje wanajipigia UROJO ,SHOKISHOKI na AL KASUS kule Stone Town na Chokocho....
Leo MDUDE NYAGALI anakula maparachichi uraiani.....
Leo MH.MBOWE yuko uraiani pamoja na kurudishiwa zile milioni 300......
Leo HARBINDER SINGH SETH anakula biriani baada ya PLEA BARGAIN......
Leo baadhi ya "viongozi" wenye makandokando wako katika mikono ya sheria.....
Leo TRA imeacha zile "TASK FORCE" za makusanyo ya nguvu ya KODI.....
Leo tunapambana na janga la CORONA kivitendo kwa kukiri kuwa IPO NA TUENDELEE KUCHUKUA TAHADHARI ....
Leo ametufutia ile tozo ya RETENTION ya 6% pale HESLB....
Leo wameajiriwa vijana wenzetu 8000 baada ya kukosekana ajira kwa takribani miaka 6......
 
Mama Samia ni vizuri akaamua upande wa kusimama. Anataka kusimama upande wa haki au upande wa mtekaji na muuaji. Asiwe "si moto si baridi".

Kama anasimama upande wa haki, aukane utawala dhalimu uliopita.

Kama anasimama na utawala dhalimu wa awamu ya tano, anene wazi, ili watu wapambane naye rasmi.

Marehemu alitumia kauli kali na za vitisho, watu hawakuogopa.

Aliteka, aliwapoteza, aliua, watu hawakuogopa.

Alishambulia watu kwa risasi, hawakuogopa.

Mwishowe aliishia kudharaulika, na kulaaniwa na Dunia.

Sidhani kama Samia atafanya kitu kipya akiamua kufuata nadharia ya mtangulizi wake.
 
Nilikua nakukumbusha tu maana inawezekana ukawa umesahau kwamba Kwa hapa nyumbani ukiamua kwenda na Rais ujue unakwenda kukutana na mtu wa aina gani.

Hata kama hataki kuyatumia vibaya ila madaraka yenyewe yatajilindia kwa kupitia njia zote hizo nilizozitaja.

Hivyo mkubwa Leo aliposema hivyo tambua tu kasema katika capacity ipi.
Anakaribisha wamjaribu (call her bluff)?

Itapendeza? (sikupata neno zuri) kuona dikteta mwananmke. Hivi duniani kote uliwahi kusikia kiongozi mwanamke dikteta?

Safari hii Tanzania tutakuwa nchi ya kwanza duniani kumpata dikteta wa kike, tena ambaye hakuchaguliwa moja kwa moja na wananchi.

Hebu nijaribu 'soundbyte' yake itakavyosikika: "DIKTETA SAMIA SULUHU HASSAN"!

Sure has a ring to it!
 
Anakaribisha wamjaribu (call her bluff)?

Itapendeza? (sikupata neno zuri) kuona dikteta mwananmke. Hivi duniani kote uliwahi kusikia kiongozi mwanamke dikteta?..
Hamuishiwi VITUKO NA UZUSHI....

Yaani mh.SSH ambaye mazingira ya utawala wake umemfanya mh.Mbowe ashinde kesi yake na kurudishiwa zile milioni 300 zao ?!!

MDUDE NYAGALI yuko kwao anakula maparachichi tu....

MASHEIKH wa UAMSHO wako kule Stone Town wakijipigia UROJO NA MASHOKSHOK......

HARBINDER SINGH SETH yuko nyumbani anatandika tu biriani baada ya PLEA BARGAIN....

Mnyika na wenzake walimuita mh.JMK kuwa na DIKTETA....mpaka akasema "yaani mimi ni diketa ,mbona sijatumia hata robo ya presidential decree"?!!

Cha ajabu mwishoni ,Mnyika akageuza kibao na kumuita mh.JMK kuwa ni RAIS LEGELEGE....

Ninyi tumeshawazoea na UKIGEUGEU WA MANENO ,KEDI ,UZUSHI NA SIASA ZA "TARNISHING OF IMAGES"......

#KaziIendelee
#Mh.SSHNiMzalendoWaMfano
 
Kwani hao waliofeli walikuwa hawataki kuweka uchumi sawa? Mna miaka 60 madarakani mmeshindwa kuweka uchumi sawa, saa ndio mtaweka sawa sasa? Ni hivi, katiba mpya ni lazima fullstop.
Akianza kuua raia wake kwa kudai katiba mpya, sijui huo uchumi ataujenga vipi!
 
Hamuishiwi VITUKO NA UZUSHI....

Yaani mh.SSH ambaye mazingira ya utawala wake umemfanya mh.Mbowe ashinde kesi yake na kurudishiwa zile milioni 300 zao ?!!

MDUDE NYAGALI yuko kwao anakula maparachichi tu....

MASHEIKH wa UAMSHO wako kule Stone Town wakijipigia UROJO NA MASHOKSHOK......

HARBINDER SINGH SETH yuko nyumbani anatandika tu biriani baada ya PLEA BARGAIN....

Mnyika na wenzake walimuita mh.JMK kuwa na DIKTETA....mpaka akasema "yaani mimi ni diketa ,mbona sijatumia hata robo ya presidential decree"?!!

Cha ajabu mwishoni ,Mnyika akageuza kibao na kumuita mh.JMK kuwa ni RAIS LEGELEGE....

Ninyi tumeshawazoea na UKIGEUGEU WA MANENO ,KEDI ,UZUSHI NA SIASA ZA "TARNISHING OF IMAGES"......

#KaziIendelee
#Mh.SSHNiMzalendoWaMfano
Kwa hiyo hayo ndiyo yalikuwa malipo ya kutodai katiba mpya?

Aliyafanya hayo kuwafurahisha hao watu wasimsumbue kudai katiba?

Kama hayo ndiyo yalikuwa matarajio yake, ajue kakosea sana. Hakuna kilicho muhimu kushinda katiba inayolinda haki za wananchi wote.
Hatuhitaji fadhira za mtu mmoja kuamua lipi jema na lipi baya kwa watu milioni sitini na zaidi.

Lakini ngoja nikutume wewe ukatuwakilishe na maoni yetu haya: Nenda kamweleze, iliwezekana vipi kayafanya yooote hayo uliyoorodhesha hapo kwamba kayafanya, ambayo ni magumu sana kwa kiongozi kuyafanya, halafu iweje ashindwe kufanya jambo rahisi kabisa la Katiba mpya?

Peleka ujumbe huo haraka.
 
Back
Top Bottom