Rais Samia: Msikubali wanaotaka kuanzisha chokochoko, pakichafuka ni wewe utakayekaa ndani

Watoto wenu wanasoma bure, aisee, ccm inaalibu Sana vipaji ,

Elewa hakuna elim bure Tz , ni Siasa, ila ata iyo mnaoita elim bure pia watoto wanatoka bure,

Mbona Nyie hampeleki watoto wenu kwenye shule izo za bure, ACHA propaganda uchwara, unaleta chakochoko za elim bure wakati hamna kitu, kipaji Chako sio Cha kukaa ccm basi tu unalazimisha, karibu CHADEMA mkuu
 

Na wehu wenyewe ndio huu👇👇👇

Your browser is not able to display this video.


Chadema watasubiri sanaaaaa. Hakuna mwananchi anataka hizi mambo
 
Kuna movie inaitwa Lord of the ring. Hiyo ring ni kama kiti cha urais cha Tanzania.
Wale waadilifu walikuwa hawakutaka kabisa kuivaa hiyo pete kwani ilikuwa ina uwezo wa kumbadirisha mwema na akawa muovu.

Taratibu namwona mama anaelekea njia ya upotevuni. Njia ya waovu.
Mama ajue UOVU HAUSHINDI.

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Taifa la watu mil 60 mnatikiswa na Mdude Nyagali

Rais is playing to our fears.

Siasa na chokochoko ziko toka 1929 ilipoanzishwa TAA, mbona tuko vizuri ?

Acheni kutisha watu!

Tunataka Katiba mpya!
Hajakataa kutuletea hiyo katiba mpya alichosema tumpe muda

Twende nae taratibu vinginevo tukimzingua hashindwi kuzingua

Mtu ana miezi minne toka aanze uongozi, ana mambo mengi ya kuweka sawa kwanza

Kuna lipi gumu tunaloshindwa kumuelewa hapo? Isitoshe majadiliano zaidi kuliko mabavu

Tusimlazimishe awe dikteta kisha mwisho wa siku afanye anavojiskia kama mwenda zake na hatuna la kufanya zaidi ya kulalamika tu

Hivo tuache kumtoa mama kwenye reli kwa kelele za vurugu vinginevo tuombe hiyo katiba mpya kwa namna ya kidiplomasia kama tuna haraka nayo zaidi
 
Wanasema ukila na kipofu usimshike mkono sasa nyie mnataka kukimbia na sahani ya msosi kabisa
 
*IPO HAJA YA KUDHIBITI SUALA HILI KWA NGUVU ZOTE,WANAPIMA KINA CHA MAJI HAWA WAPUUZI KI MAKUSUDI *
Nadhani ipo haja ya SSH kua dopt baadhi strategy chache za mwenda zake,
•vikao vya ndani vya kichama iwe ruksa.
•wabunge kufanyavsiasa majimboni mwao iwe ruksa.
•kujadili mambo ndani ya kumbi ruksa.
:::VYOMBO VYA USALAMA VIAGIZWE HIVYO.
:::TUKIWACHEA NYANI TUTAVUNA MABUA.
 
Hakuna mwenye tatizo na msimamo wake, na sisi msimamo wetu tutaendelea kuidai kila siku, maana katiba sio yake bali ni ya wananchi. Hatutakaa kimya mpaka siku yeye na chama Chake watake.
Kwahiyo tunaonyeshana makali???

Dr. Shika alale pema. Hahaahahahaha
 
Kama halipo kwenye ilani ya chama sahau
 
Hii issue kwa jinsi alivyoanza nayo tayari inaonekana hataweza.

Ni bora akutane na Wapinzani awape time line ya jinsi gani atatoa katiba mpya. Wote tunajua anavuta muda kwa ajili ya second term.
Imekula kwenu nyambaf nyie.

Tulishawaambia humu na tunaendelea kuwaambia, rais hana muda mchafu. Ana majukumu ya kuyatekeleza. Akutane na wapinzani ili iweje?
 
Mh.Rais yuko SAHIHI....

MBOWE ana majumba ARABUNI....
MBOWE ana makazi LONDON.....
MBOWE ana makazi MAREKANI....

Haya mwenzangu mimi KINGALU litakapotokea sijui utajificha milima ya uluguru?!!!!

#KaziIendelee
Kingalu😀😀😀😀😀
 
Hawa wehu hawayaoni haya
 
Mama hafundishwi na mtu kama wewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…