rip faza_nelly
JF-Expert Member
- Feb 19, 2018
- 5,749
- 7,038
Yeah wananchi wao waliwachoka pia, lakini kibongo bongo wananchi hawajachoka bado, Ni kikundi tu kidogo Cha watu wachache ndo mnajifanya wanaharakati.Elbashir na Mugabe nao walikuwa wanamiliki hivyo vyombo, tupe mrejesho wao.
Bwana wewe, Magufuli aliwanyoosha Hadi mkakosa nguvu na kila kitu Sasa hivi acheni kujimwambafaiTuliletewa Maghufuli kwasababu Kikwete alishambuliwa “daily”? Tuliletewa na nani? Unaongea kama vile ni chakula tuliagiza, ama labda bidhaa flani!
Hakuna aliyeufyata kama unavyosema, nashangazwa sana na fikra zako.
Alikosolewa hadi akaitwa Dikteta uchwara. Wengi walipotea, kubambikiwa kesi, kutekwa, na majaribio ya kuuwawa kama ambavyo wengine walivyouwawa. Na wengine wao walikimbia nchi. Tayari tulishaanza kuonekana Taifa la ajabu na hata kuanza kususiwa! Taifa halikuwa sawa. Na nina Uhakika kwamba rais Samia analifahamu hilo fika. Hivyo hawezi kuitumia katiba hii mbovu kama alivyofanya mwendazake.
Linakwepeka! Mpaka sasa tangu 77 tumelikwepa. Linakwepeka na maadamu linatoka kwenye kinywa cha wasiopendwa (wapinzani) na wananchi, msukumo ni mdogo, soon nao wataliacha wadandie jambo lingine! Hii ni kutokana na tulivyo wazoea.hata kama hakuna passport lakini katiba mpya ni jambo lisilokwepeka
AMENMungu amtunze sana rais wetu Samia Suluhu Hassan
Chuma JPM alinoa chuma SSH 💪😆
Sasa kama huamini kwamba watoto wetu wanasoma bure sina namna nyengine ya kukuaminisha. Labda mwenzangu upo Ubelgiji, rudi nyumbani mkuu kumenoga.Watoto wenu wanasoma bure, aisee, ccm inaalibu Sana vipaji ,
Elewa hakuna elim bure Tz , ni Siasa, ila ata iyo mnaoita elim bure pia watoto wanatoka bure,
Mbona Nyie hampeleki watoto wenu kwenye shule izo za bure, ACHA propaganda uchwara, unaleta chakochoko za elim bure wakati hamna kitu, kipaji Chako sio Cha kukaa ccm basi tu unalazimisha, karibu CHADEMA mkuu
Huyu duh!Na wehu wenyewe ndio huu👇👇👇
View attachment 1845387
Chadema watasubiri sanaaaaa. Hakuna mwananchi anataka hizi mambo
Well said mkuuHajakataa kutuletea hiyo katiba mpya alichosema tumpe muda
Twende nae taratibu vinginevo tukimzingua hashindwi kuzingua
Mtu ana miezi minne toka aanze uongozi, ana mambo mengi ya kuweka sawa kwanza
Kuna lipi gumu tunaloshindwa kumuelewa hapo? Isitoshe majadiliano zaidi kuliko mabavu
Tusimlazimishe awe dikteta kisha mwisho wa siku afanye anavojiskia kama mwenda zake na hatuna la kufanya zaidi ya kulalamika tu
Hivo tuache kumtoa mama kwenye reli kwa kelele za vurugu vinginevo tuombe hiyo katiba mpya kwa namna ya kidiplomasia kama tuna haraka nayo zaidi
Akiendelea kuzuia watu ku-exercise haki zao za kikatiba hakika atakufa mdomo wazi kama kaka yake.Mark these words.Kuna movie inaitwa Lord of the ring. Hiyo ring ni kama kiti cha urais cha Tanzania.
Wale waadilifu walikuwa hawakutaka kabisa kuivaa hiyo pete kwani ilikuwa ina uwezo wa kumbadirisha mwema na akawa muovu.
Taratibu namwona mama anaelekea njia ya upotevuni. Njia ya waovu.
Mama ajue UOVU HAUSHINDI.
Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
akifa yy atakuja mwingine nyie mlikosea sana kumdhihaki Rais Magufuli aliyekuwa na nia njema na hili Taifa true colors ya CHADEMA ilishajionyesha hamsamehekiAkiendelea kuzuia watu ku-exercise haki zao za kikatiba hakika atakufa mdomo wazi kama kaka yake.Mark these words.
Samia atageuka Magu sasa hivi.Rais Samia amewataka wananchi wa Morogoro wasikubali chokochoko zinazoanzishwa na baadhi ya watu.
Amesema hao wanaotaka kuanzisha vurugu wameshaandaa na wanajua watakavyojitibia ikitokea wamepata madhara.
Amewataka wananchi kutokubali na kutunza amani iliyopo. Amesema hayo akiwa Morogoro kwa ziara ya siku mbili.
NB: Possibly Rais anawaasa wanaotaka katiba mpya.
===
Rais Samia: Niwaombe sana tulinde amani, vijichokochoko vimeanza naomba msivipokee, wanaokuja na vijichokochoko walishajua matumbo yao yanajaaje, chakula chao wanatoa wapi, pesa za matibabu watatoa wapi, nawaomba wasije wakawaingiza kwenye huo mkenge”
Rais Samia: “Pakichafuka ni wewe utakayekaa ndani na Watoto wako na Mama Watoto na msijue chakula mnatoa wapi, msijue Mtoto akiumwa mtakwenda kumtibu na pesa gani, niwaombe sana tulinde amani yetu, Nchi yetu itulie tuendelee na maendeleo yetu
Mama ameshtuka. Ameona kama akiendelea kuwa mpole, watadeka sana!Mama hajakaa kinyonge aisee
Kama meko alivyolala nao mbereee akapitiliza mpaka kaburiniBavicha ndio wanaotaka kuleta vita, lala nao mbele hao hawana maana
Bongo ngumu sana hii nchiSamia atageuka Magu sasa hivi.
Mama kapanic sana ndo maana kaanza kuongea mipasho majukwaani.Inaonyesha ana roho ndogo sana sasa kwa hali hii ninapata mashaka uko tuendako.ila mimi bado ninaamini muda utatupa majibu sahii.Ngoja tuone.Mama hoja za akina Mbowe zimemshinda aisee
Mama hoja ya Katiba Mpya ishamuwehusha
Mama akae na team yake wenye akili timamu wasolve hii issue ya Katiba,otherwise ataanza kuongea vituko sasa hivi
Amuulize Kikwete,Katiba Mpya mziki hata yeye ulimshinda kukwepa
Utakwepa kwa hoja gani?Hakuna
Hoja eti ya hovyo kama eti nataka nifanye maendeleo kwanza ni laini kama mlenda na ilishindwa siku ile ile
Mama aache kupaniki,asolve hili tatizo kama expert,wape Katiba Mpya wananchi,no way out of this!
KWANINI MNAKIMBILIA AMANI NA MAENDELEO KAMA KINGA YENU KUBAKI MADARAKANI HIVI NINAN AMBAE ANAWEZA KULETA VITA KAMA CYO CCM WENYEWE? WATU WAKIANDAMANA POLICE KAZ YAKE NI KUWALINDA NANI ATAKETA FUJO KAMA MAANDAMANO YAKIFANYWA CHINI YA ULINZI WA POLICE ? SEMEN TU UKWELI KUWA KATIBA MPYA NI MWIBA KWA WATAWALA JE CKU UPINZANI IKISHUKA DOLA KWA KATIBA MBOVU HII NA WAKAAMUA KULIPIZA VISASI WATU HAWATAUMIA? NDOMANA TUNATAKA KATIBA MPYA ILI WATU WOTE WAWE CHINI YA SHERIA KAMA HUTAFAID WW BASI VIZAZ VYETU WATU WANAIBA CAG ANATOA REPORT LKN HAKUNA HATUA YOYOTE SABABU YA KATIBA MBOVU NCHI ITAONGOZWA KWA UTASHI WA VIONGOZ MPAKA LIN YAAN NACHOKARais Samia amewataka wananchi wa Morogoro wasikubali chokochoko zinazoanzishwa na baadhi ya watu.
Amesema hao wanaotaka kuanzisha vurugu wameshaandaa na wanajua watakavyojitibia ikitokea wamepata madhara.
Amewataka wananchi kutokubali na kutunza amani iliyopo. Amesema hayo akiwa Morogoro kwa ziara ya siku mbili.
NB: Possibly Rais anawaasa wanaotaka katiba mpya.
===
Rais Samia: Niwaombe sana tulinde amani, vijichokochoko vimeanza naomba msivipokee, wanaokuja na vijichokochoko walishajua matumbo yao yanajaaje, chakula chao wanatoa wapi, pesa za matibabu watatoa wapi, nawaomba wasije wakawaingiza kwenye huo mkenge”
Rais Samia: “Pakichafuka ni wewe utakayekaa ndani na Watoto wako na Mama Watoto na msijue chakula mnatoa wapi, msijue Mtoto akiumwa mtakwenda kumtibu na pesa gani, niwaombe sana tulinde amani yetu, Nchi yetu itulie tuendelee na maendeleo yetu
Wanataka afwate ratiba za CDM.Tena ratiba za muhimu sana zenye maslahi makubwa kwa Watanzania
[emoji38]Hivi CHADEMA wanaamini kabisa wana uwezo wa kushinikiza chochote ??
Mleta ushoga Lisu akae hukohukoMama kapanic sana ndo maana kaanza kuongea mipasho majukwaani.Inaonyesha ana roho ndogo sana sasa kwa hali hii ninapata mashaka uko tuendako.ila mimi bado ninaamini muda utatupa majibu sahii.Ngoja tuone.
Yaliyomo kwenye ilani yanahusu wananchi kivipi wakati Samia alikiri kuwa waliiba kura na kuunda serikali kwa nguvu?Unawazungumzia wananchi gani hao ambao waliichagua CCM?Yaliyomo kwenye ilani ndiyo yanayowahusu wananchi..
Kwani yale matusi ya Magufuli pamoja na Kheri James hayakuwa yanaleta maendeleo?Kama mnadhani matusi yatawapa katiba mpya basi endeleeni kutukana.
Halafu suala la kuandamana ni haki ya kikatiba duniani kote hata Baba wa Taifa enzi za ukoloni aliandamana kupinga ukoloni.Halafu kama nyie mashujaa jitoeni kimasomaso ingieni mtaani,,siyo mnaongea tu huku kwenye keyboard na I'd feki mmejificha.
Sent using Jamii Forums mobile app