The got
JF-Expert Member
- Jun 26, 2021
- 367
- 390
Hivi kwanini mnaona fahari kutumia majeshi yetu kwa manufaa yenu peke yenu?Yule aliepanga kumnyoa mama na wembe ajiandae yeye sasa kunyolewa na chupa. Najua mwenyekiti wake aliemtuma muda huo atakuwa Dubai au South Africa kwa kisingizio cha kuchek afya yake.