mbegubora29
JF-Expert Member
- Mar 14, 2015
- 513
- 338
Inakuwaje achanganye ya "Katiba Mpya", na huko "Kujiandaa kujitibia"?NB: Possibly Rais anawaasa wanaotaka katiba mpya.
Yule aliepanga kumnyoa mama na wembe ajiandae yeye sasa kunyolewa na chupa. Najua mwenyekiti wake aliemtuma muda huo atakuwa Dubai au South Africa kwa kisingizio cha kuchek afya yake.Rais Samia amewataka wananchi wa Morogoro wasikubali chokochoko zinazoanzishwa na baadhi ya watu.
Amesema hao wanaotaka kuanzisha vurugu wameshaandaa na wanajua watakavyojitibia ikitokea wamepata madhara.
Amewataka wananchi kutokubali na kutunza amani iliyopo. Amesema hayo akiwa Morogoro kwa ziara ya siku mbili.
NB: Possibly Rais anawaasa wanaotaka katiba mpya.
Mee too namuombea heri katika kutawala taifa hili ambao wenye akili wachache tumezungukwa na vichaa lukuki!
Kisago Day Book😅Nilisha apa kuilinda nchi yangu mkuu, yeyote mwenye ujingaujinga ni kula ki......!
utapata tabu sana na ujauzito wa mabavichaBavicha ndio wanaotaka kuleta vita, lala nao mbele hao hawana maana
Wenye akili huwa hawavunji sheria, wanazifuata.Mee too namuombea heri katika kutawala taifa hili ambao wenye akili wachache tumezungukwa na vichaa lukuki!
Sawa mkuu nimekupataanaongoza mkuu hatawali.
NaaaamCc tundu lissu na genge lake, naimani hataweza huyu nduli kuvuruga amani yetu,tuko pamoja Sana rais wetu.
Sheria ipi iliovunjwa? Kuna mtu kanyang’anywa mkewe!?Wenye akili huwa hawavunji sheria, wanazifuata.
Yaan atawale au aongoze tunamuombea tu ukibisha lete chokochokoanaongoza mkuu hatawali.
Kudekeza nako Ni kubaya eeh naona chadema hawabebeki aiseeSheria ipi iliovunjwa? Kuna mtu kanyang’anywa mkewe!?
Wamejionesha tru color kuwa ni wapuuzi wanaotakiwa wapuuzwe tu ila not to that extent! Hilo ni angalizo kuwa waasisi wa choko choko wakiwa Dubai na Ubeligiji wapuuzi wa mtaani mtakuwa mnaugulia kisago 😂😂😂 cha mbwa koko non stop!Kudekeza nako Ni kubaya eeh naona chadema hawabebeki aisee