mbegubora29
JF-Expert Member
- Mar 14, 2015
- 513
- 338
Sure! Ila mama Ni mvumiliv saana na Ni mwanadiplomasia kwan kwa maneno binafsi ningesha waaribuWamejionesha tru color kuwa ni wapuuzi wanaotakiwa wapuuzwe tu!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sure! Ila mama Ni mvumiliv saana na Ni mwanadiplomasia kwan kwa maneno binafsi ningesha waaribuWamejionesha tru color kuwa ni wapuuzi wanaotakiwa wapuuzwe tu!
Maandamano ya katiba mpya lini kamanda?utapata tabu sana na ujauzito wa mabavicha
Hakika Safi saana mkuu mbona hata wao hawana kwann waiubir pengineTutafuatilia mapema kabisa, tangu muunda wazo tu la kuvuruga hii amani, tutakula naye sahani moja, mbona ni jambo dooogo kabisa!! hatutaki ujinga sisi
Demokrasia ni starehe ya Ulaya na American huko
Jana kapiga magoti huko...Kiwembe kinakujaTutafuatilia mapema kabisa, tangu muunda wazo tu la kuvuruga hii amani, tutakula naye sahani moja, mbona ni jambo dooogo kabisa!! hatutaki ujinga sisi
Demokrasia ni starehe ya Ulaya na American huko
Mbona nyie madhulumat pia kwa nafas mbalimbali za teuzWimbi la KATIBA Halizuiliki
Kuzulumatism wanachama NSSF ni matokeo ya katiba tuliyonayo
Kwa hisani ya Mutu ya MAREKANI
eti Mabeberu ....
Harakati za chadema, napingana nazo sehemu moja tu, kunakipindi shetani huwapanda kutaka kufanya chokochoko kwenye starehe yetu, yaani (Amani yetu) tutadili nao vizuriKudekeza nako Ni kubaya eeh naona chadema hawabebeki aisee
Angalia una passport lknkatiba mpya ni jambo lisilokwepeka hata likichelewa miaka 100 mbele
Mie pia sina uvumilivu kwa mtu mpuuzi ambaye anajitia hamnazo kwa makusudi kabisa akihisi kuwa yuko sawa kudhihaki wenzie sababu ana uhuru wa kufungua bakuli lake tu!Sure! Ila mama Ni mvumiliv saana na Ni mwanadiplomasia kwan kwa maneno binafsi ningesha waaribu
Dah mama ana miez mitatu tu Hali imebadilka hlf wanataka wavuruge Aman Hawa bhana hawaelewek kbsHarakati za chadema, napingana nazo sehemu moja tu, kunakipindi shetani huwapanda kutaka kufanya chokochoko kwenye starehe yetu, yaani (Amani yetu) tutadili nao vizuri
hata kama hakuna passport lakini katiba mpya ni jambo lisilokwepekaAngalia una passport lkn
Hawa si wa kuwaachia hata hatua moja,Dah mama ana miez mitatu tu Hali imebadilka hlf wanataka wavuruge Aman Hawa bhana hawaelewek kbs
Hii nchi Ni yetu soote na soote tinafurahika na amani kuliko hata katiba maana Kama rais hatuwez kuwa wote Marais au nafas mbalimbali za kiungozi lkn ndo chadema wanazitaka mpaka kuleta wahuni kina mdude watukane na matus ndo yalimgharimu hlf analeta kujua hapaMie pia sina uvumilivu kwa mtu mpuuzi ambaye anajitia hamnazo kwa makusudi kabisa akihisi kuwa yuko sawa kudhihaki wenzie sababu ana uhuru wa kufungua bakuli lake tu!
Amepanga litokee nini hadi anawatisha watu?Likitokea la kutokea... angalia video
Ingia barabarani Sasa uitafte na mmwambie Yule aliyesema hata peke yake atailetahata kama hakuna passport lakini katiba mpya ni jambo lisilokwepeka
HujuiAmepanga litokee nini hadi anawatisha watu?
Mabavicha wote hamna akili, hiki chama chenu mwisho 2024Jana kapiga magoti huko...Kiwembe kinakuja
At Mabeberu....
Madai ya katiba mpya ndiyo ya kijinga?Unategemea uachwe kwenye hilo??
Vipi mwenzetu, yaani ufanye ya kijinga uachwe tu?
Mikutano ya vyama vya siasa, mambo ya mke hatuyajadili hapa enyi "ma-genius" wa lumumba.Sheria ipi iliovunjwa? Kuna mtu kanyang’anywa mkewe!?
Eeh mkuu kikinuka hata zile akili za ushabiki mandazi wa Mbowe na Lissu zitakuwa hakuna😅😅😅 itakuwa ni uwiii kila upande! Likisikika Tutu linarindima watu ni kujibanza hata uvunguni 😅😅😅 kwa jirani yako bila hodi!Hii nchi Ni yetu soote na soote tinafurahika na amani kuliko hata katiba maana Kama rais hatuwez kuwa wote Marais au nafas mbalimbali za kiungozi lkn ndo chadema wanazitaka mpaka kuleta wahuni kina mdude watukane na matus ndo yalimgharimu hlf analeta kujua hapa