Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 70,785
- 186,690
Hawaelewi aisee wapelekwe Libya na Pakistan kwa mafunzo kwa vitendo 😅😅😅 wanajeshi wanabaka hovyo wanawake na watoto wao pamoja na kuua baba zao!Mbona mengi yametokea hapa wametelekezwa mtu hata uwezo wa kukata bima ya nhif Hana hlf anadai katiba mpya pumbavu yaan Ni akili mgando hlf wachache wanaendeshewa harambee ya kuchangiwa wajikim baada ya kutoka mahabusu aisee sijui wanajua gharama ya amani Hawa watu dah
I swear nobody wants to see this!