Rais Samia: Msikubali wanaotaka kuanzisha chokochoko, pakichafuka ni wewe utakayekaa ndani

Rais Samia: Msikubali wanaotaka kuanzisha chokochoko, pakichafuka ni wewe utakayekaa ndani

Mbona mengi yametokea hapa wametelekezwa mtu hata uwezo wa kukata bima ya nhif Hana hlf anadai katiba mpya pumbavu yaan Ni akili mgando hlf wachache wanaendeshewa harambee ya kuchangiwa wajikim baada ya kutoka mahabusu aisee sijui wanajua gharama ya amani Hawa watu dah
Hawaelewi aisee wapelekwe Libya na Pakistan kwa mafunzo kwa vitendo 😅😅😅 wanajeshi wanabaka hovyo wanawake na watoto wao pamoja na kuua baba zao!

I swear nobody wants to see this!
 
Hawaelewi aisee wapelekwe Libya na Pakistan kwa mafunzo kwa vitendo 😅😅😅 wanajeshi wanabaka hovyo wanawake na watoto wao pamoja na kuua baba zao!

I swear nobody wants to see this!
Wenzetu wanatolea udenda huu ushenzi eti utokee kwenye nchi yetu, na watu wema ndio kwaaanza karibu kila sku wanafikisha miaka ya kujitegemea, eti tukiache tu hiki kikundi kidogo kisumbue wengi? Ahiiiiii...! bhaghoshaa
 
Hawaelewi aisee wapelekwe Libya na Pakistan kwa mafunzo kwa vitendo [emoji28][emoji28][emoji28] wanajeshi wanabaka hovyo wanawake na watoto wao pamoja na kuua baba zao!

I swear nobody wants to see this!
Binafsi sio kada wa chama chochote ila chama kilichoshikilia mpini nitaendelea utanguliza maslai mbele ya taifa ili ile amani tuliojaaliwa isituponyoke Leo Ni rais kulalamika vyuma vimekaza kwasabab Kuna amani ila kinyume chake Nan una mlalamikia sasa
 
Rais ni Samia sawa, mikutano ya kisiasa ipo kisheria, sasa mnatetemeshwa na nini? tatizo ushindi wa kura za kwenye mabegi meusi ndio maana hamjiamini.
Hakuna ambaye hataki Mikutano ya kisiasa ila ambacho kinahofiwa ni tabia yenu ya kwenda kupandikiza chuki zenu kwa CCM huko mitaani na kupika magenge ya kihaini!

Huo ujinga hauvumiliki na wala Dola haitavumilia! Chadema you are known for such kind of Politics za kiwana harakati!
 
Mbona mengi yametokea hapa wametelekezwa mtu hata uwezo wa kukata bima ya nhif Hana hlf anadai katiba mpya pumbavu yaan Ni akili mgando hlf wachache wanaendeshewa harambee ya kuchangiwa wajikim baada ya kutoka mahabusu aisee sijui wanajua gharama ya amani Hawa watu dah
Hivi ile bima ya afya kwawote sijui imeshafika kariakoo au bado ipo magogoni?[emoji1][emoji1]
 
Wenzetu wanatolea udenda huu ushenzi eti utokee kwenye nchi yetu, na watu wema ndio kwaaanza karibu kila sku wanafikisha miaka ya kujitegemea, eti tukiache tu hiki kikundi kidogo kisumbue wengi? Ahiiiiii...! bhaghoshaa
Yaan kwa mfano tukio la juzi au miez mitatu tangu rais atangulie mbele za haki Nina hakika Kuna mataifa mpka zingekuwa zinamwagika damu na hkn hata mmoja angetaman kwenda kazin,tungebakwa dah hlf utakuta mikutano yao wanafanya bila usumbufu mpaka Pemba unguja na wanapewa askar kwa ajili ya usalama wao hlf huyohuyo amir jeshi mkuu wanamtusi,uliwai ona wapi au Ni mataifa machache kiongoz Kama mabeyo kutokea au vyombo vya usalama kutokea bila kuathir maisha ya raia kwa tukio lile
 
Hakuna ambaye hataki Mikutano ya kisiasa ila ambacho kinahofiwa ni tabia yenu ya kwenda kupandikiza chuki zenu kwa CCM huko mitaani na kupika magenge ya kihaini!

Huo ujinga hauvumiliki na wala Dola haitavumilia! Chadema you are known for such kind of Politics za kiwana harakati!
Mbona hata Zanzibar wamefanya huo ujinga wao
 
Back
Top Bottom