Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Nakuelewa mkuu sasahivi anaishi kama yupo peponiWewe ndio unaona cheo kimemnogea sababu wewe hauna hicho cheo! Siku ukiacha kulima matikiti hapo mpiji ukatengewa VX V8 na mshahara wa million 90 ndio walau utaelewa gharama za kuongoza nchi!