Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa hiyo ameona jibu la wanaotaka Katiba Mpya ni kuwadhuru,yale yale ya mwendazake. CCM ni ile ile,hoja hujibiwa kwa mtutu wa bunduki.Rais Samia amewataka wananchi wa Morogoro wasikubali chokochoko zinazoanzishwa na baadhi ya watu.
Amesema hao wanaotaka kuanzisha vurugu wameshaandaa na wanajua watakavyojitibia ikitokea wamepata madhara...
Katiba Mpyaa HAIZUILIKIKumbe mnatania kwa haya majibu yenu, nikadhani mko serious, basi wacha moto wa Katiba Mpya uendelee.
Chadema wajitathminUstarabu huu ukiwashinda, ni kula vi......tu, hakuna lingine
Watu vichwa kama wewe nashangaa kwa nini usiwe m/kiti wa Chadema, chama kingelifika mbali sana na amani yetu isingelitishiwa hata kidogo,Kumbe mnatania kwa haya majibu yenu, nikadhani mko serious, basi wacha moto wa Katiba Mpya uendelee.
Huyu maza cheo kimemunogea sasahivi yupo tayari kwa loloteManake atawadhuru wakajitibu au?
Aisee..... mbona mambo ni kawaida sana
Hiyo paragraph yako ya pili iliyobeba ujumbe zaidi jibu lake ni Ndio.Inakuwaje achanganye ya "Katiba Mpya", na huko "Kujiandaa kujitibia"?
Ina maana yeye Rais sasa, anakwenda kuwatia uoga wananchi wasidai katiba mpya (kufanya chokochoko) kwa vile hawajajiandaa watakavyotibu (majeraha)? watakayopata wakati wakidai haki hiyo?
Mbona haileti mantiki?
Katiba inampa utukufu hivyo haoni umuhimu tenaDawa ni kufuata sheria ili kuepuka hizo chokochoko, ila mkiwaumiza wanaoleta chokochoko wanaofuata sheria ili kudai haki zao mnawaonea, tumieni madaraka yenu vizuri kwa kuheshimu haki za wengine.
Na mwisho wao unakuwa mbaya sanaMadikteta huwa ni waoga siku zote.
Wanaharakati wa nyuma ya keyboard hawaIngia barabarani tuone
Wewe ndio unaona cheo kimemnogea sababu wewe hauna hicho cheo! Siku ukiacha kulima matikiti hapo mpiji ukatengewa VX V8 na mshahara wa million 90 ndio walau utaelewa gharama za kuongoza nchi!Huyu maza cheo kimemunogea sasahivi yupo tayari kwa lolote
Zaa naye huyoHii nchi Ni yetu soote na soote tinafurahika na amani kuliko hata katiba maana Kama rais hatuwez kuwa wote Marais au nafas mbalimbali za kiungozi lkn ndo chadema wanazitaka mpaka kuleta wahuni kina mdude watukane na matus ndo yalimgharimu hlf analeta kujua hapa