Rais Samia: Msikubali wanaotaka kuanzisha chokochoko, pakichafuka ni wewe utakayekaa ndani

Rais Samia: Msikubali wanaotaka kuanzisha chokochoko, pakichafuka ni wewe utakayekaa ndani

Hivi ni lini CDM mtaacha ujinga? Wakati CCm wanazunguka tz nzima kuongea na wananchi nyie mmejifungia Ufipa kuongea ujinga, and mnaamini mtashinda uchaguzi 2025!
 
Rais Samia amewataka wananchi wa Morogoro wasikubali chokochoko zinazoanzishwa na baadhi ya watu.

Amesema hao wanaotaka kuanzisha vurugu wameshaandaa na wanajua watakavyojitibia ikitokea wamepata madhara.

Amewataka wananchi kutokubali na kutunza amani iliyopo. Amesema hayo akiwa Morogoro kwa ziara ya siku mbili.

NB: Possibly Rais anawaasa wanaotaka katiba mpya.


Ukanda ule hawakuelewi. Wewe huna kura Yao, Makamu Hana kura Yao, PM alipita bila kupingwa Hana kura za wananchi wake. Kizingizio Katiba ya 1977.
 
Salam zimfikie Mdude Nyagali sifa za kijinga zitamtokea puani. Ataenda jela peke yake sisi tutamuweka hashtag tu huku tunalala na familia zetu wakati yeye analala chini ya ulinzi.
Acha kyogopesha watu wewe hata ukilala mwisho ni upi kama si kifo. Nyie ndo mmefanya taifa lifike hapa kwa kujikomba na uchu nchi hii haiko sawa bila kupata watu ambao wapo tiyar kwa lolote hamna kitaendelea. Na ww unayejifanya kusifia hali ikichafuka nawe utavutwa masikio. Nimemaind sana kwa mchango wako.
 
Acha kyogopesha watu wewe hata ukilala mwisho ni upi kama si kifo. Nyie ndo mmefanya taifa lifike hapa kwa kujikomba na uchu nchi hii haiko sawa bila kupata watu ambao wapo tiyar kwa lolote hamna kitaendelea. Na ww unayejifanya kusifia hali ikichafuka nawe utavutwa masikio. Nimemaind sana kwa mchango wako.

Wewe au nyagali mtaenda ndani wenyewe sisi msaada wetu ni hashtag tu. Hutujui wabongo wewe.
 
CDM wanatukana kila mtu, hadi wapinzani wenzao and mkiti wao anachekelea tu hili, Magu aliletwa nanyi, may be 2030 CCM watamleta Makonda or Sabaya kuwakomesha tena, hamna shukrani
 
Mwanao akileta vurugu na kuhatarisha usalama wa ndani kwako hapo huwa unafanyaje? Au sababu ni mtoto ana haki ya kucheza akianza utundu na vurugu unatakiwa umtazame tu😎
Sijaona mahala popote vurugu, kama ni maandamano ya kudai katiba mpya ndadhani maandamano yapo kisheria as long wapate kibali, kama ni mikutano ya siasa katiba imetoa haki kwa vyama vya siasa kufanya mikutano

Anaevunja katiba ndie anaechochea vurugu
 
Sijaona mahala popote vurugu, kama ni maandamano ya kudai katiba mpya ndadhani maandamano yapo kisheria as long wapate kibali, kama ni mikutano ya siasa katiba imetoa haki kwa vyama vya siasa kufanya mikutano

Anaevunja katiba ndie anaechochea vurugu
Hamna nidhamu ya kufanya siasa zenye akili timamu mnafanya siasa za kuhamasisha vurugu! Usjitie wazimu kama vile hujui siasa za CHadema zilivyo!

Mkiachiwa huo uhuru yataundwa magenge ya wavuta bange ambao watafanya fujo na kuharibu amani na utulivu wa nchi na kuwadhibiti kwake itabidi mpigwe vibaya mno thereafter mtaenda kuchafua taswira ya nchi kwa kusingizia mmepigwa wakati mnaandamania katiba!
 
Mmewahi kuomba kibali utawala huu na mkanyimwa?
Kamuulize.mbowe kama ameomba kibali, hapa niliwrka reference ya mama kusema kwamba mikutano ya siasa isifanyike mpaka atakapomaliza kusimamisha uchumi, ndio maana nikasema anaesababisha chokochoko ni anaevunja katiba

Hata akina mbowr wasipoomba kibali nao wanavunja katiba kwa hiyo suala la haki na usawa ni la pande zote
 
Hamna nidhamu ya kufanya siasa zenye akili timamu mnafanya siasa za kuhamasisha vurugu! Usjitie wazimu kama vile hujui siasa za CHadema zilivyo!

Mkiachiwa huo uhuru yataundwa magenge ya wavuta bange ambao watafanya fujo na kuharibu amani na utulivu wa nchi na kuwadhibiti kwake itabidi mpigwe vibaya mno thereafter mtaenda kuchafua taswira ya nchi kwa kusingizia mmepigwa wakati mnaandamania katiba!
Ni jukumu la vyombo vyetu vya ulinzi na usalama kupambana na magenge ya uhalifu, kama imefika mahali serikali inaogopa upinzani mpaka katiba inavunjwa basi nchi yetu haipo salama, badala yake mimi ningeshauri vyama pinzani vifutiwe usajili kama chadema ndio chanzo cha vurugu na uvunjifu wa amani, mnapoendelea kuwaacha mnahatarisha amani ya nchi kama mnavyoamini na pia mnaleta sintofahamu kwa kuwapoka haki yao ya kufanya mikutano ya siasa, to be i a safe side futilieni mbali mbaki wenyewe
 
japokuwa ni maneno mazuri sana lakini kunakakikundi hakatalala vizuri kutokana na usingizi wa maluweluwe.
 
Kamuulize.mbowe kama ameomba kibali, hapa niliwrka reference ya mama kusema kwamba mikutano ya siasa isifanyike mpaka atakapomaliza kusimamisha uchumi, ndio maana nikasema anaesababisha chokochoko ni anaevunja katiba

Hata akina mbowr wasipoomba kibali nao wanavunja katiba kwa hiyo suala la haki na usawa ni la pande zote
Kufanya mikutano ya hadhara inahitaji kibali ili mlindwe, fanyeni hivyo ili tuone jibu mtalopewa
 
Katiba mpya zianze kwenye level ya vyama vya siasa. Wenyeviti wa vyama vya siasa wawe na ukomo wa kukaa madarakani, haiwezekani mwenyekiti anaongoza chama miaka 20 peke yake. Uwepo uwazi kwenye matumizi ya ruzuku... Kuna udikteta na ufisadi mkubwa sana kwenye ngazi ya vyama vya siasa.
 
Back
Top Bottom