Rais Samia: Msikubali wanaotaka kuanzisha chokochoko, pakichafuka ni wewe utakayekaa ndani

Rais Samia: Msikubali wanaotaka kuanzisha chokochoko, pakichafuka ni wewe utakayekaa ndani

Unaongea kana kwamba umekatwa kichwa, wewe kipindi cha meko ungeomba kibali upewe?hata sasa juzi tu wadada na wamama wameenda chakula cha jioni tu ndani ya ukumbi ona polic walivo jaa nje nyie rukaruka tu ila ujue ujinga ndo bas
Sasa huyo Samia mtamnyoaje mkiwa waoga hivi?
 
Rais Samia amewataka wananchi wa Morogoro wasikubali chokochoko zinazoanzishwa na baadhi ya watu.

Amesema hao wanaotaka kuanzisha vurugu wameshaandaa na wanajua watakavyojitibia ikitokea wamepata madhara.

Amewataka wananchi kutokubali na kutunza amani iliyopo. Amesema hayo akiwa Morogoro kwa ziara ya siku mbili.

NB: Possibly Rais anawaasa wanaotaka katiba mpya.



===

Rais Samia: Niwaombe sana tulinde amani, vijichokochoko vimeanza naomba msivipokee, wanaokuja na vijichokochoko walishajua matumbo yao yanajaaje, chakula chao wanatoa wapi, pesa za matibabu watatoa wapi, nawaomba wasije wakawaingiza kwenye huo mkenge”

Rais Samia: “Pakichafuka ni wewe utakayekaa ndani na Watoto wako na Mama Watoto na msijue chakula mnatoa wapi, msijue Mtoto akiumwa mtakwenda kumtibu na pesa gani, niwaombe sana tulinde amani yetu, Nchi yetu itulie tuendelee na maendeleo yetu

Twende na katiba mpya , inakuja hakuna wa kuzuia, asema bwana, chokochoko ya katiba ndo habari ya town,
 
Unaongea kana kwamba umekatwa kichwa, wewe kipindi cha meko ungeomba kibali upewe?hata sasa juzi tu wadada na wamama wameenda chakula cha jioni tu ndani ya ukumbi ona polic walivo jaa nje nyie rukaruka tu ila ujue ujinga ndo bas
Mmmmh!
 
Taratiiiibu ashaanza kunogewa .

Soon atafungulia mbwa[emoji1][emoji1787].

I never trusted her and never will.

Urais mtamu nyie .

Soon tutaelewana

She's there to fake .

Gonna fake as usual as her precedeccors did.
 
Yaan chadema hamna jipya kbs eti maandamano mpaka mpewe kibaki na huyo msie mpenda duh
Wewe mjinga, hao wote wanaongea ni Chadema? Usiwe mlopokaji kama kichaa

Hivi huyu ni Chadema 👇👇
 

Attachments

  • twitter_20210702_214920.mp4
    867.3 KB
Kila la heri mama Mungu akuongoze kwenye majukumu yako...ila tunaomba katiba mpya uipitishe...
 
Mtag mbowe aone huu uzi.
Rais Samia amewataka wananchi wa Morogoro wasikubali chokochoko zinazoanzishwa na baadhi ya watu.

Amesema hao wanaotaka kuanzisha vurugu wameshaandaa na wanajua watakavyojitibia ikitokea wamepata madhara.

Amewataka wananchi kutokubali na kutunza amani iliyopo. Amesema hayo akiwa Morogoro kwa ziara ya siku mbili.

NB: Possibly Rais anawaasa wanaotaka katiba mpya.



===

Rais Samia: Niwaombe sana tulinde amani, vijichokochoko vimeanza naomba msivipokee, wanaokuja na vijichokochoko walishajua matumbo yao yanajaaje, chakula chao wanatoa wapi, pesa za matibabu watatoa wapi, nawaomba wasije wakawaingiza kwenye huo mkenge”

Rais Samia:
“Pakichafuka ni wewe utakayekaa ndani na Watoto wako na Mama Watoto na msijue chakula mnatoa wapi, msijue Mtoto akiumwa mtakwenda kumtibu na pesa gani, niwaombe sana tulinde amani yetu, Nchi yetu itulie tuendelee na maendeleo yetu
 
Kiukweli kwa ninavyoijua thamani ya Mama,Polisi naomba mniorodheshe kwenye nguvu kazi yenu.Vijana tushachoka Usenge NEO-COLONIALISM.Wagawanye ili uwatawale ndo formula ya Wazungu Sasa Mama Samia Piga kazi vijana wengi tz tupo nyuma yako Mama yetu.Polisi nawashauri,hasa Mijini ambako waanzisha chokochoko ndiko wanakong'ang'ania kuliamshia dude.Polisi piteni Kitaani kuandaa Nguvu ya akiba Mapema msiwaache waanzisha chokochoko wasambaze ujinga na nyie msaidieni mama njoo mchukue namba zetu za simu.Tunaonyanyua Jimu tupo wengi ili tuwasaidieni kiwatuliza watukutu uchwara hawa.
 
1. Viongozi wa taasisi nyeti wote, rais anateuwa. Matokeo yake hawatendi kwa haki au Sheria bali atakavo rais!!!!

2. Ukistaafu, ccm wamehodhi mpaka mafao uzeeni, mtu hupati haki yako mpaka ufe, eti, Akiba uzeeni utachukuwa ufikapo 60....65, kazi umekatizwa at 40yrs!!!!

3. Wabunge wanalipana mamilion, majimboni hawapo, na hawaendi

A) kupitisha makodi yasiyoeleweka bungeni
B) kututungia sheria kandamizi..... mfano zakimtandao nk

4. Katiba mbovu ilimruhusu pombe, kuzuwia mishahara na madaraja kazini ya watu wasipandishiwe kibabe miaka-5, bila kujali inflation wala katiba inasemaje

5. Watu walipotezwa, kila kona, ilikuwa sawa tu..... sababu katiba inamfanya rais wa Tz kama Mungu

6. Wakulima wanadhibitiwa na kunyimwa uhuru wa mazao yao kuyauza watakavyo. Mfano korosho huko mtwara na mahindi ruvuma

Mlolongo ni mrefu sana wa kiunyanyasaji, wachangiaje tuacha mahaba hebu tupingane kwa hoja.

Katiba mpya inaweza kupunguza baadhi ya hizi kero, bila kusahau kubambikiana kesi, watu kuwekwa vizuizini muda mrefu bila kufikishwa mahakamani, utesaji, nk
Kwahiyo kabla ya Hayati Magufuli kuingia madarakani hapakuwa na umuhimu wa Katiba Mpya ?

Sent from my TECNO KE5 using JamiiForums mobile app
 
Kwanza watanzanja si wajinga, yeye ndio alianza chokochoko yeye anafikiri kauli aliyoitoa ya kuzua haki ya kufanya mikutano kwa vyama vya siasa sio chokochoko?
 
Inakuwaje achanganye ya "Katiba Mpya", na huko "Kujiandaa kujitibia"?

Ina maana yeye Rais sasa, anakwenda kuwatia uoga wananchi wasidai katiba mpya (kufanya chokochoko) kwa vile hawajajiandaa watakavyotibu (majeraha)? watakayopata wakati wakidai haki hiyo?

Mbona haileti mantiki?

..hoja ya katiba mpya imewekwa mezani na response ya Rais SSH ndiyo hiyo.

..nadhani amegundua hoja ya jinsia haina mashiko kwake.

..madai kwamba wapinzani wanataka kuvuruga amani ni ya muda mrefu, lakini facts on the ground zinaonyesha kwamba wapinzani wa Tz ni wapole sio wafanya vurugu.

..Ngoja tuone atafika wapi na haya madai yake ambayo si ya kweli.
 
Back
Top Bottom