Rais Samia: Msikubali wanaotaka kuanzisha chokochoko, pakichafuka ni wewe utakayekaa ndani

Rais Samia: Msikubali wanaotaka kuanzisha chokochoko, pakichafuka ni wewe utakayekaa ndani

Kufanya mikutano ya hadhara inahitaji kibali ili mlindwe, fanyeni hivyo ili tuone jibu mtalopewa
Tamko la mkuu wa nchi ni amri, sidhani kama kuna mamlaka ina uthubutu wa kutoa kibali baada ya tamko hilo
 
Mpaka sasa hivi chokochoko hamna ila maisha yanazidi kuwa magumu
 
Bavicha ndio wanaotaka kuleta vita, lala nao mbele hao hawana maana
Vita huwa inaamka kama kunanguvu ya umma, bavicha ni baraza tu, wala hawana nguvu ya umma na hawataki kuitafuta.
 
1. Viongozi wa taasisi nyeti wote, rais anateuwa. Matokeo yake hawatendi kwa haki au Sheria bali atakavo rais!!!!

2. Ukistaafu, ccm wamehodhi mpaka mafao uzeeni, mtu hupati haki yako mpaka ufe, eti, Akiba uzeeni utachukuwa ufikapo 60....65, kazi umekatizwa at 40yrs!!!!

3. Wabunge wanalipana mamilion, majimboni hawapo, na hawaendi

A) kupitisha makodi yasiyoeleweka bungeni
B) kututungia sheria kandamizi..... mfano zakimtandao nk

4. Katiba mbovu ilimruhusu pombe, kuzuwia mishahara na madaraja kazini ya watu wasipandishiwe kibabe miaka-5, bila kujali inflation wala katiba inasemaje

5. Watu walipotezwa, kila kona, ilikuwa sawa tu..... sababu katiba inamfanya rais wa Tz kama Mungu

6. Wakulima wanadhibitiwa na kunyimwa uhuru wa mazao yao kuyauza watakavyo. Mfano korosho huko mtwara na mahindi ruvuma

Mlolongo ni mrefu sana wa kiunyanyasaji, wachangiaje tuacha mahaba hebu tupingane kwa hoja.

Katiba mpya inaweza kupunguza baadhi ya hizi kero, bila kusahau kubambikiana kesi, watu kuwekwa vizuizini muda mrefu bila kufikishwa mahakamani, utesaji, nk
 
Hivi ni lini CDM mtaacha ujinga? Wakati CCm wanazunguka tz nzima kuongea na wananchi nyie mmejifungia Ufipa kuongea ujinga, and mnaamini mtashinda uchaguzi 2025!
Ndoto kbs ebu kwa takwim tu washatupwa mbali saaana hivyo Ni hesabu tu
 
Unaongea kana kwamba umekatwa kichwa, wewe kipindi cha meko ungeomba kibali upewe?hata sasa juzi tu wadada na wamama wameenda chakula cha jioni tu ndani ya ukumbi ona polic walivo jaa nje nyie rukaruka tu ila ujue ujinga ndo bas
Kufanya mikutano ya hadhara inahitaji kibali ili mlindwe, fanyeni hivyo ili tuone jibu mtalopewa
 
Acha kyogopesha watu wewe hata ukilala mwisho ni upi kama si kifo. Nyie ndo mmefanya taifa lifike hapa kwa kujikomba na uchu nchi hii haiko sawa bila kupata watu ambao wapo tiyar kwa lolote hamna kitaendelea. Na ww unayejifanya kusifia hali ikichafuka nawe utavutwa masikio. Nimemaind sana kwa mchango wako.
Mbona walitokea km kina magufuli hlf ukuunga mkono sasa
 
Mee too namuombea heri katika kutawala taifa hili ambao wenye akili wachache tumezungukwa na vichaa lukuki!
Nawe unajiona una akili kwa comment uliyotoa hapo juu? Kwamba taharuki hata kama ni za kisheria ni taharuki?
 
Tatizo hawa jamaa walidhani watapata wepesi kwa mama. Itawagharimu sana kutegemea huruma ya rais anaetokana na chama msichokipenda.
 

Attachments

  • twitter_20210705_084928.mp4
    1.2 MB
Back
Top Bottom