Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
CCM inaungwa mkono na watu wajinga (TWAWEZA).Mabavicha wote hamna akili, hiki chama chenu mwisho 2024
Kwahiyo kabla ya Hayati Magufuli kuingia madarakani hapakuwa na umuhimu wa Katiba Mpya ?
Sent from my TECNO KE5 using JamiiForums mobile app
Alishawaambia yeye na Magufuli ni kitu kimoja.
Wengine hawakutaka kumuamini.
Kwa hiyo wanaopeleka fedha bank, wajiandae siku atakapoamua kufungia account zao? Na kesi za kubambikizwa bado zipo njiani zinakuja?Alishawaambia yeye na Magufuli ni kitu kimoja.
Wengine hawakutaka kumuamini.
Rais Samia amewataka wananchi wa Morogoro wasikubali chokochoko zinazoanzishwa na baadhi ya watu.
Amesema hao wanaotaka kuanzisha vurugu wameshaandaa na wanajua watakavyojitibia ikitokea wamepata madhara.
Amewataka wananchi kutokubali na kutunza amani iliyopo. Amesema hayo akiwa Morogoro kwa ziara ya siku mbili.
NB: Possibly Rais anawaasa wanaotaka katiba mpya.
===
Rais Samia: Niwaombe sana tulinde amani, vijichokochoko vimeanza naomba msivipokee, wanaokuja na vijichokochoko walishajua matumbo yao yanajaaje, chakula chao wanatoa wapi, pesa za matibabu watatoa wapi, nawaomba wasije wakawaingiza kwenye huo mkenge”
Rais Samia: “Pakichafuka ni wewe utakayekaa ndani na Watoto wako na Mama Watoto na msijue chakula mnatoa wapi, msijue Mtoto akiumwa mtakwenda kumtibu na pesa gani, niwaombe sana tulinde amani yetu, Nchi yetu itulie tuendelee na maendeleo yetu
"You got those that touch a littleKwa hiyo wanaopeleka fedha bank, wajiandae siku atakapoamua kufungia account zao? Na kesi za kubambikizwa bado zipo njiani zinakuja?
Acha kuwatisha watu wazima nyau..Kiukweli kwa ninavyoijua thamani ya Mama,Polisi naomba mniorodheshe kwenye nguvu kazi yenu.Vijana tushachoka Usenge NEO-COLONIALISM.Wagawanye ili uwatawale ndo formula ya Wazungu Sasa Mama Samia Piga kazi vijana wengi tz tupo nyuma yako Mama yetu.Polisi nawashauri,hasa Mijini ambako waanzisha chokochoko ndiko wanakong'ang'ania kuliamshia dude.Polisi piteni Kitaani kuandaa Nguvu ya akiba Mapema msiwaache waanzisha chokochoko wasambaze ujinga na nyie msaidieni mama njoo mchukue namba zetu za simu.Tunaonyanyua Jimu tupo wengi ili tuwasaidieni kiwatuliza watukutu uchwara hawa.
Itakuwa ni 4-4-2Mama sasa anaupiga wa pasi ndefundefu.
Mtu akidai katiba mpya anavunja Sheria?Nilisha apa kuilinda nchi yangu mkuu, yeyote mwenye ujingaujinga ni kula ki......!
Rais Samia amewataka wananchi wa Morogoro wasikubali chokochoko zinazoanzishwa na baadhi ya watu.
Amesema hao wanaotaka kuanzisha vurugu wameshaandaa na wanajua watakavyojitibia ikitokea wamepata madhara.
Amewataka wananchi kutokubali na kutunza amani iliyopo. Amesema hayo akiwa Morogoro kwa ziara ya siku mbili.
NB: Possibly Rais anawaasa wanaotaka katiba mpya.
===
Rais Samia: Niwaombe sana tulinde amani, vijichokochoko vimeanza naomba msivipokee, wanaokuja na vijichokochoko walishajua matumbo yao yanajaaje, chakula chao wanatoa wapi, pesa za matibabu watatoa wapi, nawaomba wasije wakawaingiza kwenye huo mkenge”
Rais Samia: “Pakichafuka ni wewe utakayekaa ndani na Watoto wako na Mama Watoto na msijue chakula mnatoa wapi, msijue Mtoto akiumwa mtakwenda kumtibu na pesa gani, niwaombe sana tulinde amani yetu, Nchi yetu itulie tuendelee na maendeleo yetu
Anaidaije?Mtu akidai katiba mpya anavunja Sheria?
"lala nao mbele" maana yake nini?Bavicha ndio wanaotaka kuleta vita, lala nao mbele hao hawana maana
Lugha zile zile za miaka nenda rudi , hivi katiba mpya inaleta machafuko ?