Rais Samia: Msikubali wanaotaka kuanzisha chokochoko, pakichafuka ni wewe utakayekaa ndani

Rais Samia: Msikubali wanaotaka kuanzisha chokochoko, pakichafuka ni wewe utakayekaa ndani

Walikuwa wanatka wafurahishwe tu
Yaani mimi kudai katiba mpya ambayo itamzuia Samia kutamba waziwazi mbele ya Watanzania bila aibu wala haya usoni kuwa hata kama CCM itashindwa uchaguzi itaunda serikali kwa kuiba kura ni chokochoko na kuvunja amani?Huyu Mama amechanganyikiwa?!
7654311.png
 
Mama hao sio wa kucheka nao wapige pin kama kama walivyopigwa pin na JPM

Si unaona umewapa Uhuru kidogo

Wengine wanakuambia Watakunyoa kama walivyomnyoa JPM

Wangine wanaandaa maandamo nchi nzima kudai katiba mpya

Wengune wapo kwa babeberu wao huko wansema watakuja kufanya mikutano utake au usitake



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Inakuwaje achanganye ya "Katiba Mpya", na huko "Kujiandaa kujitibia"?

Ina maana yeye Rais sasa, anakwenda kuwatia uoga wananchi wasidai katiba mpya (kufanya chokochoko) kwa vile hawajajiandaa watakavyotibu (majeraha)? watakayopata wakati wakidai haki hiyo?

Mbona haileti mantiki?
Tumekubaliana kua KATIBA MPYA imekaa kisiasa zaidi.
 
Chdema Ni mbowe na mbowe Ni chadema hlf wanadai demokrasia mpaka mwekiti wao anasema anafikiria kuachia 2023 yaan anafanya kwa matakwa yake duh

..hata ccm hawana kipengele cha ukomo wa muda wa uongozi wa mwenyekiti.

..ndio maana nyerere aliendelea na uenyekiti wa chama hata baada kung'atuka kwenye uraisi.

..ccm msiwacheke ndugu zenu wa chadema.
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Muda utatupa majibu mazuri na sahihi zaidi kuliko mdomo wa binadamu yoyote.
 
Wapi nilipoandika mimi naenda na Samia? 😳😳😳
Huwezi kufanya kazi katika mazingira ya udikteta na dhuluma.
Kutoa haki na uhuru kwa kufuata vipengele vya katiba HAKUMZUII kufanya kazi zake. Asitafute visingizio visivyo na kichwa wala miguu ili kuminya HAKI na UHURU wa Watanzania pamoja na vyama vya siasa kama ulivyo ndani ya Katiba.

2025 hamuendi tena na mama??
Si mlikuwa mnamsifu sana alipoingia madarakani!

Muacheni mama achape kazi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mama hao sio wa kucheka nao wapige pin kama kama walivyopigwa pin na JPM

Si unaona umewapa Uhuru kidogo

Wengine wanakuambia Watakunyoa kama walivyomnyoa JPM

Wangine wanaandaa maandamo nchi nzima kudai katiba mpya

Wengune wapo kwa babeberu wao huko wansema watakuja kufanya mikutano utake au usitake



Sent using Jamii Forums mobile app

Katiba mpya muhimu mno mkuu wazolee lakini isitumike power na kauli chafu...huyo mdude alichokifanya kwa mama sio sawa hata kidogo, kama mimi ndie mwenyekiti wa chadema namfukuzia mbali, hafai kuwa kiongozi.


Mungu asaidie katiba mpya ipitishwe
 
Lini mimi niliwahi kuwa CCM?!Umechanganyikiwa?Mimi tokea day one nilisema kuwa huyu Mama ana laana za Magufuli na atakuwa hovyo kuliko Magufuli na sasa hivi ameanza kuthibitisha kauli yangu.

Watu kupractise haki zao kwa mujibu wa katiba ni kuvunja amani?!
How possible on earth tunapata viongozi hovyo na inept namna hii?Huyu Mama ana elimu gani kwanza?Kwa sababu anaongea kama mtoto wa chekechea ambae kichwani ni debe tupu.
Wapi nilipoandika mimi naenda na Samia? [emoji15][emoji15][emoji15]
Huwezi kufanya kazi katika mazingira ya udikteta na dhuluma.
Kutoa haki na uhuru kwa kufuata vipengele vya katiba HAKUMZUII kufanya kazi zake. Asitafute visingizio visivyo na kichwa wala miguu ili kuminya HAKI na UHURU wa Watanzania pamoja na vyama vya siasa kama ulivyo ndani ya Katiba.
Kwahiyo Uhuru mnaoutaka ni wakina Mdude kuporomosha matusi??
Hakuna njia nzuri za kudai haki zao pasi na kuporomosha matusi?

Muacheni mama achape kazi,msitake kumpelekesha,,ana ratiba zake na vipaumbele..
Mbona mnataka kumpelekesha wakati alishasema mumpe muda!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwahiyo Uhuru mnaoutaka ni wakina Mdude kuporomosha matusi??
Hakuna njia nzuri za kudai haki zao pasi na kuporomosha matusi?
Magufuli alivyokuwa anatukana watu kuwa wabaki na mavi yao nyumbani au Kheri James alivyokuwa anawaporomoshea matusi Watanzania ulikemea haya?

5tfvce11.png

Muacheni mama achape kazi,msitake kumpelekesha,,ana ratiba zake na vipaumbele..
Mbona mnataka kumpelekesha wakati alishasema mumpe muda!

Sent using Jamii Forums mobile app
Vipaumbele vyake ni vya chama chake pamoja na ilani ya chama chake,vinatuhusu nini sisi wananchi?

Sisi wananchi tunataka katiba ambayo itamzuia Samia kutamba mbele za Watanzania bila haya usoni kuwa CCM isiposhinda itaiba kura na kuunda Serikali kwa mabavu.

Tunataka katiba ambayo itamwajibisha Samia pale atakapoikanyaga waziwazi katiba anayotumia kuapa kama anavyofanya hapa.

Samia kwa maneno yake mwenyewe amethibitisha kuwa ni dikteta na hafai kuwa Rais wa Tanzania.
7654311.png
 
Inakuwaje achanganye ya "Katiba Mpya", na huko "Kujiandaa kujitibia"?

Ina maana yeye Rais sasa, anakwenda kuwatia uoga wananchi wasidai katiba mpya (kufanya chokochoko) kwa vile hawajajiandaa watakavyotibu (majeraha)? watakayopata wakati wakidai haki hiyo?

Mbona haileti mantiki?
Sasa nyie mlisema mtatumia wembe wa kunyolea Sasa wembe na katiba mpya mbona vitu viwili tofauti?
 
Back
Top Bottom