Taifa la watu mil 60 mnatikiswa na Mdude NyagaliSalam zimfikie Mdude Nyagali sifa za kijinga zitamtokea puani. Ataenda jela peke yake sisi tutamuweka hashtag tu huku tunalala na familia zetu wakati yeye analala chini ya ulinzi.
Rais is playing to our fears.
Siasa na chokochoko ziko toka 1929 ilipoanzishwa TAA, mbona tuko vizuri ?
Acheni kutisha watu!
Tunataka Katiba mpya!