mbegubora29
JF-Expert Member
- Mar 14, 2015
- 513
- 338
Chdema Ni mbowe na mbowe Ni chadema hlf wanadai demokrasia mpaka mwekiti wao anasema anafikiria kuachia 2023 yaan anafanya kwa matakwa yake duh
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Daaaah!!!???Mee too namuombea heri katika kutawala taifa hili ambao wenye akili wachache tumezungukwa na vichaa lukuki!
Kuna sheria inayohusu kunyang'wa mtu mke!!??Sheria ipi iliovunjwa? Kuna mtu kanyang’anywa mkewe!?
Babako ibilisi alisema anakiua kabla ya 2020. Nani amekufa kati yake na Chadema!!??Mabavicha wote hamna akili, hiki chama chenu mwisho 2024
Mee too namuombea heri katika kutawala taifa hili ambao wenye akili wachache tumezungukwa na vichaa lukuki!
Kadri siku zinaenda anaota mapembe walah hivi kule mjengoni kuna kitu wanalishwa wakishaenda huko?Rais Samia amewataka wananchi wa Morogoro wasikubali chokochoko zinazoanzishwa na baadhi ya watu.
Amesema hao wanaotaka kuanzisha vurugu wameshaandaa na wanajua watakavyojitibia ikitokea wamepata madhara.
Amewataka wananchi kutokubali na kutunza amani iliyopo. Amesema hayo akiwa Morogoro kwa ziara ya siku mbili.
NB: Possibly Rais anawaasa wanaotaka katiba mpya.
===
Rais Samia: Niwaombe sana tulinde amani, vijichokochoko vimeanza naomba msivipokee, wanaokuja na vijichokochoko walishajua matumbo yao yanajaaje, chakula chao wanatoa wapi, pesa za matibabu watatoa wapi, nawaomba wasije wakawaingiza kwenye huo mkenge”
Rais Samia: “Pakichafuka ni wewe utakayekaa ndani na Watoto wako na Mama Watoto na msijue chakula mnatoa wapi, msijue Mtoto akiumwa mtakwenda kumtibu na pesa gani, niwaombe sana tulinde amani yetu, Nchi yetu itulie tuendelee na maendeleo yetu
Kama mwendazake kamshindwa kwa risasi Mama atamweza kwa mwiko??Cc tundu lissu na genge lake, naimani hataweza huyu nduli kuvuruga amani yetu,tuko pamoja Sana rais wetu.
Lugha zile zile za miaka nenda rudi , hivi katiba mpya inaleta machafuko ?
Samia ndiye mvunja amani namba moja Tanzania.Hana haki wala moral authority ya kukemea uvunjifu wa amani na vurugu👇
View attachment 1845077
Samia ndiye mvunja amani namba moja Tanzania.Hana haki wala moral authority ya kukemea uvunjifu wa amani na vurugu[emoji116]
View attachment 1845077
2025 hamuendi tena na mama??
Nasisitiza "ni laaana kubwa sana".Kama watu wenye akili taifa hili ni wa aina yako basi tumelaaniwa.
Lini mimi niliwahi kuwa CCM?!Umechanganyikiwa?Mimi tokea day one nilisema kuwa huyu Mama ana laana za Magufuli na atakuwa hovyo kuliko Magufuli na sasa hivi ameanza kuthibitisha kauli yangu.2025 hamuendi tena na mama??
Si mlikuwa mnamsifu sana alipoingia madarakani!
Muacheni mama achape kazi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Walikuwa wanatka wafurahishwe tuLini mimi niliwahi kuwa CCM?!Umechanganyikiwa?Mimi tokea day one nilisema kuwa huyu Mama ana laana za Magufuli na atakuwa hovyo kuliko Magufuli na sasa hivi ameanza kuthibitisha kauli yangu.
Watu kupractise haki zao kwa mujibu wa katiba ni kuvunja amani?!
How possible on earth tunapata viongozi hovyo na inept namna hii?
Mwambieni Samia mwanzo wa ngoma ni lele! Asubiri ngoma ikolee; Chamwino atapaona pachungu!