Rais Samia mtu mkweli asiyeyumbishwa

Rais Samia mtu mkweli asiyeyumbishwa

Mpuuzi wewe mchumia tumbo udhalimu na dhuluma za nchi hii Wapumbavu kama wewe mnazikumbatia. JITATHMINI ni binadamu wa aina gani wewe kama unastahili kuitwa binadamu.
Yako mashirika ya kidhalimu yanayowatumia wanasiasa "koko wa afrika" na taasisi ziitwazo haki za BINADAMU.....
ford.png
 
Kwahilo mnamuonea mama na ndiyo mjuwe kuwa hayumbishwi suala la kukutana na wapinzani lipo ila chadema wanjifanya wao ji spesho sana hawataki kukutana pamoja wanataka wakutane naye wao pekeyao na ndiyo maana kawapuuza hawana jipya kwani vyama vingine siyo vyama ila wao tu hayumbishwi na kelele zao ndiyo msingi wa huu Uzi uelewe waambie chadema wasijione kuwa wao ni spesho kuliko vyama vingine wao ji nani?
EGQIiITW4AI1raL.jpg
 
Huna akili wewe taahira. Mwanasiasa koko mwingine huyu hapa. Wapuuzi kama wewe ni bora ungeishia kwenye takakata tu kwa ndom uliyokuwemo kutupwa jalalani. Miaka 60 ya uhuru nchi yenye utajiri mkubwa sana na mikopo na misaada ya trillions lakini hatuna chochote kile cha kujivunia lakini pimbi wewe hata kuhoji HUHOJI!!!


Yako mashirika ya kidhalimu yanayowatumia wanasiasa "koko wa afrika" na taasisi ziitwazo haki za BINADAMU.....View attachment 1976628
 
Juzi akiwa Chato, Rais Sami alishangiliwa sana alipoonesha kwamba anataka kuongelea suala la Chato kuwa mkoa. Angekuwa mtu wa kufuata kelele za kisiasa lazima angingia mkumbo halafu kichwakichwa aseme Chato ni mkoa.

Hii sio mara ya kwanza kwa Rais wetu kuonesha wazi kwamba yeye ni mtu mkweli na sio mtu wa kufuata kelele na mkumbo wa Kisiasa. Hilo linathibitika kupitia

1. Kesi ya Mbowe. Kwa kelele nyingi za wapinzani, angekuwa Rais wa kuyumbishwa naamini angemuambia DPP aachane na ile kesi. Lakini kwa sababu hayumbishwi, ameiacha Mahakama ifanye kazi yake.

2. Tozo. Watu waliongea saaana, lakini kaendelea kuwaambia ukweli kwamba tunahitaji pesa ile hivyo lazima tutoe kodi.

3. Sabaya. Alimuondoa kazini, akaacha Sheria ifuatwe, Ni historia.

Ni baadhi tu ya mambo, ila huyu ni Rais mwenye msiamo.
Tunataka Rais wa hivi sio Rais mihemko ,big up mama.
 
Juzi akiwa Chato, Rais Sami alishangiliwa sana alipoonesha kwamba anataka kuongelea suala la Chato kuwa mkoa. Angekuwa mtu wa kufuata kelele za kisiasa lazima angingia mkumbo halafu kichwakichwa aseme Chato ni mkoa.

Hii sio mara ya kwanza kwa Rais wetu kuonesha wazi kwamba yeye ni mtu mkweli na sio mtu wa kufuata kelele na mkumbo wa Kisiasa. Hilo linathibitika kupitia

1. Kesi ya Mbowe. Kwa kelele nyingi za wapinzani, angekuwa Rais wa kuyumbishwa naamini angemuambia DPP aachane na ile kesi. Lakini kwa sababu hayumbishwi, ameiacha Mahakama ifanye kazi yake.

2. Tozo. Watu waliongea saaana, lakini kaendelea kuwaambia ukweli kwamba tunahitaji pesa ile hivyo lazima tutoe kodi.

3. Sabaya. Alimuondoa kazini, akaacha Sheria ifuatwe, Ni historia.

Ni baadhi tu ya mambo, ila huyu ni Rais mwenye msiamo.
Tuzidi kumuombea kwa Mola wetu, amzidishie hekima, busara na maarifa katika kufanya maamuzi yenye kuzingatia haki katika kipindi chote aiongozapo taasisi nyeti ya urais. Maamuzi hayo yajikite katika maslahi ya Tanzania kwanza, kisha ndipo yaje ya chama chake.

Abadilishe salamu yake aliyoiasisi ya kulitanguliza sifa ya jina la JMT, jamhuri ambayo yeye ndiye anayeiongoza. Badala ajishushe chini kwa utii na heshima, katika salamu yake atangulize sifa ya jina la Mola wake ambaye ndiye pekee anayemuongoza.

Sent from my Nokia 2.3 using JamiiForums mobile app
 
Anayumbishwa sana tu huyu bibi. Sema umeamua kuchagua mambo yanayokufurahisha wewe tu na kuyaacha usiyoyapenda.

Nikujuze mahala alipoyumba.

Akilihutubia bunge aliahidi kukutana na vyama vya upinzani. Mpk leo hajafanya hivyo.

Chadema waliandikiwa mpaka barua na alitoa ahadi ya kukutana na chadema mpk leo ziii.
Karibu uone moto wake
 
Huna akili wewe taahira. Mwanasiasa koko mwingine huyu hapa. Wapuuzi kama wewe ni bora ungeishia kwenye takakata tu kwa ndom uliyokuwemo kutupwa jalalani. Miaka 60 ya uhuru nchi yenye utajiri mkubwa sana na mikopo na misaada ya trillions lakini hatuna chochote kile cha kujivunia lakini pimbi wewe hata kuhoji HUHOJI!!!

Mkuu BAK una matusi mengi mno🤣🤣

Anyways.....

TANROADS imeanzishwa mwaka 2000.....ndani ya miaka 21 imejenga kilomita za lami 35,000.....

Hizi kwako si maendeleo 😲🤣🤣

Umejipa kazi ya KUYAFUNIKA MACHO KWA VIGANJA huku ukichungulia KIJANJA kupitia uwazi wa vidole vyako 🤣🤣🤣

SIEMPRE JMT
SIEMPRE CCM
 
Tuzidi kumuombea kwa Mola wetu, amzidishie hekima, busara na maarifa katika kufanya maamuzi yenye kuzingatia haki katika kipindi chote aiongozapo taasisi nyeti ya urais. Maamuzi hayo yajikite katika maslahi ya Tanzania kwanza, kisha ndipo yaje ya chama chake.

Abadilishe salamu yake aliyoiasisi ya kulitanguliza sifa ya jina la JMT, jamhuri ambayo yeye ndiye anayeiongoza. Badala ajishushe chini kwa utii na heshima, katika salamu yake atangulize sifa ya jina la Mola wake ambaye ndiye pekee anayemuongoza.

Sent from my Nokia 2.3 using JamiiForums mobile app
Aaaamin aaaamin🙏

Mkuu JAMHURI YA MUUNGANO ndiko tulikozaliwa....nyumbani....ambako ni lazima tukulinde kwa njia yoyote kwani NDIPO tunapomuabudu Mwenyezi Mungu kwa UHURU NA UTULIVU....ibada za VITANI NA UKIMBIZINI ni majanga matupu.....

SIEMPRE JMT🙏
 
Matusi kusema kweli kuhusu wewe kuwa mpumbavu? Matusi ya magufuli uliwahi kuyasikia? Mauaji yaliyofanywa na magufuli uliwahi kuyasikia? Acha ujinga wewe Tanzania ni yetu sote si ya genge la wahuni wachache.



Mkuu BAK una matusi mengi mno🤣🤣

Anyways.....

TANROADS imeanzishwa mwaka 2000.....ndani ya miaka 21 imejenga kilomita za lami 35,000.....

Hizi kwako si maendeleo 😲🤣🤣

Umejipa kazi ya KUYAFUNIKA MACHO KWA VIGANJA huku ukichungulia KIJANJA kupitia uwazi wa vidole vyako 🤣🤣🤣

SIEMPRE JMT
SIEMPRE CCM
 
Unataka kusema chadema ni sawa na CHAUMA, au TADEA, au UMD,? Hauko serious
Na wangekuwa wakubwa zaidi wangemzuia MDUDE NYAGALI asiyatukane matusi siku ile aliyomshambulia mh.Rais SSH.....kinyume chake akaachwa tu....
 
Matusi kusema kweli kuhusu wewe kuwa mpumbavu? Matusi ya magufuli uliwahi kuyasikia? Mauaji yaliyofanywa na magufuli uliwahi kuyasikia? Acha ujinga wewe Tanzania ni yetu sote si ya genge la wahuni wachache.

Kwani hapa unaongea na JPM?!! matusi hayo umenitukana mimi....

Anyways....CCM ina historia pana zaidi ya huyo Dr.Bashiru....hivi kama kweli alitaka kulinda heshima ya CHAMA zaidi ya kuweka LEGACY NA SIFA KIKUNDI angeliongea vile HADHARANI?!!!

CCM haina vikao vya ndani?!!!

HIVI PAMOJA NA YOTE ALIYOFANYIWA DR.SLAA NA CHADEMA(kubadili gia angani) ulimsikia wapi akiiponda CHADEMA na kuibananga hivyo?!!!

Dr.Bashiru kwangu mimi ni mwalimu mzuri wa siasa ila si mwanasiasa wa vyama.....

Hivi CCM yenye wanachama wengi inakosa wapi kuwa na MAJIZI NA WACHAFU WA TABIA?!!

Yaani wachafu wachache ndio iwe sababu ya kuipaka matope TAASISI?!!!!

Na ndio maana ameondolewa nafasi aliyokuwa nayo(uzoefu haba).......


N.B

Ulisema CCM haijaleta maendeleo nchini.....nikakujibu hizo kilomita 35,000 za TANROADS...cha ajabu umehamia kwa Dr.Bashiru 😲😲🤣🤣

SIEMPRE CCM
 
Matusi kukuita mpumbavu? Kama unaandika upumbavu humu unataka nirembe? Matusi, udhalimu na dhuluma za magufuli na samia uliwahi kuyakemea? Au kwa kuwa wewe ni mchumia tumbo unayetafuta teuzi huyaoni?

Bado unaandika upumbavu wa hali ya juu kuhusu maccm na Slaa. Unajua history ya Slaa kujiondoa Chadema?


Kwani hapa unaongea na JPM....matusi hayo umenitukana mimi....

Anyways....CCM ina historia pana zaidi ya huyo Dr.Bashiru....hivi kama kweli alitaka kulinda heshima ya CHAMA zaidi ya kuweka LEGACY NA SIFA KIKUNDI angeliongea vile HADHARANI?!!!

CCM haina vikao vya ndani?!!!

HIVI PAMOJA NA YOTE ALIYOFANYIWA DR.SLAA NA CHADEMA(kubadili gia angani) ulimsikia wapi akiiponda CHADEMA na kuibananga hivyo?!!!

Dr.Bashiru kwangu mimi ni mwalimu mzuri wa siasa ila si mwanasiasa wa vyama.....

Hivi CCM yenye wanachama wengi inakosa wapi kuwa na MAJIZI NA WACHAFU WA TABIA?!!

Yaani wachafu wachache ndio iwe sababu ya kuipaka matope TAASISI?!!!!

Na ndio maana ameondolewa chamani kwetu.......

SIEMPRE CCM
 
Matusi kukuita mpumbavu? Kama unaandika upumbavu humu unataka nirembe? Matusi, udhalimu na dhuluma za magufuli na samia uliwahi kuyakemea? Au kwa kuwa wewe ni mchumia tumbo unayetafuta teuzi huyaoni?

Bado unaandika upumbavu wa hali ya juu kuhusu maccm na Slaa. Unajua history ya Slaa kujiondoa Chadema?

Mbowe hakuufanya udhalimu wa kumuondoa Dr.Slaa kugombea urais kwa kubadilisha GIA angani?!!!

Hivi unataka kutudanganya kuwa Mbowe hakuvutwa na "nguvu aijuayo" kufanya yale maamuzi?!!!

Hivi watanzania ni wajinga kwa kuelezwa sababu nyepesi za CDM "kumsajili" mh.Lowassa?!!!😲😲😲🤣🤣
 
Nimekuuliza unajua sababu ya Slaa kujiondoa Chadema? Au unakurupuka tu? Mimi ni mmoja wale ambao tulipinga sana ujio wa fisadi lowassa. Kwa jinsi unavyoandika unaelekea hujui hasa kiini cha Slaa kuondoka chadema. Mtafute Gwajiboy akueleze yote yaliyojiri hadi Slaa kuamua kuondoka chadema.

Mbowe hakuufanya udhalimu wa kumuondoa Dr.Slaa kugombea urais kwa kubadilisha GIA angani?!!!

Hivi unataka kutudanganya kuwa Mbowe hakuvutwa na "nguvu aijuayo" kufanya yale maamuzi?!!!

Hivi watanzania ni wajinga kwa kuelezwa sababu nyepesi za CDM "kumsajili" mh.Lowassa?!!!😲😲😲🤣🤣
 
Nimekuuliza unajua sababu ya Slaa kujiondoa Chadema? Au unakurupuka tu? Mimi ni mmoja wale ambao tulipinga sana ujio wa fisadi lowassa. Kwa jinsi unavyoandika unaelekea hujui hasa kiini cha Slaa kuondoka chadema. Mtafute Gwajiboy akueleze yote yaliyojiri hadi Slaa kuamua kuondoka chadema.
Kumbe unaweza kukomenti bila ya matusi ya fedheha...🤣

Unaweza kukiweka hapa hicho kilichomuondoa Dr.Slaa CDM?!!

Mwenyekiti wako mh.Mbowe ataendelea kushangaza kwa ile "gia angani"....🤣
 
Back
Top Bottom