Uhasama huwa hauepukiki aisee. Huo upogo tu. Hata Mkapa alipambana sana na CUF.Kwa hiyo wewe unapenda uhasama.
Mkuu, Unaelewa, naelewa. Wananijua, nawajua wengi tu, sasa hivi ni utitiri na ma BOT ndani.Tangu zamani walikuwepo kwani hao UV wameanzia awamu iliyopita tu !!
Haki-Sawa??.Awamu ya Tano chini ya dicteta magufuri siasa za ugomvi,vijembe,matusi,dharau na kukomoana zilishamiri sana.
Cheki hizi akili za kimagufuli, hovyoSamia asichukulie rahisi kihivo cos hiyo nafasi yake watu wanaitaka na wanajua kuwa kuipata lazima wafanyekazi kubwa na sio kutabasam mda wote
Leo, Rais Samia Suluhu Hassan ameshiriki kilele cha matembezi maalum ya UVCCM ya kuadhimisha miaka 59 ya Mapinduzi Zanzibar ambapo katika sehemu ya hotuba yake amewasisitiza vijana wa UVCCM kuachana na siasa za kuchokozana na ugomvi na hata ikitokea watakosolewa basi wajibu kwa hoja.
"Zama za ugomvi, kupigana na kutukanana katika siasa sasa ziishe, twendeni na hoja za maana, twendeni na hoja za kujenga. Tuvumiliane tulete maendeleo ya kweli na yenye tija, ili tujenge Tanzania yenye maendeleo endelevu."- Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan
Aidha alisema kwa kuwa ameruhusu mikutano ya hadhara vyama vingine vitakaposimama na kuikosoa serikali basi wawe wasikivu wa nini kinasemwa ili kirekebishwe kwa maslahi ya Taifa.
"Tunapokosolewa tuyaangalie, yale ya kweli tuyachukue tuyafanyie kazi makosa yawe yameondoka. Yale ambayo sio ya kweli twendeni tukajibu kwa hoja lakini kubwa ni ustahamilivu."- Rais Samia Suluhu
Huyu mama ni kiongozi mwerevu na mwenye hekima kubwa.
Unataka huu ujinga ?Samia asichukulie rahisi kihivo cos hiyo nafasi yake watu wanaitaka na wanajua kuwa kuipata lazima wafanyekazi kubwa na sio kutabasam mda wote
SureLeo, Rais Samia Suluhu Hassan ameshiriki kilele cha matembezi maalum ya UVCCM ya kuadhimisha miaka 59 ya Mapinduzi Zanzibar ambapo katika sehemu ya hotuba yake amewasisitiza vijana wa UVCCM kuachana na siasa za kuchokozana na ugomvi na hata ikitokea watakosolewa basi wajibu kwa hoja.
"Zama za ugomvi, kupigana na kutukanana katika siasa sasa ziishe, twendeni na hoja za maana, twendeni na hoja za kujenga. Tuvumiliane tulete maendeleo ya kweli na yenye tija, ili tujenge Tanzania yenye maendeleo endelevu."- Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan
Aidha alisema kwa kuwa ameruhusu mikutano ya hadhara vyama vingine vitakaposimama na kuikosoa serikali basi wawe wasikivu wa nini kinasemwa ili kirekebishwe kwa maslahi ya Taifa.
"Tunapokosolewa tuyaangalie, yale ya kweli tuyachukue tuyafanyie kazi makosa yawe yameondoka. Yale ambayo sio ya kweli twendeni tukajibu kwa hoja lakini kubwa ni ustahamilivu."- Rais Samia Suluhu
Siasa za uhasama mlizianzisha nyie chadema sema hamkujua uvumilivu wa kiongozi mmoja mmoja, kikwete alikuwa mvumilivu lkn ikawa tofauti Kwa magufuli, so revenge ya magufuli ilikuwa doubled ndo mana mkamuona yeye kama mshari Ila wachokozi mlikuwa nyinyi.
Sie wanaccm hatunaga jau na mtu, chadema walitunyanyasa Sana enzi za kikwete, Kwa mwamba waccm tulipumua
NA HUU NDIYO UISLAM JINSI UNAVYOTUTAKA TUWE, LINI UKAONA KIONGOZI WA KIISLAM AKA UMIZA WATU, HAPA TANZANIA ZAIDI YA UTU WA HALI YA JUU.Rais Samia Ni chaguo la Mwenyezi MUNGU, aliyeinuliwa na Mwenyezi MUNGU ,aliyeandaliwa na Mwenyezi MUNGU Tangia Akiwa Tumboni mwa mama take, Aliye kuja kuwatumikia Waja wa Mwenyezi MUNGU,Aliye na hofu ya Mwenyezi MUNGU,mcha Mungu,Mwenye kumtangulia Mungu,Mwenye kuyaishi maneno take,Asiyetaka kumuumiza yeyote aliyeumbwa na Mwenyezi MUNGU,Kwa kuwa anatambua uongozi hutoka kwa Mwenyezi MUNGU pekee na Ni Mungu pekee anayejuwa hatima ya kila mmoja wetu
Zanzibar viongozi waislamu. Mauaji, utekaji, uporaji ni mambo yanayofanywa na watawala.NA HUU NDIYO UISLAM JINSI UNAVYOTUTAKA TUWE, LINI UKAONA KIONGOZI WA KIISLAM AKA UMIZA WATU, HAPA TANZANIA ZAIDI YA UTU WA HALI YA JUU.
Tunapokosolewa tuyaangalie, yale ya kweli tuyachukue tuyafanyie kazi makosa yawe yameondoka. Yale ambayo sio ya kweli twendeni tukajibu kwa hoja lakini kubwa ni ustahamilivu."- Rais Samia SuluhuLeo, Rais Samia Suluhu Hassan ameshiriki kilele cha matembezi maalum ya UVCCM ya kuadhimisha miaka 59 ya Mapinduzi Zanzibar ambapo katika sehemu ya hotuba yake amewasisitiza vijana wa UVCCM kuachana na siasa za kuchokozana na ugomvi na hata ikitokea watakosolewa basi wajibu kwa hoja.
"Zama za ugomvi, kupigana na kutukanana katika siasa sasa ziishe, twendeni na hoja za maana, twendeni na hoja za kujenga. Tuvumiliane tulete maendeleo ya kweli na yenye tija, ili tujenge Tanzania yenye maendeleo endelevu."- Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan
Aidha alisema kwa kuwa ameruhusu mikutano ya hadhara vyama vingine vitakaposimama na kuikosoa serikali basi wawe wasikivu wa nini kinasemwa ili kirekebishwe kwa maslahi ya Taifa.
"Tunapokosolewa tuyaangalie, yale ya kweli tuyachukue tuyafanyie kazi makosa yawe yameondoka. Yale ambayo sio ya kweli twendeni tukajibu kwa hoja lakini kubwa ni ustahamilivu."- Rais Samia Suluhu
Hufahamu kipindi watu walikuwa wanatekwa na kupigwa risasi?Atwambie muda upi ulikuwa wa siasa uhasama
Chadema waliwahi kumteka au kumuua kiongozi wa CCM?Siasa za uhasama mlizianzisha nyie chadema sema hamkujua uvumilivu wa kiongozi mmoja mmoja, kikwete alikuwa mvumilivu lkn ikawa tofauti Kwa magufuli, so revenge ya magufuli ilikuwa doubled ndo mana mkamuona yeye kama mshari Ila wachokozi mlikuwa nyinyi.
Walitakiwa wajue kuwa, hata siku moja, shetani hawezi kukupa mafanikio ya kudumu. Aliwaonjesha anasa kwa njia haramu na za kifedhuli, baadaye wajutie.CCM ya Mwendazake hawataki siasa za amani, wamesikitishwa saana na hatua ya Mwenyekiti wetu Taifa kusema sasa yatosha - hawana uhakika kama watatoboa majukwaani maana wengi walisaidiwa kupita majimboni bila kupingwa, kuiba kura nk.
Shida yenu hamliwezi kukiri madhaifu, yaani sie CCM tupite mtaani na Sare zetu muanze kutuzomea na kuturushia makopo hizo ndo hoja? Mlifikia hatua mbaya mpaka ya kutuvurisha Sare mtaani hizo ndo hoja? Misafara ya viongozi wetu mlikuwa mnaizomea na kurusha mawe, hizo ndo siasa za kistaraabu kwenu? Revenge za magufuli ilikuwa ni kujibu siasa zenu za kishenzi, Sisi wanaccm ni watulivu na hatunaga mihemko Ila ukizidisha chokochoko hatuwezi kuvumilia upumbavu lazima tukunyooshe.Kwa hiyo CCM kupora chaguzi za nchi hii ndio hizo siasa za kistaarabu? Ukweli ni kuwa CDM waliwazidi sana CCM kwenye hoja, na kwakuwa CCM haikuwa tayari kuzidiwa na CDM, ndio hapo wakageuza siasa kuwa uhasama.