SAMIA KUKUBALI KUSHINDWA PIA NI USHINDI MAMA.
UMEJARIBU, ULIVYOFANIKIWA UMEFANIKIWA, HEBU KAA PEMBENI UPISHE WENGINE NAO WAJARIBU.
USIVUNJE STAHA ULIYOJIJENGEA KWA MUDA MREFU KWA KUNG'ANG'ANIA USIVYOWEZA. URAISI HUUWEZI MAMA.
tusi liko wapi? na kama unahisi kuna tusi kuwa huru kunishtaki chief, anza kushtaki hapa hapa JF kwa mods then nenda serikalini na ithibati ya hiyo comment.Unatukana viongozi?
Tangu lini wanaume wanachamba?Umechamba?
Sio kweli, Magufuli anafariki Tulia alikuwa naibu spika na mmewe hakuwa kwenye wadhifa wa uteuzi wa Rais.Wote na mkewe waliteuliwa na Magufuli
Duh 🙄 !!View attachment 2707791
View attachment 2707792
View attachment 2707793
View attachment 2707794
View attachment 2707795
View attachment 2707796
Mchakato wote wa ‘bulk procurement’ huo hapo juu, EWURA hawana influence yoyote.
Huyo betina na mumewe ni mafisadi tu na wenyewe; ila kila fisadi abebeshwe mzigo wake hapo kwenye uagizaji wa mafuta hawapo.
Hatar sana !Ni CCM imetufikisha hapa tulipo.
Nchi tajiri ya wananchi masikini.
Adui namba wani wa taifa hili ni CCM.
Nafikiri alimaanisha taarifa ya jambo kubwa jipya ili aliweke kwenye ratiba. Lakini aliambiwa alipelekewa memo siku moja kabla, kwa maslahi ya umma, amgeruhusu hoja ya Mbunge ifike mwisho, na serikali ilete majibu.Kwa mantiki hiyo ni kwamba Sipika alikuwa Hana taarifa kutoka wapi maana Tabasamu ndiyo alikuwa ana karibu kiipresent
Naelewa ulichoandika.muondoe ofisini haraka huyu jamaa wa EWURA???
EWURA sio muangizaji wa mafuta mkuu???
Peleka hoja yako PBPA labda utasikilizwa!!
PBPA is a Government Agency established under the Executive Agencies Act, vide GN. No. 423 of 25th September, 2015. As prescribed in the Regulations, the
Agency is mandated to administer and manage the importation of petroleum products in the country.
OUR AIM
To coordinate and manage efficient procurement of petroleum products through Bulk Procurement System (BPS)
OUR VISION
To be an effective and model institution in the procurement and delivery of quality and reliable petroleum products at national and regional levels.
OUR MISSION
To provide quality and cost effective petroleum products through coordination and management of Bulk Procurement System to ensure reliability and security of supply and contribute to the sustainable socio-economic and national development.
PBPA ROLES AND FUNCTIONS
Forecast and determine demand and supply of petroleum products;
Collect procurement requirements of petroleum products from OMCs;
Conduct international competitive bidding for procurement of bulk petroleum products;
Report to the Ministry on Agency’s activities on monthly basis or as may be required by the Ministry;
Prepare plans and budget to cover its Operations;
Conclude and administer contracts with suppliers and between Agency and OMCs;
Relay information, in a timely manner, related to petroleum business to the Authority, Ministry responsible for Petroleum affairs, TRA, TPA, TBS, WMA and other relevant parties when requested;
Coordinate diligent receipts by OMCs of petroleum products from the delivery vessels;
Maintain records of the shipments and performance;
Coordinate invoicing and collection of payments for respective shares of petroleum products imported by an OMC;
Appoint an inspector to ensure delivery of acceptable quantity and quality of petroleum products;
Issue directives and undertake any function that aims at improving efficiency procurement of petroleum products;
Liaise with the Authority on issues related to the importation of petroleum products;
and
Report to the Minister and the Authority on Agency’s activities on a monthly basis or as may be required.
EWURA:
Energy and Water Utilities Regulatory Authority (EWURA) is an autonomous multi-sectoral regulatory Authority established by Cap 414 . In discharging its duties and functions on petroleum sub-sector, the Authority is obliged to comply and enforce the Petroleum Act, 2015, Cap 392 that is a sector’s legislation.
Under these instruments, the Authority is mandated to regulate the Mid and Downstream petroleum sub-sector in Tanzania Mainland, covering technical, economic and safety regulatory functions. Regulatory functions that are implemented by EWURA in this sub sector are geared to:
Monitor for the sake of ensuring security and quality of petroleum products supply in the country;
Optimize costs in respect of procurement, storage, transportation and distribution of petroleum products;
Attract investment through licensing in the petroleum mid and downstream operations, thus helping to ensure a reliability in the supply of petroleum products throughout the country;
Create a level playing field to protect the interest of efficient service providers or suppliers;
and
Implement government policies as outlined in the Energy Policy framework.
The ultimate goal of EWURA (the Authority) is to protect the interests of consumers, efficient suppliers and the government, which together are key Authority’s stakeholders.
Asante kwa kuwa pamoja ktk hoja na ueledi.Nimeshakueleza sio PURA walishaondelewa hayo mamlaka ya kuagiza mafuta hiyo regulation yako ndio ilianzisha PBPA.
PBPA | Petroleum Bulk Procurement System
PETROLEUM BULK PROCUREMENT AGENCY Official Websitewww.pbpa.go.tz
Maelezo yote, majukumu ya PBPA na mchakato wa ‘bulk procurement’ yameelezwa hapo juu kwenye link ya website yao including hizo regulations unazoleta zilizofanya kuanzishwa kwa PBPA.
Sikujua Tulia Ackson ni wa ovyo kweliAliniudhi mno jins alivyo fanya kaza za mwanasheria mkuu mpuuz Sana betina
Ni wa ajabu sana. Tulia ni mbinafsi na mroho kweli. SikujuaNi was tunaibiwa Sana na batina kashajifunza wizi na amependa madarak hvyo wanataka arud ofcn 2026 bungeni Kam spika kwa vuovyote vile pesa zinakuzanywa sana
Kwa hiyo MD wa Ewura ndio wanazalisha nakusafirisha mafuta si ndio?Leo naandika kwa hasira.
Hivi kweli kama Taifa tunachezea ishu nyeti ya uagizaji wa petrol?
Mtu na Mme wake, wanatufikisha kwenye gharama za kijinga kabisa leo hii..!
Taarifa hii hapa chini kwa uchache:-
Mume wa spika wa Bunge, ndiye Mkurugenzi wa EWURA, mamlaka ya usimamizi wa Nishati.
View attachment 2707561
Kuna kitu hawa jamaa walicheza nacho kwenye tenda ya uagizaji wa petrol/mafuta mwezi wa Machi mwishoni.
Hoja ikapelekwa bungeni na Mbunge mh. Tabsamu, mh spika, akaizima kabla hata haijaelezwa vizuri yote.
(Video)
View attachment 2707562
Leo kwa mara ya kwanza Mimi nashuhudia Dsm mafuta yamepanda kwa Tsh. 440, na watu wanacheka tu.
B.O.T wanasema dola $ zipo. Hawa EWURA wanasema upungufu wa dola $.
Wakati sheria ipo wazi, mafuta ya kutumia leo, yanaaguizwa miezi mitatu iliyopita!!
Hiyo dola $ iliyoadimika leo, inahusikaje na mafuta yaliyotakiwa kuagizwa mwezi April/May 2023.??!
Waliotunga hii sheria hawakuwa wajinga.
Huwezi kucheza na bidhaa ambayo inaumiza nchi nzima.
Huu ni uwendawazimu!
Mh Rais, kama huwezi kumuondoa huyu ofisini, basi omba hata JWTZ wakusaidie.
Hii ni security products, hata TISS, walitakiwa kujua huyu anatakiwa apishe ofisi, kwa njia zozote zile!
Kwanza kuna conflict of interest kati yake na mkewe na waziri, huo utatu, leo nchi nzima tumeingia gharama.
Tuibe lakini tutumie akili kidogo.
Huu ni uwendawazimu!
Haya mambo haya... hapa kikubwa dua...
Shida ni kuadimika kwa dola $.Kwa hiyo MD wa Ewura ndio wanazalisha nakusafirisha mafuta si ndio?
Rais sio mjinga kama wewe
Yeye ndio anazalisha Dola? Au amesababisha Dola iadimike?Shida ni kuadimika kwa dola $.
Hiyo sababu yako ya kuzalisha na kusafirisha mafuta umeitoa wapi
Unaona nilivyokuyumbisha.Yeye ndio anazalisha Dola? Au amesababisha Dola iadimike?