Rais Samia na Lissu, mwanzo mzuri kwa Watanzania, ndicho tulichokifanya hapa Kenya

Kha!! Hii ni bangi sasa, mkalale jameni.....hehehehe
 
We utampigia kura Baba?

Halafu kwa nini mnamuita Baba?

Ila nawapenda wanawake wenu waliopo kwenye siasa…Sabina Chege….Cate Waiguru….nk.
Kuna mwingine anaitwa Milicent Omanga ana chura balaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…