Rais Samia na Mama Janeth Magufuli, picha bora ya wiki

Rais Samia na Mama Janeth Magufuli, picha bora ya wiki

Ona mama JP anavo waka waka.tangu bendela nusu mlingoti.
 
Katika majukwaa ya kisiasa Tanzania wiki hii pengine picha ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akifurahia jambo na Mama Janeth Magufuli wakati wakitoka kwenye Futari, Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 15 Aprili. 2023 inaweza kuwa picha bora zaidi ya wiki.

Mbali na mavazi ya stara waliyovalia, lakini Mama Janeth Magufuli anaonekana amenawiri na mwenye tabasamu liliojaa bashasha,

Vipi Wanajamvi ninyi mnaonaje picha hii?
View attachment 2589734
Here only for the brown skin, long live JPM you had good taste my nicca
 
Niwashe WhatAup kivipi? Niitafute JF kwenye WhatAup?
Hiyo picha iliyopandishwa source yake ni WhatsApp. Ukiwasha WhatsApp application ukifungua na hiyo picha ndio itafunguka.
Ni sawa na attachments ambazo ziko kwenye mfumo wa words, Excel, pdf, video baadhi ya simu Kama huna hizo applications huwa hazifunguki mpaka uziactivate apps husika.

Jaribu hivyo kwanza ukishindwa basi sina njia nyengine ninayo ijua.
 
Katika majukwaa ya kisiasa Tanzania wiki hii pengine picha ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akifurahia jambo na Mama Janeth Magufuli wakati wakitoka kwenye Futari, Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 15 Aprili. 2023 inaweza kuwa picha bora zaidi ya wiki.

Mbali na mavazi ya stara waliyovalia, lakini Mama Janeth Magufuli anaonekana amenawiri na mwenye tabasamu liliojaa bashasha,

Vipi Wanajamvi ninyi mnaonaje picha hii?
View attachment 2589734
Mama JPM (rip) kanawiri na anaonekana ana amani kabisa
 
Katika majukwaa ya kisiasa Tanzania wiki hii pengine picha ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akifurahia jambo na Mama Janeth Magufuli wakati wakitoka kwenye Futari, Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 15 Aprili. 2023 inaweza kuwa picha bora zaidi ya wiki.

Mbali na mavazi ya stara waliyovalia, lakini Mama Janeth Magufuli anaonekana amenawiri na mwenye tabasamu liliojaa bashasha,

Vipi Wanajamvi ninyi mnaonaje picha hii?
View attachment 2589734
Mbona hilo jumba nyuma yao halijakaa kama la Ikulu Dar? Liko kama yale ya kale Bagamoyo. Au ni sehemu ya Ikulu ambayo haionyeshwi mara kwa mara?

Amandla...
 
tabasamu liliojaa bashasha,

Vipi Wanajamvi ninyi mnaonaje picha hii?
WhatsApp Image 2023-04-15 at 22.07.53.jpeg
Hapo ni ikulu ya wapi?
Mbona milango kama ya zanzibar-unguja?
 
Back
Top Bottom