Rais Samia najua hautupendi watanganyika ila angalau tufanyie hili

Rais Samia najua hautupendi watanganyika ila angalau tufanyie hili

Mkwawe

JF-Expert Member
Joined
Jun 10, 2016
Posts
3,132
Reaction score
5,508
Una miaka 60+ kwa sasa una nguvu kiasi na una uwezo wa kufanya mambo kadhaa ila baada ya miaka 17 hautakuwa Samia huyu wa Sasa.

Pengine Kuna mambo unayafanya kwa ajili ya kizazi chako ila niamini mimi Mkwawe pindi utakapopoteza madaraka, ushawishi na nguvu hakuna chawa yeyote atayekupambania. Hakuna chawa yeyote atamkumbuka Abdul au yeyote katika uzao wako.

Magufuli alikuwa na machawa pia, Mimi nilikuwa mpenzi mkubwa wa baadhi ya sera za magufuli ila wapo ambao walikuwa ni machawa kindakindaki ambao leo wamemsahau tayari Magufuli na wameusahau uzao wake baada ya yeye kupotea.

Rais wangu Samia ninakichukia chama chako cha CCM kutoka chini ya uvungu wa moyo wangu lakini ninapenda yeyote aliye katika haki hata kama ni wa CCM. hata kama ninaichukia CCM ukweli ulio wazi ni kwamba CCM ndiyo wanaoshika mustakabali wa maisha ya Tanzania ya sasa na ijayo hivyo wewe ukiwa kama rais na mwenyekiti wa chama tawala jaribu kuwa na dira ndogo tu, jambo lolote unalolifanya hovyo hovyo wakati huu litatuathiri watanganyika kwa sasa lakini hata wazanzibari hawataachwa salama nyakati zijazo, hata akina Abdul watakulaumu, watatelekezwa na chawa wako, watoto wako watakuwa na maisha magumu. Kipindi ambacho utakuwa umepoteza nguvu au pengine umekufa kizazi chako kitateseka sana hapa duniani. Haijalishi ni kiwango gani cha fedha utachowatafutia kwa sasa ila hawatoachwa salama

Rais wetu hata kama unatuchukia watanzania wa Tanganyika ila Kuna vitu tunaomba utuachie tu kama vilivyo. Najua kuna kauli nyingi za utata unazozitoa kwenye hotuba zako ziletazo migongani ya kihisia kwetu watanganyika kauli zinazohusu rasilimali na ulinzi na usalama na ulipaji Kodi kandamizi na utawala usio bora najua unajua usemacho ila siku zote ubaya ni sawa na kuunoa mkuki utakaokudunga mwenyewe

Kwa ajili ya miaka yako michache hapa duniani tunaomba usiingie mikataba mibovu na mirefu
Kwa ajili ya maisha ya baadaye ya kizazi chako wapatanishe wanao na watanganyika, machawa watakulekezea tu hao watoto wakabidhi wanao wawe na mahusiano mema na watanzania kwa ujumla

Ukiusoma ujumbe huu ujue ni kuwa watanzania tunapenda sana amani ila wanasiasa wanataka kuibomoa amani iliyo

UZALENDO HUANZA NA KIONGOZI
 
Una miaka 60+ kwa sasa una nguvu kiasi na una uwezo wa kufanya mambo kadhaa ila baada ya miaka 17 hautakuwa Samia huyu wa Sasa.

Pengine Kuna mambo unayafanya kwa ajili ya kizazi chako ila niamini mimi Mkwawe pindi utakapopoteza madaraka, ushawishi na nguvu hakuna chawa yeyote atayekupambania. Hakuna chawa yeyote atamkumbuka Abdul au yeyote katika uzao wako.

Magufuli alikuwa na machawa pia, Mimi nilikuwa mpenzi mkubwa wa baadhi ya sera za magufuli ila wapo ambao walikuwa ni machawa kindakindaki ambao leo wamemsahau tayari Magufuli na wameusahau uzao wake baada ya yeye kupotea.

Rais wangu Samia ninakichukia chama chako cha CCM kutoka chini ya uvungu wa moyo wangu lakini ninapenda yeyote aliye katika haki hata kama ni wa CCM. hata kama ninaichukia CCM ukweli ulio wazi ni kwamba CCM ndiyo wanaoshika mustakabali wa maisha ya Tanzania ya sasa na ijayo hivyo wewe ukiwa kama rais na mwenyekiti wa chama tawala jaribu kuwa na dira ndogo tu, jambo lolote unalolifanya hovyo hovyo wakati huu litatuathiri watanganyika kwa sasa lakini hata wazanzibari hawataachwa salama nyakati zijazo, hata akina Abdul watakulaumu, watatelekezwa na chawa wako, watoto wako watakuwa na maisha magumu. Kipindi ambacho utakuwa umepoteza nguvu au pengine umekufa kizazi chako kitateseka sana hapa duniani. Haijalishi ni kiwango gani cha fedha utachowatafutia kwa sasa ila hawatoachwa salama

Rais wetu hata kama unatuchukia watanzania wa Tanganyika ila Kuna vitu tunaomba utuachie tu kama vilivyo. Najua kuna kauli nyingi za utata unazozitoa kwenye hotuba zako ziletazo migongani ya kihisia kwetu watanganyika kauli zinazohusu rasilimali na ulinzi na usalama na ulipaji Kodi kandamizi na utawala usio bora najua unajua usemacho ila siku zote ubaya ni sawa na kuunoa mkuki utakaokudunga mwenyewe

Kwa ajili ya miaka yako michache hapa duniani tunaomba usiingie mikataba mibovu na mirefu
Kwa ajili ya maisha ya baadaye ya kizazi chako wapatanishe wanao na watanganyika, machawa watakulekezea tu hao watoto wakabidhi wanao wawe na mahusiano mema na watanzania kwa ujumla

Ukiusoma ujumbe huu ujue ni kuwa watanzania tunapenda sana amani ila wanasiasa wanataka kuibomoa amani iliyo

UZALENDO HUANZA NA KIONGOZI
Alete katiba mpya tu mengine tutamsamehe
 
Una miaka 60+ kwa sasa una nguvu kiasi na una uwezo wa kufanya mambo kadhaa ila baada ya miaka 17 hautakuwa Samia huyu wa Sasa.

Pengine Kuna mambo unayafanya kwa ajili ya kizazi chako ila niamini mimi Mkwawe pindi utakapopoteza madaraka, ushawishi na nguvu hakuna chawa yeyote atayekupambania. Hakuna chawa yeyote atamkumbuka Abdul au yeyote katika uzao wako.

Magufuli alikuwa na machawa pia, Mimi nilikuwa mpenzi mkubwa wa baadhi ya sera za magufuli ila wapo ambao walikuwa ni machawa kindakindaki ambao leo wamemsahau tayari Magufuli na wameusahau uzao wake baada ya yeye kupotea.

Rais wangu Samia ninakichukia chama chako cha CCM kutoka chini ya uvungu wa moyo wangu lakini ninapenda yeyote aliye katika haki hata kama ni wa CCM. hata kama ninaichukia CCM ukweli ulio wazi ni kwamba CCM ndiyo wanaoshika mustakabali wa maisha ya Tanzania ya sasa na ijayo hivyo wewe ukiwa kama rais na mwenyekiti wa chama tawala jaribu kuwa na dira ndogo tu, jambo lolote unalolifanya hovyo hovyo wakati huu litatuathiri watanganyika kwa sasa lakini hata wazanzibari hawataachwa salama nyakati zijazo, hata akina Abdul watakulaumu, watatelekezwa na chawa wako, watoto wako watakuwa na maisha magumu. Kipindi ambacho utakuwa umepoteza nguvu au pengine umekufa kizazi chako kitateseka sana hapa duniani. Haijalishi ni kiwango gani cha fedha utachowatafutia kwa sasa ila hawatoachwa salama

Rais wetu hata kama unatuchukia watanzania wa Tanganyika ila Kuna vitu tunaomba utuachie tu kama vilivyo. Najua kuna kauli nyingi za utata unazozitoa kwenye hotuba zako ziletazo migongani ya kihisia kwetu watanganyika kauli zinazohusu rasilimali na ulinzi na usalama na ulipaji Kodi kandamizi na utawala usio bora najua unajua usemacho ila siku zote ubaya ni sawa na kuunoa mkuki utakaokudunga mwenyewe

Kwa ajili ya miaka yako michache hapa duniani tunaomba usiingie mikataba mibovu na mirefu
Kwa ajili ya maisha ya baadaye ya kizazi chako wapatanishe wanao na watanganyika, machawa watakulekezea tu hao watoto wakabidhi wanao wawe na mahusiano mema na watanzania kwa ujumla

Ukiusoma ujumbe huu ujue ni kuwa watanzania tunapenda sana amani ila wanasiasa wanataka kuibomoa amani iliyo

UZALENDO HUANZA NA KIONGOZI

Hakika shule ulienda kusomea ujinga.

Kwanini akuchukie mzenjbar mwenzake?
 
Una miaka 60+ kwa sasa una nguvu kiasi na una uwezo wa kufanya mambo kadhaa ila baada ya miaka 17 hautakuwa Samia huyu wa Sasa.

Pengine Kuna mambo unayafanya kwa ajili ya kizazi chako ila niamini mimi Mkwawe pindi utakapopoteza madaraka, ushawishi na nguvu hakuna chawa yeyote atayekupambania. Hakuna chawa yeyote atamkumbuka Abdul au yeyote katika uzao wako.

Magufuli alikuwa na machawa pia, Mimi nilikuwa mpenzi mkubwa wa baadhi ya sera za magufuli ila wapo ambao walikuwa ni machawa kindakindaki ambao leo wamemsahau tayari Magufuli na wameusahau uzao wake baada ya yeye kupotea.

Rais wangu Samia ninakichukia chama chako cha CCM kutoka chini ya uvungu wa moyo wangu lakini ninapenda yeyote aliye katika haki hata kama ni wa CCM. hata kama ninaichukia CCM ukweli ulio wazi ni kwamba CCM ndiyo wanaoshika mustakabali wa maisha ya Tanzania ya sasa na ijayo hivyo wewe ukiwa kama rais na mwenyekiti wa chama tawala jaribu kuwa na dira ndogo tu, jambo lolote unalolifanya hovyo hovyo wakati huu litatuathiri watanganyika kwa sasa lakini hata wazanzibari hawataachwa salama nyakati zijazo, hata akina Abdul watakulaumu, watatelekezwa na chawa wako, watoto wako watakuwa na maisha magumu. Kipindi ambacho utakuwa umepoteza nguvu au pengine umekufa kizazi chako kitateseka sana hapa duniani. Haijalishi ni kiwango gani cha fedha utachowatafutia kwa sasa ila hawatoachwa salama

Rais wetu hata kama unatuchukia watanzania wa Tanganyika ila Kuna vitu tunaomba utuachie tu kama vilivyo. Najua kuna kauli nyingi za utata unazozitoa kwenye hotuba zako ziletazo migongani ya kihisia kwetu watanganyika kauli zinazohusu rasilimali na ulinzi na usalama na ulipaji Kodi kandamizi na utawala usio bora najua unajua usemacho ila siku zote ubaya ni sawa na kuunoa mkuki utakaokudunga mwenyewe

Kwa ajili ya miaka yako michache hapa duniani tunaomba usiingie mikataba mibovu na mirefu
Kwa ajili ya maisha ya baadaye ya kizazi chako wapatanishe wanao na watanganyika, machawa watakulekezea tu hao watoto wakabidhi wanao wawe na mahusiano mema na watanzania kwa ujumla

Ukiusoma ujumbe huu ujue ni kuwa watanzania tunapenda sana amani ila wanasiasa wanataka kuibomoa amani iliyo

UZALENDO HUANZA NA KIONGOZI
Umeongea vizuri Sana. Hakika kuna mikataba ameingia itatugharimu watanganyika. Niwe muwazi simpendi huyu mama kwa moyo wangu wote
 
Umeongea vizuri Sana. Hakika kuna mikataba ameingia itatugharimu watanganyika. Niwe muwazi simpendi huyu mama kwa moyo wangu wote
Anajua wapo watu kama nyie msiompenda ndo maana anawakomoa
 
Kujenga miundo mbinu ya migodi huko kwenye hifadhi zenu Watanganyika huko. Kuripua miamba...na kujenga makazi ya wafanyakazi. Sijui kama mtakuwa na hifadhi tena. Wajukuu na vitukuu vyenu vitakuta mashimo tu na hadithi...na waliochimba na kufaidika na hayo madini walishasepa zao. Poor Tanganyika!

IMG-20240720-WA0070.jpg
 
huyo ndugu haaminiki tangu enzi za Adam na Hawa, kizazi hiki kinamuamini mwanamke hadi kumkabidhi nafasi ya juu ya nchi...hii ni dhihaka kwa Mungu@!. Waliotambua hilo wanakemea tangu kitambo kwamba huyu ndugu hakubariki kwa Mungu hata kwa watu wa hapa duniani, wale wanaomsemea wengi ni chawa, wateteao matumbo yao, na familia yake tu
 
Philosophy Doctorate holder
Kweli kuwa na elimu kubwa sio kuwa na akili
Tofautisha doctorate degree ya kuhenyea darasani miaka mitano+ na hizi honoris causa wanazogawiwa akina Musukuma kisa tu eti wana hela na madaraka.

Nyerere alikuwa nazo zaidi ya 10 tena kutoka vyuo vikuu bora kabisa lakini hakuwahi kujiita dokta au prof.

Kuna ntu na ntu!
 
huyo ndugu haaminiki tangu enzi za Adam na Hawa, kizazi hiki kinamuamini mwanamke hadi kumkabidhi nafasi ya juu ya nchi...hii ni dhihaka kwa Mungu@!. Waliotambua hilo wanakemea tangu kitambo kwamba huyu ndugu hakubariki kwa Mungu hata kwa watu wa hapa duniani, wale wanaomsemea wengi ni chawa, wateteao matumbo yao, na familia yake tu
Ni bida'a kwa mwanamke kuwa kiongozi ila cha ajabu hakuna kiongozi wa dini yeyote hususani aliyopo aliyewahi kukemea hili hadharani
 
Tofautisha doctorate degree ya kuhenyea darasani miaka mitano+ na hizi honoris causa wanazogawiwa akina Musukuma kisa tu eti wana hela na madaraka.

Nyerere alikuwa nazo zaidi ya 10 tena kutoka vyuo vikuu bora kabisa lakini hakuwahi kujiita dokta au prof.

Kuna ntu na ntu!
Lakini hata huyu ni Dakta
Ametunukiwa uturuki na korea
 
Back
Top Bottom