Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bruh, Austria is a Germanic State!Sio MJERUMANI, alizaliwa Vienna Austria.
Ni masahihisho madogo, all in all andiko liko poa ๐๐
Naam mkuu alijipa cheo kuwa ni CHURA KIZIWI ๐ธDaah ๐๐
Kweli nimesahau kuwa huwa hasikiagi kelele
Ushauri mzuri ,naongeza langu hapa ,Ndugu Rais umewaita machief sasa tunaomba mwaliko wako jf member ambao sio machawa , tuzungumze na ikiwezekana tukupige spana pale panabidi kwa maslahi mapana ya taifa hili.Una miaka 60+ kwa sasa una nguvu kiasi na una uwezo wa kufanya mambo kadhaa ila baada ya miaka 17 hautakuwa Samia huyu wa Sasa.
Pengine Kuna mambo unayafanya kwa ajili ya kizazi chako ila niamini mimi Mkwawe pindi utakapopoteza madaraka, ushawishi na nguvu hakuna chawa yeyote atayekupambania. Hakuna chawa yeyote atamkumbuka Abdul au yeyote katika uzao wako.
Magufuli alikuwa na machawa pia, Mimi nilikuwa mpenzi mkubwa wa baadhi ya sera za magufuli ila wapo ambao walikuwa ni machawa kindakindaki ambao leo wamemsahau tayari Magufuli na wameusahau uzao wake baada ya yeye kupotea.
Rais wangu Samia ninakichukia chama chako cha CCM kutoka chini ya uvungu wa moyo wangu lakini ninapenda yeyote aliye katika haki hata kama ni wa CCM. hata kama ninaichukia CCM ukweli ulio wazi ni kwamba CCM ndiyo wanaoshika mustakabali wa maisha ya Tanzania ya sasa na ijayo hivyo wewe ukiwa kama rais na mwenyekiti wa chama tawala jaribu kuwa na dira ndogo tu, jambo lolote unalolifanya hovyo hovyo wakati huu litatuathiri watanganyika kwa sasa lakini hata wazanzibari hawataachwa salama nyakati zijazo, hata akina Abdul watakulaumu, watatelekezwa na chawa wako, watoto wako watakuwa na maisha magumu. Kipindi ambacho utakuwa umepoteza nguvu au pengine umekufa kizazi chako kitateseka sana hapa duniani. Haijalishi ni kiwango gani cha fedha utachowatafutia kwa sasa ila hawatoachwa salama
Rais wetu hata kama unatuchukia watanzania wa Tanganyika ila Kuna vitu tunaomba utuachie tu kama vilivyo. Najua kuna kauli nyingi za utata unazozitoa kwenye hotuba zako ziletazo migongani ya kihisia kwetu watanganyika kauli zinazohusu rasilimali na ulinzi na usalama na ulipaji Kodi kandamizi na utawala usio bora najua unajua usemacho ila siku zote ubaya ni sawa na kuunoa mkuki utakaokudunga mwenyewe
Kwa ajili ya miaka yako michache hapa duniani tunaomba usiingie mikataba mibovu na mirefu
Kwa ajili ya maisha ya baadaye ya kizazi chako wapatanishe wanao na watanganyika, machawa watakulekezea tu hao watoto wakabidhi wanao wawe na mahusiano mema na watanzania kwa ujumla
Ukiusoma ujumbe huu ujue ni kuwa watanzania tunapenda sana amani ila wanasiasa wanataka kuibomoa amani iliyo
UZALENDO HUANZA NA KIONGOZI
Germany na Austria wote ni watu wa ancient Germanic empire. So Yuko sawa.Sio MJERUMANI, alizaliwa Vienna Austria.
Ni masahihisho madogo, all in all andiko liko poa ๐๐
Tanzania hadi sasa kwa macho nimeshuhudia mtu mmoja tu mwenye dira Magufuli basi...Mimi kilio changu huwa kwa watu wa kitengo.. yani hao wakifeli kung'amua hizo ishu na athari zake basi taifa liko fu*ked.
German ni German, na Austria ni Austria, napokuwa ni watu wanaoshea culture na languageGermany na Austria wote ni watu wa ancient Germanic empire. So Yuko sawa.
Naipenda tu mkuu, kuandika chura bila hiyo emoji nanjisikia sijatenda haki kwa BI TOZOKwani lazima hii emoji ๐ธ mkuu
Hata yeye anajua anachukiwa tena wengine walio karibu naye. Ndiyo maana hata wengine wanapotoa mifano wanasema "Mwamba (MAGUFULI) alikuwa anafanya hiki na hiki inamaanisha nn! kwamba hawezi. Ni maneno ya mteule wake. Aliyekataa kuitika kwenye tume ya Sheria na haki zetu. Waliyoiweka wenyewe.Umeongea vizuri Sana. Hakika kuna mikataba ameingia itatugharimu watanganyika. Niwe muwazi simpendi huyu mama kwa moyo wangu wote
Si kweliNchi isiyoheshimu Sheria Katiba ni kama Jarida tu katika Maktaba au kanuni watu wanazojisemea katika maongezi yao....
Basi kwa msingi huo 'katiba' ya kwanza ni uwajibikajiKatiba ni makubaliano a social contract, Katiba ni Sheria lakini kama Sheria haifuatwi sio kakijitabu tu bali ni kitabu hata kisichosomwa ingawa tungekuwa tunafuata Sheria hata bila hicho kitabu tungekuwa tuna Katiba (social contract)