Rais Samia najua hautupendi watanganyika ila angalau tufanyie hili

Rais Samia najua hautupendi watanganyika ila angalau tufanyie hili

Hata yeye anajua anachukiwa tena wengine walio karibu naye. Ndiyo maana hata wengine wanapotoa mifano wanasema "Mwamba (MAGUFULI) alikuwa anafanya hiki na hiki inamaanisha nn! kwamba hawezi. Ni maneno ya mteule wake. Aliyekataa kuitika kwenye tume ya Sheria na haki zetu. Waliyoiweka wenyewe.
Jambo la tofauti maadui wa Magufuli walikuwa wanajulikana ila wa huyu wako mseto
 
Si kweli
Alipokufa magufuli watu walisoma katiba ndo mama akawa raisi

Kuna nyakati ngumu zikifika Kila mtu ataisoma tu hata wasioipenda inawabidi wasisome. Tu

Kutokuiheshimu katiba ni weakness za muundo wa katiba yenyewe na hatutaruhusu huo mwanya utokee kwenye katiba mpya

Nafikikiri umepata shule ya kutosha dogo
Nadhani 'walioiheshimu' katiba baada ya kifo cha Magufuli walikuwa wanajua kwanini walipaswa kuheshimu katiba
 
Si kweli
Alipokufa magufuli watu walisoma katiba ndo mama akawa raisi

Kuna nyakati ngumu zikifika Kila mtu ataisoma tu hata wasioipenda inawabidi wasisome. Tu

Kutokuiheshimu katiba ni weakness za muundo wa katiba yenyewe na hatutaruhusu huo mwanya utokee kwenye katiba mpya

Nafikikiri umepata shule ya kutosha dogo
Katiba inazungumzia kubadilishana Urais pekee, ni mangapi yalikuwepo kwenye Katiba mfano mgombe huru yakavunjwa watu waliposhitaki mahakama ikabadilisha proactively ?

Nimesema katiba ni sheria na nchi / watu wenye utamaduni wa kutofuata sheria huo utakuwa ni muendelezo wa kuongeza mambo ya kuvunjwa nadhani umenielewa Katiba haifanyi automatically watu kufuata sheria bali inabidi watu tuwe na utamaduni wa kufuata na kutii sheria bila shuruti (hata hizi zilizopo sasa)
 
Una miaka 60+ kwa sasa una nguvu kiasi na una uwezo wa kufanya mambo kadhaa ila baada ya miaka 17 hautakuwa Samia huyu wa Sasa.

Pengine Kuna mambo unayafanya kwa ajili ya kizazi chako ila niamini mimi Mkwawe pindi utakapopoteza madaraka, ushawishi na nguvu hakuna chawa yeyote atayekupambania. Hakuna chawa yeyote atamkumbuka Abdul au yeyote katika uzao wako.

Magufuli alikuwa na machawa pia, Mimi nilikuwa mpenzi mkubwa wa baadhi ya sera za magufuli ila wapo ambao walikuwa ni machawa kindakindaki ambao leo wamemsahau tayari Magufuli na wameusahau uzao wake baada ya yeye kupotea.

Rais wangu Samia ninakichukia chama chako cha CCM kutoka chini ya uvungu wa moyo wangu lakini ninapenda yeyote aliye katika haki hata kama ni wa CCM. hata kama ninaichukia CCM ukweli ulio wazi ni kwamba CCM ndiyo wanaoshika mustakabali wa maisha ya Tanzania ya sasa na ijayo hivyo wewe ukiwa kama rais na mwenyekiti wa chama tawala jaribu kuwa na dira ndogo tu, jambo lolote unalolifanya hovyo hovyo wakati huu litatuathiri watanganyika kwa sasa lakini hata wazanzibari hawataachwa salama nyakati zijazo, hata akina Abdul watakulaumu, watatelekezwa na chawa wako, watoto wako watakuwa na maisha magumu. Kipindi ambacho utakuwa umepoteza nguvu au pengine umekufa kizazi chako kitateseka sana hapa duniani. Haijalishi ni kiwango gani cha fedha utachowatafutia kwa sasa ila hawatoachwa salama

Rais wetu hata kama unatuchukia watanzania wa Tanganyika ila Kuna vitu tunaomba utuachie tu kama vilivyo. Najua kuna kauli nyingi za utata unazozitoa kwenye hotuba zako ziletazo migongani ya kihisia kwetu watanganyika kauli zinazohusu rasilimali na ulinzi na usalama na ulipaji Kodi kandamizi na utawala usio bora najua unajua usemacho ila siku zote ubaya ni sawa na kuunoa mkuki utakaokudunga mwenyewe

Kwa ajili ya miaka yako michache hapa duniani tunaomba usiingie mikataba mibovu na mirefu
Kwa ajili ya maisha ya baadaye ya kizazi chako wapatanishe wanao na watanganyika, machawa watakulekezea tu hao watoto wakabidhi wanao wawe na mahusiano mema na watanzania kwa ujumla

Ukiusoma ujumbe huu ujue ni kuwa watanzania tunapenda sana amani ila wanasiasa wanataka kuibomoa amani iliyo

UZALENDO HUANZA NA KIONGOZI
Mikataba mibovu aliyoingia ni ipi?
 
Una miaka 60+ kwa sasa una nguvu kiasi na una uwezo wa kufanya mambo kadhaa ila baada ya miaka 17 hautakuwa Samia huyu wa Sasa.

Pengine Kuna mambo unayafanya kwa ajili ya kizazi chako ila niamini mimi Mkwawe pindi utakapopoteza madaraka, ushawishi na nguvu hakuna chawa yeyote atayekupambania. Hakuna chawa yeyote atamkumbuka Abdul au yeyote katika uzao wako.

Magufuli alikuwa na machawa pia, Mimi nilikuwa mpenzi mkubwa wa baadhi ya sera za magufuli ila wapo ambao walikuwa ni machawa kindakindaki ambao leo wamemsahau tayari Magufuli na wameusahau uzao wake baada ya yeye kupotea.

Rais wangu Samia ninakichukia chama chako cha CCM kutoka chini ya uvungu wa moyo wangu lakini ninapenda yeyote aliye katika haki hata kama ni wa CCM. hata kama ninaichukia CCM ukweli ulio wazi ni kwamba CCM ndiyo wanaoshika mustakabali wa maisha ya Tanzania ya sasa na ijayo hivyo wewe ukiwa kama rais na mwenyekiti wa chama tawala jaribu kuwa na dira ndogo tu, jambo lolote unalolifanya hovyo hovyo wakati huu litatuathiri watanganyika kwa sasa lakini hata wazanzibari hawataachwa salama nyakati zijazo, hata akina Abdul watakulaumu, watatelekezwa na chawa wako, watoto wako watakuwa na maisha magumu. Kipindi ambacho utakuwa umepoteza nguvu au pengine umekufa kizazi chako kitateseka sana hapa duniani. Haijalishi ni kiwango gani cha fedha utachowatafutia kwa sasa ila hawatoachwa salama

Rais wetu hata kama unatuchukia watanzania wa Tanganyika ila Kuna vitu tunaomba utuachie tu kama vilivyo. Najua kuna kauli nyingi za utata unazozitoa kwenye hotuba zako ziletazo migongani ya kihisia kwetu watanganyika kauli zinazohusu rasilimali na ulinzi na usalama na ulipaji Kodi kandamizi na utawala usio bora najua unajua usemacho ila siku zote ubaya ni sawa na kuunoa mkuki utakaokudunga mwenyewe

Kwa ajili ya miaka yako michache hapa duniani tunaomba usiingie mikataba mibovu na mirefu
Kwa ajili ya maisha ya baadaye ya kizazi chako wapatanishe wanao na watanganyika, machawa watakulekezea tu hao watoto wakabidhi wanao wawe na mahusiano mema na watanzania kwa ujumla

Ukiusoma ujumbe huu ujue ni kuwa watanzania tunapenda sana amani ila wanasiasa wanataka kuibomoa amani iliyo

UZALENDO HUANZA NA KIONGOZI
Asante kwa bandiko hili,natamani kama lingemfikia ama awepo wa kumfikishia.
 
Back
Top Bottom