Rais Samia najua hautupendi watanganyika ila angalau tufanyie hili

Ni w Ni wengi mno hawampendi ,ila tunacho ambiwa na kuona na kusikia hailingani.
 
Rais Sane kuongoza Tanzania alikuwa Benjamin Mkapa, waliomfuatia ni wapiga deal watupu. JPM kidogoo alijitahidi kujitofauisha na majizi menzake ila naye ndio humo humo tu
 
Mimi sikukuzwa na kulelewa kulalamika

I am problem solver

Kuandika katiba mpya Hl ndo the best soln ya matatizo yetu,

We utaumia nini tukiandika katiba
Tupe soln basi

over 75% problems za nchi hii ni katiba labda 25% ndo mambo mengine kama unayosema
 
Mimi sikukuzwa na kulelewa kulalamika
Anayelalamika ni nani mimi kuelezea shida iliyopo ni kulalamika au kusema hakuna shida wakati shida ipo ndio sio kulalamika
I am problem solver
Aisee kama hata unashindwa kuelewa tatizo au kusoma nilichoandika hizo problem utazosema unasolve si utasolve kitu ambacho hakipo ? Nimekwambia tatizo kubwa la jamii zetu hususan sasa ni kutokutii sheria hata ambazo zipo wazi zinavunjwa wala hazikemewi na watu wanaona sifa vitu kama rushwa tunajua kabisa ni jambo baya ila watu wanafanya na jamii inaona ni sawa hivyo bila utamaduni wa kufuata sheria na watu kama jamii kukemea uvunjaji wa sheria utakuwa ni muendelezo wa kuvunja sheria yoyote ile hata hii sheria mama
Kuandika katiba mpya Hl ndo the best soln ya matatizo yetu,
Na kumbe wewe issue ni upya na sio uzuri wala bora..., na unadhani katika ndio mwarobaini wa matatizo yako (kweli tuna safari ndefu sana) Inabidi kila kitu kirekebishwe na kiwe bora hata Katiba iwe bora yenye kumlinda mwananchi na above all else ifuatwe na tuwe na tamaduni na taasisi imara za kuwawashibisha wote wavunja sheria ikiwemo Katiba
We utaumia nini tukiandika katiba
Tupe soln basi

over 75% problems za nchi hii ni katiba labda 25% ndo mambo mengine kama unayosema
Aisee nani kasema Katiba isiandikwe unasema asilimia 75% ya matatizo ni Katiba hata kama ungesema 99% alafu lile moja ni kutokufuata sheria / kuheshimu katiba sasa huoni hizo 99 hazitafanya kazi kama tuna utamaduni wa kujifanyia tunachojifanyia na wananchi kuona ni sawa ?
 
Kaulitz ya ajabu sana
 
Ni w
Ni wengi mno hawampendi ,ila tunacho ambiwa na kuona na kusikia hailingani.
TBC hao wanafiki mno
Utasikia kishindo cha Dakta Samia
πŸ˜€πŸ˜€
 
Ujumbe mzuri sanaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…