eliasmisinzo
JF-Expert Member
- Aug 13, 2021
- 1,259
- 1,321
Bandari ni suala la Muungano, kwa Nini bandari za Zanzibar zisiwemo kwenye mkataba huu Ikiwa ni mzuri? IBARA 4 (2) unaitaka Tanzania kuomba ridhaa Dubai, Dubai wakikataa kutoa idhini ndio basi. Nchi huru ikaombe ridhaa Dubai? Tena kwa mali zake? bado nyie Chawa hamuoni?Suala la Bandari lina shida gani?
Magufuli alitengeneza bunge la Chama KIMOJA la hovyo kwa kura za kupita bila kupingwa. Kwenye vyama vingi unapitaje bila kupingwa?Ukiangalia kwa jicho la umakini hili suala utagundua kwamba waliomuingiza chaka huyu mama ni wabunge wanaoongozwa na njaa kali na ulafi kushindwa kupingana wao kwa wao sababu sasa hivi mle ndani wapo wao tu so wanaona wakienda tofauti na wengine raisi atawaona wasaliti na atakuwa hawabebi awamu ijayo kumbe sometimes yeye rais alitegemea challenges watakazopeana kwenye mjadala wa hili jambo ndizo zimuongoze lakini wao wakaishia kugonga gonga meza kwamba kila kitu kipo safi yeye akaona amalize kazi kumbe halikuwa jambo bora.
Na hii yote ni kutokana na wanajua hawapendwi na wananchi wao kwa sababu kugombea kwao ubunge haikuwa ili wakawasemee shida zao bali ilikuwa ni chance ya kupata ukwasi
Ulisikia maelezo ya Waziri Mkuu wakati anahutubia Bunge?Bandari ni suala la Muungano, kwa Nini bandari za Zanzibar zisiwemo kwenye mkataba huu Ikiwa ni mzuri? IBARA 4 (2) unaitaka Tanzania kuomba ridhaa Dubai, Dubai wakikataa kutoa idhini ndio basi. Nchi huru ikaombe ridhaa Dubai? Tena kwa mali zake? bado nyie Chawa hamuoni?
Hoja hujibiwa kwa hojaNongwa na hasira hizi baki nazo. DP World wanaanza kuwekeza hivi karibuni.
Hoja hazina mantiki kaka, huu sio mkataba wa kwanza kusainiwa na serikali ya TZ, inasainiwa mingi sana kila siku.Hoja hujibiwa kwa hoja
Wapo wengi tu humu wanaongea kadri wanavyojisikia.Ulisikia maelezo ya Waziri Mkuu wakati anahutubia Bunge?
Hiyo ibara ya 4 inaitaka Tanzania kuomba ridhaa gani?
Umesoma kweli mkataba wewe?
Hiyo mikataba mingi ni mingapi kati yake ilipitishiwa bungeni??Hoja hazina mantiki kaka, huu sio mkataba wa kwanza kusainiwa na serikali ya TZ, inasainiwa mingi sana kila siku.
Tangu uhuru kaka Allen inasainiwa mikataba. Tatizo huu wa bandari umevujishwa na mmoja wa hao hao wenye nia ya kuutaka urais mwaka 2025.Hiyo mikataba mingi ni mingapi kati yake ilipitishiwa bungeni??
Hiyo mingi ya huko nyuma ilikuwa ni makubaliano? Hoja ni kwamba kilichosainiwa ni mkataba, na hivyo vipengele vyote vibovu vina nguvu ya kisheria ya kututia kitanzi. Virekebishwe au mkataba ufutwe.Hoja hazina mantiki kaka, huu sio mkataba wa kwanza kusainiwa na serikali ya TZ, inasainiwa mingi sana kila siku.
Huyu rais alijiamini kuliko uwezo wake. Uwezo ni mdogo. Lakini pia Ukiona mtu anajishirikisha sana na rangi isiyo yake, yaani anajipa race ambayo si yake, fahamu kuna mapungufu ya uelewa. Mwafrika ni victim wa mataifa yote ya dunia hii, hivyo huwa tunashirikiana na dunia kwa tahadhari.Haihitaji kubishana kwa chochote, suala la Bandari limefifisha kabisa nyota ya kisiasa ya Rais Samia, kwa hali ilivyo sasa Rais Samia akisema akagombee hata udiwani katika kata yoyote ile Tanganyika huenda akaangukia pua.
Watu wengi waliokuwa wanamuona Rais Samia kama rais bora wa mfano, kwa sasa (kupitia suala la bandari) wanamuona Rais wangu kama mtu mwenye upeo mdogo au mwenye tamaa kubwa za kifisadi kuliko mwanasiasa yoyote aliyewahi kutokea hapa Tanzania. Sakata la bandari limeondoa heshima yote ya Rais Samia.
Kwa nia njema kabisa, ningependa kumpa huu ushauri Rais wangu mama Samia ili kuepuka kikombe hichi cha mkataba ya kipuuzi wa Bandari kilichozika kabisa nyota yake ya kisiasa kuelekea 2025. Ni vyema mara moja akalikana bunge lililopitisha mkataba ule kwa kumtosa Spika Tulia (kufanya kama alichokifanya kwa Ndugai) na hapo hapo kumtosa waziri wako mkuu (Kassim Majaliwa) kwa kitendo cha 'kumshauri vibaya' na ikiwezekana kumpiga chini na Mwanasheria kwa kushindwa 'kuwajibika ipasavyo kisheria.' Narudia tena, kisiasa mama Samia ameshaanguka na namna pekee ya kujaribu kuinuka ni kuachana na hilo limkataba la DP world kwa style ya kuwatosa vilanja wake. Ushauri wangu huu ipo siku utakumbukwa!
ANGALIZO
Mimi ni miongoni wa watu humu JF ninayemkubali Rais Samia kwa upendo wake kwa watanzania wote na uungwana wake katika kufanya siasa. Ni kitu cha kipekee alichonacho (Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni). Upande wa pili mimi ni mkosoaji wa utendaji mbovu wa Rais Samia unaotokana na kivuli kichafu cha CCM kinachomfunika, uwezo wenye mashaka katika kuchanganua mambo makubwa na taswira ya kifisadi anayotengenezewa na watu fulani fulani waliomzunguka. Ukweli usemwe hata kama ni mchungu!
Huna ujualo mkuu, mkataba kwenda bungeni tayari ni kinga ya kisheria.Hiyo mingi ya huko nyuma ilikuwa ni makubaliano? Hoja ni kwamba kilichosainiwa ni mkataba, na hivyo vipengele vyote vibovu vina nguvu ya kisheria ya kututia kitanzi. Virekebishwe au mkataba ufutwe.
Kinga ya kutoshtakiwa tukiuvunja? Au kinga ipi?Huna ujualo mkuu, mkataba kwenda bungeni tayari ni kinga ya kisheria.
Usidhani mkataba kwenda bungeni ni mapambo tu.Kinga ya kutoshtakiwa tukiuvunja? Au kinga ipi?
Wewe mbinguni moja kwa mojaHaihitaji kubishana kwa chochote, suala la Bandari limefifisha kabisa nyota ya kisiasa ya Rais Samia, kwa hali ilivyo sasa Rais Samia akisema akagombee hata udiwani katika kata yoyote ile Tanganyika huenda akaangukia pua.
Watu wengi waliokuwa wanamuona Rais Samia kama rais bora wa mfano, kwa sasa (kupitia suala la bandari) wanamuona Rais wangu kama mtu mwenye upeo mdogo au mwenye tamaa kubwa za kifisadi kuliko mwanasiasa yoyote aliyewahi kutokea hapa Tanzania. Sakata la bandari limeondoa heshima yote ya Rais Samia.
Kwa nia njema kabisa, ningependa kumpa huu ushauri Rais wangu mama Samia ili kuepuka kikombe hichi cha mkataba ya kipuuzi wa Bandari kilichozika kabisa nyota yake ya kisiasa kuelekea 2025. Ni vyema mara moja akalikana bunge lililopitisha mkataba ule kwa kumtosa Spika Tulia (kufanya kama alichokifanya kwa Ndugai) na hapo hapo kumtosa waziri wako mkuu (Kassim Majaliwa) kwa kitendo cha 'kumshauri vibaya' na ikiwezekana kumpiga chini na Mwanasheria kwa kushindwa 'kuwajibika ipasavyo kisheria.' Narudia tena, kisiasa mama Samia ameshaanguka na namna pekee ya kujaribu kuinuka ni kuachana na hilo limkataba la DP world kwa style ya kuwatosa vilanja wake. Ushauri wangu huu ipo siku utakumbukwa!
ANGALIZO
Mimi ni miongoni wa watu humu JF ninayemkubali Rais Samia kwa upendo wake kwa watanzania wote na uungwana wake katika kufanya siasa. Ni kitu cha kipekee alichonacho (Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni). Upande wa pili mimi ni mkosoaji wa utendaji mbovu wa Rais Samia unaotokana na kivuli kichafu cha CCM kinachomfunika, uwezo wenye mashaka katika kuchanganua mambo makubwa na taswira ya kifisadi anayotengenezewa na watu fulani fulani waliomzunguka. Ukweli usemwe hata kama ni mchungu!
Mikataba yenye nguvu ya kisheria ni ile itakayokuja kuwa ya kibiashara, projects contracts.Hiyo mingi ya huko nyuma ilikuwa ni makubaliano? Hoja ni kwamba kilichosainiwa ni mkataba, na hivyo vipengele vyote vibovu vina nguvu ya kisheria ya kututia kitanzi. Virekebishwe au mkataba ufutwe.
Hatoswi mtu.Haihitaji kubishana kwa chochote, suala la Bandari limefifisha kabisa nyota ya kisiasa ya Rais Samia, kwa hali ilivyo sasa Rais Samia akisema akagombee hata udiwani katika kata yoyote ile Tanganyika huenda akaangukia pua.
Watu wengi waliokuwa wanamuona Rais Samia kama rais bora wa mfano, kwa sasa (kupitia suala la bandari) wanamuona Rais wangu kama mtu mwenye upeo mdogo au mwenye tamaa kubwa za kifisadi kuliko mwanasiasa yoyote aliyewahi kutokea hapa Tanzania. Sakata la bandari limeondoa heshima yote ya Rais Samia.
Kwa nia njema kabisa, ningependa kumpa huu ushauri Rais wangu mama Samia ili kuepuka kikombe hichi cha mkataba ya kipuuzi wa Bandari kilichozika kabisa nyota yake ya kisiasa kuelekea 2025. Ni vyema mara moja akalikana bunge lililopitisha mkataba ule kwa kumtosa Spika Tulia (kufanya kama alichokifanya kwa Ndugai) na hapo hapo kumtosa waziri wako mkuu (Kassim Majaliwa) kwa kitendo cha 'kumshauri vibaya' na ikiwezekana kumpiga chini na Mwanasheria kwa kushindwa 'kuwajibika ipasavyo kisheria.' Narudia tena, kisiasa mama Samia ameshaanguka na namna pekee ya kujaribu kuinuka ni kuachana na hilo limkataba la DP world kwa style ya kuwatosa vilanja wake. Ushauri wangu huu ipo siku utakumbukwa!
ANGALIZO
Mimi ni miongoni wa watu humu JF ninayemkubali Rais Samia kwa upendo wake kwa watanzania wote na uungwana wake katika kufanya siasa. Ni kitu cha kipekee alichonacho (Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni). Upande wa pili mimi ni mkosoaji wa utendaji mbovu wa Rais Samia unaotokana na kivuli kichafu cha CCM kinachomfunika, uwezo wenye mashaka katika kuchanganua mambo makubwa na taswira ya kifisadi anayotengenezewa na watu fulani fulani waliomzunguka. Ukweli usemwe hata kama ni mchungu!