Rais Samia nakushauri watose sasa Spika (Tulia) na PM (Majaliwa), sakata la bandari limekumaliza kisiasa!

Rais Samia nakushauri watose sasa Spika (Tulia) na PM (Majaliwa), sakata la bandari limekumaliza kisiasa!

Wewe kasome ripoti ya Sekretariet ya bunge.., halafu kajibizane nao. Kwamba serikali ilikuwa inapinga nini kwamba si mkataba bali ni makubaliano?
Tatizo ni lugha tu. Nimekwambia kiswahili kina upungufu wa baadhi ya maneno.

Maana ni ile ile ya mkataba uliopita bungeni wa IGA. Unaweza pia kuliita azimio la makubaliano ya kufanya biashara pamoja kati ya Dubai na Tanzania.
 
Haihitaji kubishana kwa chochote, suala la Bandari limefifisha kabisa nyota ya kisiasa ya Rais Samia, kwa hali ilivyo sasa Rais Samia akisema akagombee hata udiwani katika kata yoyote ile Tanganyika huenda akaangukia pua.

Watu wengi waliokuwa wanamuona Rais Samia kama rais bora wa mfano, kwa sasa (kupitia suala la bandari) wanamuona Rais wangu kama mtu mwenye upeo mdogo au mwenye tamaa kubwa za kifisadi kuliko mwanasiasa yoyote aliyewahi kutokea hapa Tanzania. Sakata la bandari limeondoa heshima yote ya Rais Samia.

Kwa nia njema kabisa, ningependa kumpa huu ushauri Rais wangu mama Samia ili kuepuka kikombe hichi cha mkataba ya kipuuzi wa Bandari kilichozika kabisa nyota yake ya kisiasa kuelekea 2025. Ni vyema mara moja akalikana bunge lililopitisha mkataba ule kwa kumtosa Spika Tulia (kufanya kama alichokifanya kwa Ndugai) na hapo hapo kumtosa waziri wako mkuu (Kassim Majaliwa) kwa kitendo cha 'kumshauri vibaya' na ikiwezekana kumpiga chini na Mwanasheria kwa kushindwa 'kuwajibika ipasavyo kisheria.' Narudia tena, kisiasa mama Samia ameshaanguka na namna pekee ya kujaribu kuinuka ni kuachana na hilo limkataba la DP world kwa style ya kuwatosa vilanja wake. Ushauri wangu huu ipo siku utakumbukwa!

ANGALIZO
Mimi ni miongoni wa watu humu JF ninayemkubali Rais Samia kwa upendo wake kwa watanzania wote na uungwana wake katika kufanya siasa. Ni kitu cha kipekee alichonacho (Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni). Upande wa pili mimi ni mkosoaji wa utendaji mbovu wa Rais Samia unaotokana na kivuli kichafu cha CCM kinachomfunika, uwezo wenye mashaka katika kuchanganua mambo makubwa na taswira ya kifisadi anayotengenezewa na watu fulani fulani waliomzunguka. Ukweli usemwe hata kama ni mchungu!
Hizo ndoto zako zingewezekana ikiwa tu angekuwa amekwepa mtego wa kuanguka SAHIHI yake.
 
Haihitaji kubishana kwa chochote, suala la Bandari limefifisha kabisa nyota ya kisiasa ya Rais Samia, kwa hali ilivyo sasa Rais Samia akisema akagombee hata udiwani katika kata yoyote ile Tanganyika huenda akaangukia pua.

Watu wengi waliokuwa wanamuona Rais Samia kama rais bora wa mfano, kwa sasa (kupitia suala la bandari) wanamuona Rais wangu kama mtu mwenye upeo mdogo au mwenye tamaa kubwa za kifisadi kuliko mwanasiasa yoyote aliyewahi kutokea hapa Tanzania. Sakata la bandari limeondoa heshima yote ya Rais Samia.

Kwa nia njema kabisa, ningependa kumpa huu ushauri Rais wangu mama Samia ili kuepuka kikombe hichi cha mkataba ya kipuuzi wa Bandari kilichozika kabisa nyota yake ya kisiasa kuelekea 2025. Ni vyema mara moja akalikana bunge lililopitisha mkataba ule kwa kumtosa Spika Tulia (kufanya kama alichokifanya kwa Ndugai) na hapo hapo kumtosa waziri wako mkuu (Kassim Majaliwa) kwa kitendo cha 'kumshauri vibaya' na ikiwezekana kumpiga chini na Mwanasheria kwa kushindwa 'kuwajibika ipasavyo kisheria.' Narudia tena, kisiasa mama Samia ameshaanguka na namna pekee ya kujaribu kuinuka ni kuachana na hilo limkataba la DP world kwa style ya kuwatosa vilanja wake. Ushauri wangu huu ipo siku utakumbukwa!

ANGALIZO
Mimi ni miongoni wa watu humu JF ninayemkubali Rais Samia kwa upendo wake kwa watanzania wote na uungwana wake katika kufanya siasa. Ni kitu cha kipekee alichonacho (Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni). Upande wa pili mimi ni mkosoaji wa utendaji mbovu wa Rais Samia unaotokana na kivuli kichafu cha CCM kinachomfunika, uwezo wenye mashaka katika kuchanganua mambo makubwa na taswira ya kifisadi anayotengenezewa na watu fulani fulani waliomzunguka. Ukweli usemwe hata kama ni mchungu!
hahaha aaaa.umenichekesha .what if hao uliyowataja hawajahi kuwa consulted ? nao wafanyeje? nafikiri hamna haja ya kualaumiana.mkataba tuuache tujenge nchi yetu.maana kabla ya mkataba huu hakuna mwananchi aliyekufaa kwa njaa na hatutakufa kwa njaa.
 
Ina maana Hawa viongozi wawili wameingizwa chaka na watoto wa mjini???!
 
Mmh hili la bandari limetuvua nguo hadi sisi kina mama. Tumeonekana ni dhaifu, hatustahili kupata madaraka makubwa ya kiuongozi.
 
Spika ni mhimili mwingine kabisa na Raisi kimamlaka hana uwezo wa kumtoa spika, ni Tanzania tuu watu wanafikiri Raisi ana mamlaka juu ya bunge, tatizo la CCM na wabunge wake wameingia kwa wizi uliodhaminiwa na serikali ndio maana wabunge wote wamegeuka kuwa chawa tuu
 
Haihitaji kubishana kwa chochote, suala la Bandari limefifisha kabisa nyota ya kisiasa ya Rais Samia, kwa hali ilivyo sasa Rais Samia akisema akagombee hata udiwani katika kata yoyote ile Tanganyika huenda akaangukia pua.

Watu wengi waliokuwa wanamuona Rais Samia kama rais bora wa mfano, kwa sasa (kupitia suala la bandari) wanamuona Rais wangu kama mtu mwenye upeo mdogo au mwenye tamaa kubwa za kifisadi kuliko mwanasiasa yoyote aliyewahi kutokea hapa Tanzania. Sakata la bandari limeondoa heshima yote ya Rais Samia.

Kwa nia njema kabisa, ningependa kumpa huu ushauri Rais wangu mama Samia ili kuepuka kikombe hichi cha mkataba ya kipuuzi wa Bandari kilichozika kabisa nyota yake ya kisiasa kuelekea 2025. Ni vyema mara moja akalikana bunge lililopitisha mkataba ule kwa kumtosa Spika Tulia (kufanya kama alichokifanya kwa Ndugai) na hapo hapo kumtosa waziri wako mkuu (Kassim Majaliwa) kwa kitendo cha 'kumshauri vibaya' na ikiwezekana kumpiga chini na Mwanasheria kwa kushindwa 'kuwajibika ipasavyo kisheria.' Narudia tena, kisiasa mama Samia ameshaanguka na namna pekee ya kujaribu kuinuka ni kuachana na hilo limkataba la DP world kwa style ya kuwatosa vilanja wake. Ushauri wangu huu ipo siku utakumbukwa!

ANGALIZO
Mimi ni miongoni wa watu humu JF ninayemkubali Rais Samia kwa upendo wake kwa watanzania wote na uungwana wake katika kufanya siasa. Ni kitu cha kipekee alichonacho (Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni). Upande wa pili mimi ni mkosoaji wa utendaji mbovu wa Rais Samia unaotokana na kivuli kichafu cha CCM kinachomfunika, uwezo wenye mashaka katika kuchanganua mambo makubwa na taswira ya kifisadi anayotengenezewa na watu fulani fulani waliomzunguka. Ukweli usemwe hata kama ni mchungu!
Watu wengi waliokuwa wanamuona Rais Samia kama rais bora wa mfano, kwa sasa (kupitia suala la bandari) wanamuona Rais wangu kama mtu mwenye upeo mdogo au mwenye tamaa kubwa za kifisadi kuliko mwanasiasa yoyote aliyewahi kutokea hapa Tanzania. Sakata la bandari limeondoa heshima yote ya Rais Samia.[emoji2827][emoji419][emoji375]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wa kutoswa kama kuna mtu wa kutoswa, ni yeye mwenyewe Mama Samia.

Hili dili kwa habari zinazotufikia ,limetengenezwa ndani ya familia yake.

Mwalimu alisema, Ikulu si mahali pa kufanya biashara, na ndugu walielewe hilo.

Spika na Majaliwa hawajiamini, wanajua nguvu ya Rais na lililompata Ndugai.

Mama akiwa fair, abebe mzigo wake.

Mimi vile vile nilikuwa namkubali sana mama Samia,lakini katika hili la Bandari, NO!
Hakika,mama aliituluza nchi ,lakini hili la Bandari amelikoroga !
 
Ukiangalia kwa jicho la umakini hili suala utagundua kwamba waliomuingiza chaka huyu mama ni wabunge wanaoongozwa na njaa kali na ulafi kushindwa kupingana wao kwa wao sababu sasa hivi mle ndani wapo wao tu so wanaona wakienda tofauti na wengine raisi atawaona wasaliti na atakuwa hawabebi awamu ijayo kumbe sometimes yeye rais alitegemea challenges watakazopeana kwenye mjadala wa hili jambo ndizo zimuongoze

Na hii yote ni kutokana na wanajua hawapendwi na wananchi wao kwa sababu kugombea kwao ubunge haikuwa ili wakawasemee shida zao bali ilikuwa ni chance ya kupata ukwasi
You nailed[emoji419][emoji419] it
 
Atawatosaje hao?
Kwani aliyesaini mkataba wa DP World ni Majaliwa au Spika?

Kwa kifupi hawezi kuwatoa sadaka wakati mkataba aliusaini yeye mwenyewe.
 
Haihitaji kubishana kwa chochote, suala la Bandari limefifisha kabisa nyota ya kisiasa ya Rais Samia, kwa hali ilivyo sasa Rais Samia akisema akagombee hata udiwani katika kata yoyote ile Tanganyika huenda akaangukia pua.

Watu wengi waliokuwa wanamuona Rais Samia kama rais bora wa mfano, kwa sasa (kupitia suala la bandari) wanamuona Rais wangu kama mtu mwenye upeo mdogo au mwenye tamaa kubwa za kifisadi kuliko mwanasiasa yoyote aliyewahi kutokea hapa Tanzania. Sakata la bandari limeondoa heshima yote ya Rais Samia.

Kwa nia njema kabisa, ningependa kumpa huu ushauri Rais wangu mama Samia ili kuepuka kikombe hichi cha mkataba ya kipuuzi wa Bandari kilichozika kabisa nyota yake ya kisiasa kuelekea 2025. Ni vyema mara moja akalikana bunge lililopitisha mkataba ule kwa kumtosa Spika Tulia (kufanya kama alichokifanya kwa Ndugai) na hapo hapo kumtosa waziri wako mkuu (Kassim Majaliwa) kwa kitendo cha 'kumshauri vibaya' na ikiwezekana kumpiga chini na Mwanasheria kwa kushindwa 'kuwajibika ipasavyo kisheria.' Narudia tena, kisiasa mama Samia ameshaanguka na namna pekee ya kujaribu kuinuka ni kuachana na hilo limkataba la DP world kwa style ya kuwatosa vilanja wake. Ushauri wangu huu ipo siku utakumbukwa!

ANGALIZO
Mimi ni miongoni wa watu humu JF ninayemkubali Rais Samia kwa upendo wake kwa watanzania wote na uungwana wake katika kufanya siasa. Ni kitu cha kipekee alichonacho (Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni). Upande wa pili mimi ni mkosoaji wa utendaji mbovu wa Rais Samia unaotokana na kivuli kichafu cha CCM kinachomfunika, uwezo wenye mashaka katika kuchanganua mambo makubwa na taswira ya kifisadi anayotengenezewa na watu fulani fulani waliomzunguka. Ukweli usemwe hata kama ni mchungu!
Hakuana namna nyingine waondoke kwenye ofisi za umma kumuondolea Rais aibu hii kubwa.
 
Serikali hiyo hiyo inayoongozwa na PM na Spika muda huu inajiandaa kusaini mikataba ya Consession na Lease, wewe endelea tu kuishi na mawazo yako mgando.
Nani kabisha juu ya hilo?

Hoja ni ile ile, kwamba huo ni mkataba na si makubaliano, maana yake uozo wote uliopo ndani ya huo mkataba una meno na ni ‘legally binding’.
 
Back
Top Bottom