Ifahamike pasi na shaka, Uwaziri mkuu au Uspika hauna hati miliki. Moja kwa moja kwenye hoja.
Waziri mkuu, Kassim Majaliwa, bila aibu na bila kupepesa macho, ametoa kauli za uongo na zenye kulenga kuchangamya wananchi juu ya mkataba wa uendelezaji bandari, hali kadhalika hili kimefanywa na Spika wa Bunge, Tulia Ackson.
Ni aibu hata kuweka clip zao kwa sasa, maana wamejidhalilisha na wako UCHI!
Namna pekee ya kumrudishia nguo Rais wetu Samiah Suluhu Hassan ni kuwafyeka shingo hawa waongo wawili, aibu gani hii?!!!