Rais Samia nakushauri watose sasa Spika (Tulia) na PM (Majaliwa), sakata la bandari limekumaliza kisiasa!

Rais Samia nakushauri watose sasa Spika (Tulia) na PM (Majaliwa), sakata la bandari limekumaliza kisiasa!

(Mbarawa, Feleshi) , hawa wanaondoka, tumeshafahamishwa, huu mwezi haupiti.

Mimi naongelea hivyo visiki viwili, PM na Spika, nao waunganishwe tu!
Ukizingatia kichwa cha mada "

Muda wa kufanya maamuzi magumu umefika, "​

na tukizingatia Katiba ya Jamhuri Muungano wa Watanzania, ikiwamo sheria na kanuni mablimbali zinazohusiana na uwajibishaji/uwajibikaji wa hao wakuu uliowataja, tunaweza afiki kuwa, kuna umuhimu wa Uchaguzi?

Mpya! , je baada ya hao kujiuzulu au kuondolewa haitamaanisha baraza la Mawaziri ndio anyau che? au kutakuwa na umuhimu wa "maamuzi magumu" ya kufanya Uchaguzi Mkuu??
 
Chichi emuu wamechirai kama chii kuchinjia,piiipooozi wapo macho😂
Nikiwa natembea kwenye makorido, wenzangu na mie hatutizamani machoni humo kwenye makorido, na sasa ukitoka tu kuelekea U.A.E ndio kabisa unanuna na kununa☹️🤭🤬😂

wacha tuungane hapa, Piiipoz na Chi chi emu. Keki kubwa hili, hapendwi ntu!
 
Haihitaji kubishana kwa chochote, suala la Bandari limefifisha kabisa nyota ya kisiasa ya Rais Samia, kwa hali ilivyo sasa Rais Samia akisema akagombee hata udiwani katika kata yoyote ile Tanganyika huenda akaangukia pua.
Mwenyekiti wa ccm kupitia kikao chao cha NEC kapendezwa na huo mkataba wa DP World na TPA,akamwagiza Rais autekeleze mapema kabisa so kuwatosa hao atakua hajatenda haki kwao.
 
Haihitaji kubishana kwa chochote, suala la Bandari limefifisha kabisa nyota ya kisiasa ya Rais Samia, kwa hali ilivyo sasa Rais Samia akisema akagombee hata udiwani katika kata yoyote ile Tanganyika huenda akaangukia pua.

makubwa na taswira ya kifisadi anayotengenezewa na watu fulani fulani waliomzunguka. Ukweli usemwe hata kama ni mchungu!
Sijawahi kuamini hata chembe kama SSH ni Rais Bora. Kwanza IQ ndogo na hawezi kusimamia serikali. Kinachomsaidia ni aina ya nchi na watu anaowaongoza tu.
 
Haihitaji kubishana kwa chochote, suala la Bandari limefifisha kabisa nyota ya kisiasa ya Rais Samia, kwa hali ilivyo sasa Rais Samia akisema akagombee hata udiwani katika kata yoyote ile Tanganyika huenda akaangukia pua.
unaotokana na kivuli kichafu cha CCM kinachomfunika, uwezo wenye mashaka katika kuchanganua mambo makubwa na taswira ya kifisadi anayotengenezewa na watu fulani fulani waliomzunguka. Ukweli usemwe hata kama ni mchungu!
Umeshauri vyema sana
 
Back
Top Bottom