B Bush Dokta JF-Expert Member Joined Apr 11, 2023 Posts 24,831 Reaction score 45,154 Jul 28, 2023 #141 FRANCIS DA DON said: (Mbarawa, Feleshi) , hawa wanaondoka, tumeshafahamishwa, huu mwezi haupiti. Mimi naongelea hivyo visiki viwili, PM na Spika, nao waunganishwe tu! Click to expand... Naunga mkono hoja. Hawa vigogo hawana faida kwa sasa.
FRANCIS DA DON said: (Mbarawa, Feleshi) , hawa wanaondoka, tumeshafahamishwa, huu mwezi haupiti. Mimi naongelea hivyo visiki viwili, PM na Spika, nao waunganishwe tu! Click to expand... Naunga mkono hoja. Hawa vigogo hawana faida kwa sasa.
Glenn JF-Expert Member Joined May 23, 2015 Posts 69,329 Reaction score 164,730 Jul 28, 2023 #142 SYLLOGIST! said: Mnamsingizia Feleshi Bure tu. Unataka kutuambia Feleshi ndio alie watuma hao Wakuu wajivue ufahamu? Click to expand... Dunia hii wenye akili wakiona jambo haliko sawa huwa wanaachia ngazi, hivyo kama hajaachia aachishwe
SYLLOGIST! said: Mnamsingizia Feleshi Bure tu. Unataka kutuambia Feleshi ndio alie watuma hao Wakuu wajivue ufahamu? Click to expand... Dunia hii wenye akili wakiona jambo haliko sawa huwa wanaachia ngazi, hivyo kama hajaachia aachishwe